Baada ya Safina ya Nuhu kutua Mlima Ararat, wanyama walifikaje kwenye mabara mengine?

Baada ya Safina ya Nuhu kutua Mlima Ararat, wanyama walifikaje kwenye mabara mengine?

Ukisoma Biblia kama novo itakusumbua sana. Sali kwanza uombe roho mtakatifu akuongoze katika kuielewa na kuitafakari.
La sivyo utahoji kila kitu.
Kwa mfano genesis 1.27 inasema Mungu aliumba mwanamme na mwanamke. Sasa jiulize huyu aliyetoka ubavuni siku za baadae baada ya Mungu kumwona mwanamme ni mpweke (genesis 2.18) alikua wa ngapi maana kwenye 1.27 alishaumba wawili!
Umeandika ushuzi mtupu. Kama Mungu alitupa akili za kujua jema na baya inakuwaje nishindwe kuielewa biblia iliyoandikwa na binadamu wenzangu?
 
Atleast ww muelewa, inapendeza kuona hiv waafrika wanaamka, inatia hasira kuona mtu mzima anaamini eti dunia ina miaka7000/6000 sabab et kitabu chake cha uongo cha dini kimemuaminisha hivyo.

Kuna mengi ya kujifunza mtu mweusi anatakiwa kuyajua, bahat mbaya tunaisha nyakati ambazo shetan anatawala by90% ndiomaana uongo unatawala na ukweli umefichwa na wanaojaribu kuufichuwa huonekana kama wahasi na waongo ama wachonganishi, kiukweli tuendako haya mafundisho ndyo yatakayotawala kila sehem mpka mtu mweusi aamke na kuijua historia yake ya kweli nje ya mafundisho ya wazungu&waarabu
Halafu hili suala la binadamu wa kwanza kuna Mzee Joseph Mihangwa alidai yeye anaamini binadamu wa kwanza ni yule wa Olduvai kwa kuihusisha biblia. Anadai binadamu wa kwanza aliishi na wanyama Edeni ila baada ya kuasi akatolewa mle. Sasa ukiunganisha dots ni kwamna Edeni ilikua na wanyama wote ambapo Ngorongoro crater inao karibu wote.. pia kama Adam alitoka nje ya Edeni basi inawezekana ni yeye alitoka nje ya Crater na kwenda Olduvai kwasababu sio mbali.
 
Tafadhali kama una maelezo yasiyotia shaka tuelezee kuhusu wanyama kufika kwenye mabara mengine baada ya gharika kufikia mwisho wake. Kangaroo alifikaje Australia? Simba wa Serengeti alifikaje pale?

Wale dubu wa America Kaskazini walifikaje?

Ikumbukwe wanyama wote waliingizwa kwenye Safina kabla ya gharika hivyo wanyama wote waliokuwa nje ya safina walikufa.
Story zote kwenye vitabu vya dini vinaongelea middle east...sasa na sisi huku afrika tunafikiri ni ulimwemu wote......
 
Tafadhali kama una maelezo yasiyotia shaka tuelezee kuhusu wanyama kufika kwenye mabara mengine baada ya gharika kufikia mwisho wake. Kangaroo alifikaje Australia? Simba wa Serengeti alifikaje pale?

Wale dubu wa America Kaskazini walifikaje?

Ikumbukwe wanyama wote waliingizwa kwenye Safina kabla ya gharika hivyo wanyama wote waliokuwa nje ya safina walikufa.
Ukiweza kujua mifupa na damu pia pumzi na nyama viliingiaje au vilifakaje tumboni mwa mama yako kisha ukaanzisha mchakato wa kutoka na kuendelea kuishi na leo upo unajiuliza maswali kama haya ya wewe ulijipataje kuwa Tanzania. Ukipata jibu ya hayo Hakika utakuwa na jibu la hilo swali lako, ni rahisi mno.
 
Ukiweza kujua mifupa na damu pia pumzi na nyama viliingiaje au vilifakaje tumboni mwa mama yako kisha ukaanzisha mchakato wa kutoka na kuendelea kuishi na leo upo unajiuliza maswali kama haya ya wewe ulijipataje kuwa Tanzania. Ukipata jibu ya hayo Hakika utakuwa na jibu la hilo swali lako, ni rahisi mno.
Umeandika upuuzi
 
Kama walivyofika wanadamu KILA pembe ya Dunia ndivyo walivyofika wanyama pia.
Achana na story za mtu wa kwanza alipatikana Olduvai.Hizi ni za kutunga.
Mtu wa kwanza alitokea middle east
Jibu ni rahisi tu. Lisilowezekana kwa Binadamu, kwa Mungu linawezekana. Ndio maana ujio wa Adamu na Hawa ni miaka 7,000 iliyopita lakini fuvu la binadamu wa kale ni miaka 3,000,000 iliyopita😂😂
 
Hii chai.

Hivi unajuwa umbali wa kutoka Tanzania hadi Finland?

Hao ndege hawachoki?
Wamewezaje kuvuka bahari kuu?
Wamejuwaje kama hawa ndege wanatoka uyole Tanzania?
Acha Ubishi basi! Nini maana ya kumiliki smart phone!
 
Tafadhali kama una maelezo yasiyotia shaka tuelezee kuhusu wanyama kufika kwenye mabara mengine baada ya gharika kufikia mwisho wake. Kangaroo alifikaje Australia? Simba wa Serengeti alifikaje pale?

Wale dubu wa America Kaskazini walifikaje?

Ikumbukwe wanyama wote waliingizwa kwenye Safina kabla ya gharika hivyo wanyama wote waliokuwa nje ya safina walikufa.
Swali la kitoto kabisa.Kama mimi ni mmoja ya moderators nalifutilia mbali. Wanyama wanaogelea na wanahamishwa na watu kufika kila sehemu.Simba wa Serengeti na tausi wa misitu ya kongo walifikaje huko America.
 
Tafadhali kama una maelezo yasiyotia shaka tuelezee kuhusu wanyama kufika kwenye mabara mengine baada ya gharika kufikia mwisho wake. Kangaroo alifikaje Australia? Simba wa Serengeti alifikaje pale?

Wale dubu wa America Kaskazini walifikaje?

Ikumbukwe wanyama wote waliingizwa kwenye Safina kabla ya gharika hivyo wanyama wote waliokuwa nje ya safina walikufa.
Unauliza vitu ambavyo ni rahisi sana kujibiwa, kwani waisrael walivuka vipi bahari ya shamu??
 
Back
Top Bottom