Baada ya Safina ya Nuhu kutua Mlima Ararat, wanyama walifikaje kwenye mabara mengine?

Baada ya Safina ya Nuhu kutua Mlima Ararat, wanyama walifikaje kwenye mabara mengine?

Kuna kundi fulani la ndege wanapatikana UYOLE huwa majira fulani wanaenda FINLAND wanakaaa huko mda mrefu wanazaliana kisha majira fulani wanarudi uyole .wanasayansi wa kimazingira na viumbe hai bado wanafatilia kujua kwa nin ndege hao wanaenda finland na sio pengine na kwa nin wanarudi tz tena uyole tu? Kwa kifupi movement ya wanyama bado ni jambo la kushangaza kama swali la mtoa mada linavofikirisha..

Jibu litakuepo n nila environmental conditions
 
Hayo makumbusho ya huyo yesu wao(shetani) na baadhi ya shahid za uongo huko jerusalem feki ya middle east hayo mambo yalifadhiliwa na wazungu nayalikuwa planned kwa muda mrefu, kuanzia kutafuta best location ya kuundia taifa feki la israel, pia shahidi na mabaki feki ya mitume na manabii wa biblia, bila kusahau ramani na historia ya dunia kuforce iamni wanachokiamn wao, ndiomaana raman ORIGINAL ya dunia hii huwezi kupata na hutowai ipata maana wanajua sili hii, ikiwekwa ile raman in PUBLIC , hakika hakuna atakae kwenda shule tena, hakuna atakaefuata dini tena, hakuna atakae amini zile fake documentaries za NASA na wahuni wengine, maana kila kitu kitakuwa wazi kuanzia Muonekano Origanal wa dunia, muonekano wa Afrika kuwa kubwa kulko bara lolote lile, pia mfumo wa jua&mwez na nyota, bila kusahau kuhusu mzunguko wa jua, haya yote nadhani tulipigwa sana
At least tungekuwa na Waafrica ambao wameshafanya utafiti na kuona kweli bara letu ni kubwa.
Lakini kama umewahi kuwa juu ya uaswa wa bahari walau kuanzia mita 27k. utakubaliana na mimi kuwa raman hii ya dunia ina ukweli kwa asilimia nyingi tu.
 
Ukisoma Biblia kama novo itakusumbua sana. Sali kwanza uombe roho mtakatifu akuongoze katika kuielewa na kuitafakari.
La sivyo utahoji kila kitu.
Kwa mfano genesis 1.27 inasema Mungu aliumba mwanamme na mwanamke. Sasa jiulize huyu aliyetoka ubavuni siku za baadae baada ya Mungu kumwona mwanamme ni mpweke (genesis 2.18) alikua wa ngapi maana kwenye 1.27 alishaumba wawili!
kuna vitu vingine vinaitaji akili haviitaji roho mtakatifu ili uelewe. Ina maana unashindwa kutofautisha mwanzo 1 na 2? Kuwa mwanzo 1 ni summary ya mwanzo 2 had umuombe roho mtakatifu?
 
Mtu wa kwanza Olduvai. Ndiye Adam
Kama ndie adam ilikuwaje SAsa middle east enzi za mitume wote kuwe na population kubwa Sana ikiwa centered na isiwe Afrika.
Enzi za mitume watu walikuwa ni middle east, afrika kaskazini na sehemu chache za Ulaya mashariki mfano italy, uturuki, Urusi, misri, ethiopian ya juu ghuba ya Aden. Sehemu zingine za dunia zilikuwa ni mapori tu wanaishi zinjatropasi, dinosaur na wanyama wengine. Pangekuwa na population mitume wangetokea na huko.
 
Tafadhali kama una maelezo yasiyotia shaka tuelezee kuhusu wanyama kufika kwenye mabara mengine baada ya gharika kufikia mwisho wake. Kangaroo alifikaje Australia? Simba wa Serengeti alifikaje pale?

Wale dubu wa America Kaskazini walifikaje?

Ikumbukwe wanyama wote waliingizwa kwenye Safina kabla ya gharika hivyo wanyama wote waliokuwa nje ya safina walikufa.
Mkuu wengine mpaka kisiwani kwetu Mafia kuna viboko, chatu nk
 
Ni km vile Maji yanakupwa na kujaa
Usiku na mchana
Jua kuchomoza mash-magh etc.
Mungu anajua zaidi.
 
Wakati GHARIKA inatokea, hakukua na Mabara, kumbuka theory of continental drifting, wakati wa GHARIKA kulikua na Bara moja tu kubwa Super Continent, linaitwa PANGAEA, na proof ya hili angalia Madagasca, utaona imemeguka kutoka Pwani ya Msumbiji, na angalia South America, imemeguka kutoka Africa etc!
We mzee usipende changanya scientific facts na habari zako za kubuni hiyo pangea inatokea ni miaka milioni nyingi kabla hata ya uwepo wa mamal
 
Back
Top Bottom