Baada ya Rais kuangukia pua Mahakamani huyu DC atarejeshwa Kazini ?

Baada ya Rais kuangukia pua Mahakamani huyu DC atarejeshwa Kazini ?

""KAMATI YA RAIS YA UTEUZI NA UTENGUZI, YASHINDWA MAHAKAMANI ""
Rais kama rais huwa hana data zote za mtu mmoja mmoja katika ngazi zote za uteuzi au utenguzi, bali ipo kamati ambayo hufanya hayo!, vichwa vingine vya habari huwa vya hovyo sana,
Rais ni msemaji tu, baada ya kutayarishiwa na watendaji wengine, wenye gazeti wanalengo gani kwa kichwa cha habari cha namna hii?
Hata hivyo msingi wa kesi haukuwa kutenguliwa bali kustaafishwa.

Maana yake aliondelewa sio tu udc bali hadi utumishi wake.
Unaweza kutenguliwa lkn ukabaki na utumishi wako ukilipwa mshahara na ukisubiria kupangiwa majukumu mengine
 
""KAMATI YA RAIS YA UTEUZI NA UTENGUZI, YASHINDWA MAHAKAMANI ""
Rais kama rais huwa hana data zote za mtu mmoja mmoja katika ngazi zote za uteuzi au utenguzi, bali ipo kamati ambayo hufanya hayo!, vichwa vingine vya habari huwa vya hovyo sana,
Rais ni msemaji tu, baada ya kutayarishiwa na watendaji wengine, wenye gazeti wanalengo gani kwa kichwa cha habari cha namna hii?

Watu wanaposema kuwa kila kitu ni rais rais si sawa, hukumu hii inakazia utawala bora. Na ili utawala bora upatikane ni muhimu rais kupunguziwa madaraka. Ziundwe tume huru kushughulikia masuala mbalimbali ya kuzjiri, kuteua na kutimua.

Ili rais awe huru kufanya kazi zingine badala ya kushiriki ktk mchakato wa kuteua na kutengua ambapo ni kusoma kwa umakini na kusaini barua kibao, huku ni kupoteza muda adimu alionao rais. Mifumo ndiyo ijengwe na rais. Hili litapatikana na kumuweka huru rais kwa kumpunguzia majukumu kupitia Katiba Mpya.
 
Back
Top Bottom