Baada ya RPC wa Dar es Salaam kung'olewa sasa iwe zamu ya RPC wa Songwe

Zile bilioni kadhaa mwamba alizohamishia Dubai 2015 wewe ungejua alikozipata bila kushtuliwa kuwa yalikuwa malipo ya mgombea urais?!
Porojo za kiwango cha chini sana ili kukimbia hoja
 
Songwe na Dom kuna tatizo kubwa sn
 
You ain`t fit for nothing if you can`t even trust your wife.
That's the only thing you can say, and classical example of you is what happened in Arusha few days ago.

I am going to make sure mama sucks all of you. Mlizoea Sana kufanya ujinga ujinga pasipo kufuata PGO na Sheria za nchi mlizoapa kuzifuata. Na nakuhakikishia kabla Mwaka haujaisha RPC zaidi ya 9 na wasaidizi wao mtaingia kwenye record.
 
Ohooooo!!!
 
Majeshi awakai station moja zaidi ya miaka miwili. Wa Dar alikaa sana. Hivyo ni sawa kabisa kuhamishwa
 
Maandalizi ya uchaguzi wapambe na wagombea wanapanga safu na wale wanaoonekana ni kikwazo wanashughulikiwa
 
Atalipa tu kabla ya machweo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…