Kikatiba, mwenye jukumu la kuamua kesi kama ni ya haki au la, ni mahakama.Mheshimiwa IGP,
Jana umepewa jukumu la kutathmini Aina ya kesi mlizonazo Kama ni za haki Kama sio mzifute.
She ain't fit for nothing.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikatiba, mwenye jukumu la kuamua kesi kama ni ya haki au la, ni mahakama.Mheshimiwa IGP,
Jana umepewa jukumu la kutathmini Aina ya kesi mlizonazo Kama ni za haki Kama sio mzifute.
Hata wale ambao jiwe aliagiza wakamatwe kwa chuki tu nao unasubiri Mahakama ?Kikatiba, mwenye jukumu la kuamua kesi kama ni ya haki au la, ni mahakama.
She ain't fit for nothing.
Your infallible idol.Sasa Mwamba Mbowe anahusikaje tena hapa ?
Aliyepewa jukumu kuamua kama wamekamatwa kwa chuki au la ni mahakama. Utawala wa sheria shurti uheshimiwe na kupewa nafasi.Hata wale ambao jiwe aliagiza wakamatwe kwa chuki tu nao unasubiri Mahakama ?
Unajua hata Nape hakujua mambo haya hadi aliponusurika kuuawa kwa bastola na yule muuaji aliyetumwa , wewe subiri zamu yakoAliyepewa jukumu kuamua kama wamekamatwa kwa chuki au la ni mahakama. Utawala wa sheria shurti uheshimiwe na kupewa nafasi.
Majungu wapi,wanakulitafuta wanastahili kulipata.Nyie ndio mmempiga Sabaya majungu kisa anatekeleza majukumu yake na uzuri wa mama ni mtu wa haki,m/kiti wako wa mtaa, diwani na mbunge uliowachagua umeshawachunguza? , hiyo mbozi na tunduma bila kazi kubwa ya huyo unayemsema hata huo muda kuandika huu uzi ungekosa, tuheshimu kazi za viongozi wetu wa ulinzi na usalama.
Sheria zingekuwa zinafuatwa kwa mujibu wa katiba yetu,na Bila uwepo wa viwango tofauti ama upendeleo kwa baadhi,mfumo ungepewa nafasi Bila chembe ya shaka.Aliyepewa jukumu kuamua kama wamekamatwa kwa chuki au la ni mahakama. Utawala wa sheria shurti uheshimiwe na kupewa nafasi.
Wenye mitazamo butu namnahiyo ni wasioamini katika kuona haki ikitendeka, bali kwao ni furaha kuona ukatili ukifanyika.Sasa Mwamba Mbowe anahusikaje tena hapa ?
Tunayo mihimili mitatu kikatiba, iliyo huru. Mfumo gani unaotaka upewe nafasi?!Sheria zingekuwa zinafuatwa kwa mujibu wa katiba yetu,na Bila uwepo wa viwango tofauti ama upendeleo kwa baadhi,mfumo ungepewa nafasi Bila chembe ya shaka.
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu na kwa kadri ya umri nilionao , RPC Kyando wa Songwe ndiye kiongozi wa Polisi katili zaidi kwa waliopo sasa nchini Tanzania , huyu si wa kuonekana sana kwenye vyombo vya habari kama RPC Murroto wa Dodoma ambaye hata akikamata chupa 2 za gongo anataka TV zote zimuonyeshe , lakini unyama waliotendewa viongozi wa upinzani wa Mkoa wa Songwe na Jeshi la Polisi chini ya huyu RPC na hasa viongozi wa Chadema , haujawahi kufanywa mahali popote duniani.
Ukatili wa RPC Kyando wa Songwe unakaribiana na ule wa Omari Mahita alipokuwa RPC wa Kilimanjaro miaka iliyopita , lakini matukio ya uhalifu wa kawaida yanashamiri huku yeye akipambana na Chadema tu , Mahusiano ya wananchi na Polisi ni sawa na sifuri sababu kuu ikiwa ni unyama wa polisi dhidi ya raia kwa mambo ya kisiasa.
Ni Muhimu sana Kiongozi huyu wa Polisi Songwe akang'olewa ili kurejesha imani ya wananchi kwa serikali yao.
Ni kweli ni mahakama, Sasa Kama miaka nane imeshindwa kuikamilisha upelelezi, mtu kafanya kosa la barabarani la kuvuka na taa nyekundu unasema kagonga na kuua? Unataka usubirie mahakama iseme wakati mnajua huyo mtu hakuua?Kikatiba, mwenye jukumu la kuamua kesi kama ni ya haki au la, ni mahakama.
She ain't fit for nothing.
You ain't fit for nothing.Ni kweli ni mahakama, Sasa Kama miaka nane imeshindwa kuikamilisha upelelezi, mtu kafanya kosa la barabarani la kuvuka na taa nyekundu unasema kagonga na kuua? Unataka usubirie mahakama iseme wakati mnajua huyo mtu hakuua?
Vyovyote itakavyokua Kama kesi iliripotiwa kituo Cha stakishari na mkachunguza oungo na mkapeleka kesi mahakani huku mkijua ni uongo FUKUZA hao maofisa ama shusha cheo
Anachapa kazi. Ndiye secretary wa Nusrat Hanje baada ya kukosana na Sofia. 😆😆Kijana chapa kazi acha majungu
Nyie ndio wale wale mnaowapa kesi za uongo Waume za mahawara zenu ili muwe huru na wake zetuYou ain't fit for nothing.
Kumbe anashughulika na WAHALIFU, tumuache RPC wa Songwe apige kaziKwa kadri ya kumbukumbu zangu na kwa kadri ya umri nilionao , RPC Kyando wa Songwe ndiye kiongozi wa Polisi katili zaidi kwa waliopo sasa nchini Tanzania , huyu si wa kuonekana sana kwenye vyombo vya habari kama RPC Murroto wa Dodoma ambaye hata akikamata chupa 2 za gongo anataka TV zote zimuonyeshe , lakini unyama waliotendewa viongozi wa upinzani wa Mkoa wa Songwe na Jeshi la Polisi chini ya huyu RPC na hasa viongozi wa Chadema , haujawahi kufanywa mahali popote duniani.
Ukatili wa RPC Kyando wa Songwe unakaribiana na ule wa Omari Mahita alipokuwa RPC wa Kilimanjaro miaka iliyopita , lakini matukio ya uhalifu wa kawaida yanashamiri huku yeye akipambana na Chadema tu , Mahusiano ya wananchi na Polisi ni sawa na sifuri sababu kuu ikiwa ni unyama wa polisi dhidi ya raia kwa mambo ya kisiasa.
Ni Muhimu sana Kiongozi huyu wa Polisi Songwe akang'olewa ili kurejesha imani ya wananchi kwa serikali yao.
Sabaya aliwanyoosha kweli kweli wahalifu, mmempiga majungu na mama kwa ulegevu wake kawasikiliza kwa amri toka MsogaHakuna mkoa usio na amani kama Songwe , halafu majukumu aliyopewa Chekibobu Sabaya ni kupora mali za wananchi ?
Nyie ndio mmempiga Sabaya majungu kisa anatekeleza majukumu yake na uzuri wa mama ni mtu wa haki,m/kiti wako wa mtaa, diwani na mbunge uliowachagua umeshawachunguza? , hiyo mbozi na tunduma bila kazi kubwa ya huyo unayemsema hata huo muda kuandika huu uzi ungekosa, tuheshimu kazi za viongozi wetu wa ulinzi na usalama.
Mpaka muda huu Sabaya anamiliki Bil 3 ambazo haifahamiki alikozipata , sasa wewe kapuku unachomiliki ni ID ya JF lakini unashangilia unyamaSabaya aliwanyoosha kweli kweli wahalifu, mmempiga majungu na mama kwa ulegevu wake kawasikiliza kwa amri toka Msoga
You ain`t fit for nothing if you can`t even trust your wife.Nyie ndio wale wale mnaowapa kesi za uongo Waume za mahawara zenu ili muwe huru na wake zetu
Zile bilioni kadhaa mwamba alizohamishia Dubai 2015 wewe ungejua alikozipata bila kushtuliwa kuwa yalikuwa malipo ya mgombea urais?!Mpaka muda huu Sabaya anamiliki Bil 3 ambazo haifahamiki alikozipata , sasa wewe kapuku unachomiliki ni ID ya JF lakini unashangilia unyama