Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Porojo za kiwango cha chini sana ili kukimbia hojaZile bilioni kadhaa mwamba alizohamishia Dubai 2015 wewe ungejua alikozipata bila kushtuliwa kuwa yalikuwa malipo ya mgombea urais?!
Nani mwenye mamlaka ya kuandaa mashtaka?Kikatiba, mwenye jukumu la kuamua kesi kama ni ya haki au la, ni mahakama.
She ain't fit for nothing.
Songwe na Dom kuna tatizo kubwa snKwa kadri ya kumbukumbu zangu na kwa kadri ya umri nilionao , RPC Kyando wa Songwe ndiye kiongozi wa Polisi katili zaidi kwa waliopo sasa nchini Tanzania , huyu si wa kuonekana sana kwenye vyombo vya habari kama RPC Murroto wa Dodoma ambaye hata akikamata chupa 2 za gongo anataka TV zote zimuonyeshe , lakini unyama waliotendewa viongozi wa upinzani wa Mkoa wa Songwe na Jeshi la Polisi chini ya huyu RPC na hasa viongozi wa Chadema , haujawahi kufanywa mahali popote duniani.
Ukatili wa RPC Kyando wa Songwe unakaribiana na ule wa Omari Mahita alipokuwa RPC wa Kilimanjaro miaka iliyopita , lakini matukio ya uhalifu wa kawaida yanashamiri huku yeye akipambana na Chadema tu , Mahusiano ya wananchi na Polisi ni sawa na sifuri sababu kuu ikiwa ni unyama wa polisi dhidi ya raia kwa mambo ya kisiasa.
Ni Muhimu sana Kiongozi huyu wa Polisi Songwe akang'olewa ili kurejesha imani ya wananchi kwa serikali yao.
That's the only thing you can say, and classical example of you is what happened in Arusha few days ago.You ain`t fit for nothing if you can`t even trust your wife.
Ohooooo!!!That's the only thing you can say, and classical example of you is what happened in Arusha few days ago.
I am going to make sure mama sucks all of you. Mlizoea Sana kufanya ujinga ujinga pasipo kufuata PGO na Sheria za nchi mlizoapa kuzifuata. Na nakuhakikishia kabla Mwaka haujaisha RPC zaidi ya 9 na wasaidizi wao mtaingia kwenye record.
Majeshi awakai station moja zaidi ya miaka miwili. Wa Dar alikaa sana. Hivyo ni sawa kabisa kuhamishwaKwa kadri ya kumbukumbu zangu na kwa kadri ya umri nilionao , RPC Kyando wa Songwe ndiye kiongozi wa Polisi katili zaidi kwa waliopo sasa nchini Tanzania , huyu si wa kuonekana sana kwenye vyombo vya habari kama RPC Murroto wa Dodoma ambaye hata akikamata chupa 2 za gongo anataka TV zote zimuonyeshe , lakini unyama waliotendewa viongozi wa upinzani wa Mkoa wa Songwe na Jeshi la Polisi chini ya huyu RPC na hasa viongozi wa Chadema , haujawahi kufanywa mahali popote duniani.
Ukatili wa RPC Kyando wa Songwe unakaribiana na ule wa Omari Mahita alipokuwa RPC wa Kilimanjaro miaka iliyopita , lakini matukio ya uhalifu wa kawaida yanashamiri huku yeye akipambana na Chadema tu , Mahusiano ya wananchi na Polisi ni sawa na sifuri sababu kuu ikiwa ni unyama wa polisi dhidi ya raia kwa mambo ya kisiasa.
Ni Muhimu sana Kiongozi huyu wa Polisi Songwe akang'olewa ili kurejesha imani ya wananchi kwa serikali yao.
Fafanua basiThis is what I am saying, lazima mkumbuke mna viapo na kwenda kinyume chake ni paunishable
Have you lost your sanity?! Swali gani hilo la kijinga! Ukiandaa mashtaka ndio umetoa na hukumu?Nani mwenye mamlaka ya kuandaa mashtaka?
Atalipa tu kabla ya machweo.Kwa kadri ya kumbukumbu zangu na kwa kadri ya umri nilionao , RPC Kyando wa Songwe ndiye kiongozi wa Polisi katili zaidi kwa waliopo sasa nchini Tanzania , huyu si wa kuonekana sana kwenye vyombo vya habari kama RPC Murroto wa Dodoma ambaye hata akikamata chupa 2 za gongo anataka TV zote zimuonyeshe , lakini unyama waliotendewa viongozi wa upinzani wa Mkoa wa Songwe na Jeshi la Polisi chini ya huyu RPC na hasa viongozi wa Chadema , haujawahi kufanywa mahali popote duniani.
Ukatili wa RPC Kyando wa Songwe unakaribiana na ule wa Omari Mahita alipokuwa RPC wa Kilimanjaro miaka iliyopita , lakini matukio ya uhalifu wa kawaida yanashamiri huku yeye akipambana na Chadema tu , Mahusiano ya wananchi na Polisi ni sawa na sifuri sababu kuu ikiwa ni unyama wa polisi dhidi ya raia kwa mambo ya kisiasa.
Ni Muhimu sana Kiongozi huyu wa Polisi Songwe akang'olewa ili kurejesha imani ya wananchi kwa serikali yao.
Naona Mbowe kwake ni tishio. Anatembea naye akilini. Safi sana.Sasa Mwamba Mbowe anahusikaje tena hapa ?