Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Jambo Zuri Katika Sector Ya Utalii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naombeni kazi ya kuwa Sterling Mkuu/Msaidizi kwenye hiyo filamu. Mimi nina kipaji cha kuigiza, kiasi cha kufikia Bongo Muvi wote kutonikaribia.Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa Bungeni leo wakati akiwasilisha Hotuba ya kuhusu Makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi yake kwa mwaka 2024/25 amebainisha kuwa Serikali kutokana na mafanikio ya programu ya The Royal Tour, Serikali imetengeneza filamu nyingine yenye hadhi ya kimataifa ya kutanganza Utalii ijulikanayo kama 'Amazing Tanzania'.
Filamu hii kama ilivyokuwa kwa Roya Tour imerekodiwa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Rais wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi na mwigizaji nguli kutoka China aitwaye Jin Dong.
Filamu hii imeandaliwa kwa lengo la kuvutia watalii hususani soko la China na inatarajiwa kuzinduliwa Mei 2024.
Hivi kwa akili yako finyu... Unategemea kupata watalii kutoka china!?...Huelewi kuwa filamu hiyo ina manufaa makubwa sana kiuchumi.kwasababu itavutia Watalii ambao watakuja na pesa za kigeni ambazo tunazitumia katika kuwekeza katika maeneo mengine .lakini pia pesa hizo za kigeni zitaisaidia kununua bidhaa nje ya nchi kama vile dawa za binadamu n.k.lakini pia itavutia wawekezaji mbalimbali
Lucas mkuu unaelezea kama kwenye vile vitabu vya darasa la nne enzi zile miaka ya 80!Huelewi kuwa filamu hiyo ina manufaa makubwa sana kiuchumi.kwasababu itavutia Watalii ambao watakuja na pesa za kigeni ambazo tunazitumia katika kuwekeza katika maeneo mengine .lakini pia pesa hizo za kigeni zitaisaidia kununua bidhaa nje ya nchi kama vile dawa za binadamu n.k.lakini pia itavutia wawekezaji mbalimbali