Baada ya 'Royal Tour', Serikali sasa yaja na filamu nyingine iitwayo 'Amazing Tanzania'

Naombeni kazi ya kuwa Sterling Mkuu/Msaidizi kwenye hiyo filamu. Mimi nina kipaji cha kuigiza, kiasi cha kufikia Bongo Muvi wote kutonikaribia.
 
Hivi kwa akili yako finyu... Unategemea kupata watalii kutoka china!?...

Huo ni utaahira! Uliona wapi china Wana shobo na kutalii!?

Kiuhalisia sisi ndio watalii kwa china! Hawataki kujengea viwanda huku ili mkatalii china kila mwezi
 
Lucas mkuu unaelezea kama kwenye vile vitabu vya darasa la nne enzi zile miaka ya 80!
 
ngoja nikachume tembele nishushie tonge la ugali kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…