Baada ya RPC wa Dar es Salaam kung'olewa sasa iwe zamu ya RPC wa Songwe

Baada ya RPC wa Dar es Salaam kung'olewa sasa iwe zamu ya RPC wa Songwe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu na kwa kadri ya umri nilionao , RPC Kyando wa Songwe ndiye kiongozi wa Polisi katili zaidi kwa waliopo sasa nchini Tanzania , huyu si wa kuonekana sana kwenye vyombo vya habari kama RPC Murroto wa Dodoma ambaye hata akikamata chupa 2 za gongo anataka TV zote zimuonyeshe , lakini unyama waliotendewa viongozi wa upinzani wa Mkoa wa Songwe na Jeshi la Polisi chini ya huyu RPC na hasa viongozi wa Chadema , haujawahi kufanywa mahali popote duniani.

Ukatili wa RPC Kyando wa Songwe unakaribiana na ule wa Omari Mahita alipokuwa RPC wa Kilimanjaro miaka iliyopita , lakini matukio ya uhalifu wa kawaida yanashamiri huku yeye akipambana na Chadema tu , Mahusiano ya wananchi na Polisi ni sawa na sifuri sababu kuu ikiwa ni unyama wa polisi dhidi ya raia kwa mambo ya kisiasa.

Ni Muhimu sana Kiongozi huyu wa Polisi Songwe akang'olewa ili kurejesha imani ya wananchi kwa serikali yao.
 
Nyie ndio mmempiga Sabaya majungu kisa anatekeleza majukumu yake na uzuri wa mama ni mtu wa haki,m/kiti wako wa mtaa, diwani na mbunge uliowachagua umeshawachunguza? , hiyo mbozi na tunduma bila kazi kubwa ya huyo unayemsema hata huo muda kuandika huu uzi ungekosa, tuheshimu kazi za viongozi wetu wa ulinzi na usalama.
 
Hehe yaani kila mtu ambaye amewagusa wanachama wa SACCOSS mnataka aondolewe, mnasahau kuwa bila wao hata muda wa kuwa mabingwa wa keyboard msingekuwa nao, kisa akina Mdude hata majina yenyewe ya hovyo, tuache unafiki bana nchi hii si ya wana SACCOSS peke yao kuwa kila wanachosema au kukitaka basi mama awaondoe.
 
Nyie ndio mmempiga Sabaya majungu kisa anatekeleza majukumu yake na uzuri wa mama ni mtu wa haki,m/kiti wako wa mtaa, diwani na mbunge uliowachagua umeshawachunguza? , hiyo mbozi na tunduma bila kazi kubwa ya huyo unayemsema hata huo muda kuandika huu uzi ungekosa, tuheshimu kazi za viongozi wetu wa ulinzi na usalama.
Hakuna mkoa usio na amani kama Songwe , halafu majukumu aliyopewa Chekibobu Sabaya ni kupora mali za wananchi ?
 
Hehe yaani kila mtu ambaye amewagusa wanachama wa SACCOSS mnataka aondolewe, mnasahau kuwa bila wao hata muda wa kuwa mabingwa wa keyboard msingekuwa nao, kisa akina Mdude hata majina yenyewe ya hovyo, tuache unafiki bana nchi hii si ya wana SACCOSS peke yao kuwa kila wanachosema au kukitaka basi mama awaondoe.
Nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko
 
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu na kwa kadri ya umri nilionao , RPC wa Songwe ndiye kiongozi wa Polisi katili zaidi kwa waliopo sasa nchini Tanzania , huyu si wa kuonekana sana kwenye vyombo vya habari kama RPC Murroto wa Dodoma ambaye hata akikamata chupa 2 za gongo anataka TV zote zimuonyeshe , lakini unyama waliotendewa viongozi wa upinzani wa Mkoa wa Songwe na Jeshi la Polisi chini ya huyu RPC na hasa viongozi wa Chadema , haujawahi kufanywa mahali popote duniani.

Ukatili wa RPC wa Songwe unakaribiana na ule wa Omari Mahita alipokuwa RPC wa Kilimanjaro miaka iliyopita , lakini matukio ya uhalifu wa kawaida yanashamiri huku yeye akipambana na Chadema tu , Mahusiano ya wananchi na Polisi ni sawa na sifuri sababu kuu ikiwa ni unyama wa polisi dhidi ya raia kwa mambo ya kisiasa.

Ni Muhimu sana Kiongozi huyu wa Polisi Songwe akang'olewa ili kurejesha imani ya wananchi kwa serikali yao.

Usihofu, mheshimiwa kamanda Siro alisema huwa anapitia habari za mitandaoni na kufanya tathmini ili ajilizishe. Kwahiyo kama unaushahidi..wewe endelea kuuandika hapa mwishoe utamfikia mheshimiwa Siro
 
Usihofu, mheshimiwa kamanda Siro alisema huwa anapitia habari za mitandaoni na kufanya tathmini ili ajilizishe. Kwahiyo kama unaushahidi..wewe endelea kuuandika hapa mwishoe utamfikia mheshimiwa Siro
Asante afande
 
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu na kwa kadri ya umri nilionao , RPC wa Songwe ndiye kiongozi wa Polisi katili zaidi kwa waliopo sasa nchini Tanzania , huyu si wa kuonekana sana kwenye vyombo vya habari kama RPC Murroto wa Dodoma ambaye hata akikamata chupa 2 za gongo anataka TV zote zimuonyeshe , lakini unyama waliotendewa viongozi wa upinzani wa Mkoa wa Songwe na Jeshi la Polisi chini ya huyu RPC na hasa viongozi wa Chadema , haujawahi kufanywa mahali popote duniani.

Ukatili wa RPC wa Songwe unakaribiana na ule wa Omari Mahita alipokuwa RPC wa Kilimanjaro miaka iliyopita , lakini matukio ya uhalifu wa kawaida yanashamiri huku yeye akipambana na Chadema tu , Mahusiano ya wananchi na Polisi ni sawa na sifuri sababu kuu ikiwa ni unyama wa polisi dhidi ya raia kwa mambo ya kisiasa.

Ni Muhimu sana Kiongozi huyu wa Polisi Songwe akang'olewa ili kurejesha imani ya wananchi kwa serikali yao.
Hakika RPC Kyando ni mkatili na mbaya kama sura yake! Mauaji na vilema alivyosababisha kwa wananchi wa Songwe ni ya kutisha na hayana mfano wake!
 
Nyie ndio mmempiga Sabaya majungu kisa anatekeleza majukumu yake na uzuri wa mama ni mtu wa haki,m/kiti wako wa mtaa, diwani na mbunge uliowachagua umeshawachunguza? , hiyo mbozi na tunduma bila kazi kubwa ya huyo unayemsema hata huo muda kuandika huu uzi ungekosa, tuheshimu kazi za viongozi wetu wa ulinzi na usalama.
Tunduma kuna nini Godo, mtoa mada ameongea ukweli tupu.Huyo Afande hana sifa ya kukalia kit kile. Apigwe chini akanywe ulanzi ukinga
 
Mheshimiwa IGP,

Jana umepewa jukumu la kutathmini Aina ya kesi mlizonazo Kama ni za haki Kama sio mzifute.

Naamini umeshaunda task force kufuatilia Hilo. Wilaya na mikoa itakyoongoza kwa ubambikiaji kesi India OC CID, OCD, RPC wapangie kazi zingine kwa kulifedhehesha jeshi na kuwabambikizia wananchi kesi.
 
Mkuu hakuna RPC wa Dodoma.
Njoo pm nikupe siri
Murotto namfahamu kuliko unavyodhani , anaweza kushiriki baadhi ya mambo kwa vile ccm inafahamika lakini hamfikii Kyando , kwa unyama aliotenda Kyando nina hakika amekata tamaa ya kuishi
 
Murotto namfahamu kuliko unavyodhani , anaweza kushiriki baadhi ya mambo kwa vile ccm inafahamika lakini hamfikii Kyando , kwa unyama aliotenda Kyando nina hakika amekata tamaa ya kuishi
Mkuu nilimaanisha hakuna RPC wa Dar
 
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu na kwa kadri ya umri nilionao , RPC Kyando wa Songwe ndiye kiongozi wa Polisi katili zaidi kwa waliopo sasa nchini Tanzania , huyu si wa kuonekana sana kwenye vyombo vya habari kama RPC Murroto wa Dodoma ambaye hata akikamata chupa 2 za gongo anataka TV zote zimuonyeshe , lakini unyama waliotendewa viongozi wa upinzani wa Mkoa wa Songwe na Jeshi la Polisi chini ya huyu RPC na hasa viongozi wa Chadema , haujawahi kufanywa mahali popote duniani.

Ukatili wa RPC Kyando wa Songwe unakaribiana na ule wa Omari Mahita alipokuwa RPC wa Kilimanjaro miaka iliyopita , lakini matukio ya uhalifu wa kawaida yanashamiri huku yeye akipambana na Chadema tu , Mahusiano ya wananchi na Polisi ni sawa na sifuri sababu kuu ikiwa ni unyama wa polisi dhidi ya raia kwa mambo ya kisiasa.

Ni Muhimu sana Kiongozi huyu wa Polisi Songwe akang'olewa ili kurejesha imani ya wananchi kwa serikali yao.
Hii sasa ndio saizi yako, mahala mahsusi na unafit.
 
Back
Top Bottom