Baada ya Sabaya kuachiwa Huru nashauri 'mnaoshadadia' kutwa kuwa Makonda nae akamatwe achaneni nalo kwani 'System' bado inawahitaji na inawakubali

Baada ya Sabaya kuachiwa Huru nashauri 'mnaoshadadia' kutwa kuwa Makonda nae akamatwe achaneni nalo kwani 'System' bado inawahitaji na inawakubali

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kikubwa tutafuteni tu Hela za Kutunza Familia zetu ila Kuwashadadia akina Sabaya na Makonda kuwa Wafungwe Maisha au ikiwezekana Wanyongwe ili mfurahi na mridhike ni Kupoteza muda Wenu kwani hawa Watu 'System' iliwatumia huko nyuma na huenda hata Kuachiwa kwa huyu Sabaya Kuna 'Operation' imeandaliwa ambayo Yeye atatakiwa Kuiongoza na Kuifanikisha.
 
Ngoja aje Tindo mzee wa kubwatuka.

Mi nawaambiaga hawa nyumbu siku zote kwamba serikali sio ya mchezo.

Ni mfumo wa kimafia ambao unafanya mambo kwa vipimo.

Oooooh Mama anaupiga mwingi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sukuma gang wanakomeshwa [emoji12][emoji12][emoji12]

Mtadanganywa mpaka lini [emoji23][emoji23] [emoji23][emoji23]
Tafuta kwenye post yangu yoyote ya sasa au hata kabla hujajiunga hapa jukwaani, uone kama kuna popote niliwahi kusema mama anaupiga mwingi, ukipaona uje tuendelee na mjadala. Au unadhani kila mtu anachotwa akili kirahisi?

Sabaya ushahidi wa uovu wake uko wazi, lakini ni mahakama zipi za kumfunga? Mahakama hizi zinazopewa maagizo jinsi ya kuendesha kesi? Uhayawani wa Sabaya ulikuwa na baraka zote za Magufuli. Nilijua Sabaya ataachiwa tu toka nilipoona anakwenda mahakamani kuendelea na kesi nyingine, lakini nywele zake hazijanyolewa huku tayari ameshahukumiwa! Kwanza nilishangaa Sabaya alihukumiwa vipi bila serekali kumkingia kifua kama wafanyavyo kwa Makonda. Huenda umenitag kwenye post yako kwa kunichukulia kirahisi.
 
Tafuta kwenye post yangu yoyote ya sasa au hata kabla hujajiunga hapa jukwaani, uone kama kuna popote niliwahi kusema mama anaupiga mwingi, ukipaona uje tuendelee na mjadala. Au unadhani kila mtu anachotwa akili kirahisi?

Sabaya ushahidi wa uovu wake uko wazi, lakini ni mahakama zipi za kumfunga? Mahakama hizi zinazopewa maagizo jinsi ya kuendesha kesi? Uhayawani wa Sabaya ulikuwa na baraka zote za Magufuli. Nilijua Sabaya ataachiwa tu toka nilipoona anakwenda mahakamani kuendelea na kesi nyingine, lakini nywele zake hazijanyolewa huku tayari ameshahukumiwa! Kwanza nilishangaa Sabaya alihukumiwa vipi bila serekali kumkingia kifua kama wafanyavyo kwa Makonda. Huenda umenitag kwenye post yako kwa kunichukulia kirahisi.
Kunyolewa alishanyolewa na kakonda sana.
Bado nafuatilia kisheria zile mboko za pilipili alishazilambwa?
 
Kikubwa tutafuteni tu Hela za Kutunza Familia zetu ila Kuwashadadia akina Sabaya na Makonda kuwa Wafungwe Maisha au ikiwezekana Wanyongwe ili mfurahi na mridhike ni Kupoteza muda Wenu kwani hawa Watu 'System' iliwatumia huko nyuma na huenda hata Kuachiwa kwa huyu Sabaya Kuna 'Operation' imeandaliwa ambayo Yeye atatakiwa Kuiongoza na Kuifanikisha.
Toa Ushahidi Hatutaki Maneno ya kwenye kahawa system gani inawahitaji

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Acheni kujipa matumaini ...yule kijana kama ni kukomeshwa amekomeshwa jela ameonja...na hata akiingia mtaani haohao waliokuwa wanakomaa afungwe ndio haohao watakaokula nae sahani moja...vinginevyo sabaya ahamie mwanza, kule Arusha na moshi hapamfai tena wala hatoishi amani......sote tunatambua kwamba wanakaskazini asilimia 90 hawamkubali sabaya.....je unadhani sabaya ataishi kwa furaha na amani?...na ukizingatia kwa sasa sabaya hana kinga yoyote ile kutoka juu...
 
Acheni kujipa matumaini ...yule kijana kama ni kukomeshwa amekomeshwa jela ameonja...na hata akiingia mtaani haohao waliokuwa wanakomaa afungwe ndio haohao watakaokula nae sahani moja...vinginevyo sabaya ahamie mwanza, kule Arusha na moshi hapamfai tena wala hatoishi amani......sote tunatambua kwamba wanakaskazini asilimia 90 hawamkubali sabaya.....je unadhani sabaya ataishi kwa furaha na amani?...na ukizingatia kwa sasa sabaya hana kinga yoyote ile kutoka juu...
Unatukosea sana wanakaskazini. Wasiomkubali ni nyumbu wa Mbowe tuu.

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Acheni kujipa matumaini ...yule kijana kama ni kukomeshwa amekomeshwa jela ameonja...na hata akiingia mtaani haohao waliokuwa wanakomaa afungwe ndio haohao watakaokula nae sahani moja...vinginevyo sabaya ahamie mwanza, kule Arusha na moshi hapamfai tena wala hatoishi amani......sote tunatambua kwamba wanakaskazini asilimia 90 hawamkubali sabaya.....je unadhani sabaya ataishi kwa furaha na amani?...na ukizingatia kwa sasa sabaya hana kinga yoyote ile kutoka juu...
Usitusemee Wakaskazini. Sabaya alitusaidia sana na tunamkubali sana. 2025 agombee Ubunge wa Hai, atapita kwa kishindo.
 
Kikubwa tutafuteni tu Hela za Kutunza Familia zetu ila Kuwashadadia akina Sabaya na Makonda kuwa Wafungwe Maisha au ikiwezekana Wanyongwe ili mfurahi na mridhike ni Kupoteza muda Wenu kwani hawa Watu 'System' iliwatumia huko nyuma na huenda hata Kuachiwa kwa huyu Sabaya Kuna 'Operation' imeandaliwa ambayo Yeye atatakiwa Kuiongoza na Kuifanikisha.
Watu watafute hela halafu watu wa aina ya akina Sabaya waje na kuwanyang'anya, kuwasweka ndani, kuharibu vitega uchumi wao, na bado waangaliwe na waachwe tu! Ustaarabu gani huo?
 
Back
Top Bottom