Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Kati ya Caen na Abel kutengana unajua nini kilifuata...?, Unajua walisafiri mpaka wapi.. ?Nani alikwambia Tandahimba kulikuwa na watu? Mnaongeaga kama mmekata vichwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya Caen na Abel kutengana unajua nini kilifuata...?, Unajua walisafiri mpaka wapi.. ?Nani alikwambia Tandahimba kulikuwa na watu? Mnaongeaga kama mmekata vichwa!
Kwani wale fisi waliopandishwa kwenye pickup hawakufika Chato?Tafadhali kama una maelezo yasiyotia shaka tuelezee kuhusu wanyama kufika kwenye mabara mengine baada ya gharika kufikia mwisho wake. Kangaroo alifikaje Australia? Simba wa Serengeti alifikaje pale?
Wale dubu wa America Kaskazini walifikaje?
Ikumbukwe wanyama wote waliingizwa kwenye Safina kabla ya gharika hivyo wanyama wote waliokuwa nje ya safina walikufa.
Kama Adam na Eva walikuwa wazungu, wewe mwafrika ulitokea wapi?Tafadhali kama una maelezo yasiyotia shaka tuelezee kuhusu wanyama kufika kwenye mabara mengine baada ya gharika kufikia mwisho wake. Kangaroo alifikaje Australia? Simba wa Serengeti alifikaje pale?
Wale dubu wa America Kaskazini walifikaje?
Ikumbukwe wanyama wote waliingizwa kwenye Safina kabla ya gharika hivyo wanyama wote waliokuwa nje ya safina walikufa.
Wa majini waliogeleaWaliogelea au
Ha h ha ha [emoji28]Hivi kwa nini Mungu aliwaua watu kwa maji wakati angeweza tu kubonyeza button roho zao zikaondoshwa,ila Mungu bwana kuna wakati alikuwa akifanya michezo ya ajabu sana kama kipindi kile alipoufanya moyo wa Farao kuwa mgumu
Tafadhali kama una maelezo yasiyotia shaka tuelezee kuhusu wanyama kufika kwenye mabara mengine baada ya gharika kufikia mwisho wake. Kangaroo alifikaje Australia? Simba wa Serengeti alifikaje pale?
Wale dubu wa America Kaskazini walifikaje?
Ikumbukwe wanyama wote waliingizwa kwenye Safina kabla ya gharika hivyo wanyama wote waliokuwa nje ya safina walikufa.
Mwanazuoni...Walitawanyika na kuzaliana
Mkuu, sijui wale jamaa walitengeneza vipi yale makumbusho kwenye ile njia inayosemekana Yesu alipita.Mwanazuoni...
Qur'an ina miaka takribani 1,200 - 1,300
Bible ina miaka takribani 3,000 - 3,500
Kwa mujibu wa kitabu kikongwe Bible ni kuwa Dunia ina Umri wa kati ya Miaka 6,000 hadi 7,000 kwa kuzingatia andiko la hapo mwanzo Mungu ana fanya uumbaji wa binadamu na viumbe vyote...
lakini hapo hapo...
Binadamu wa kwanza umri wake ni zaidi ya miaka 2 milioni iliyopita aliishi pale eden (Ngorongoro Crator ambayo wamasai na ndunia ina pambania isitoweke)
na ndio kunaitwa chimbuko la mwanadamu, the cradle of humankind... na nyayo zina patikana hapo...
ukienda pale ethiopia kuna kuna binadamu aliishi miaka zaidi ya 1 milioni iliyopita
ukienda pale uingereza kuna historia ya mtu mweusi ndiye wa kwanza kufika na kuishi, waingereza wenyewe wana fahamu, nenda mexico pia wana historia hiyo kama ya uingereza...
mtu wa kwanza kufika pale marekani (USA) alitokea morocco hakuwa mwarabu alikuwa mweusi...
twende misri na nchi za kaskazini mwa afrika historia ipo wazi kuwa ilikaliwa na watu weusi hapo awali kabla ya kuondolewa na historia yao kufutwa... hawa watu walipatikana mpaka israel (Watu weusi, sio hawa waisrael wa sasa waisrael wa mchongo)
twende zaidi...
vitabu vya dini vina eleza umri wa ulimwengu ni kati ya miaka 6,000 hadi 7,000 kwa kuzingatia maandiko hasa Genesis...
lakini mjusi wa pale lindi aliye gunduliwa na wajerumani na wana zidi kugundua kila kukicha mabaki yake...
mabaki ya awali ambayo waligundua na kusafirisha mnamo mwaka 1906 kama sijakosea, wana sema kiumbe huyu aliishi takribani miaka milioni 200 na zaidi, waka msafirisha mjusi yule na kumpeleka kwao ujerumani, yupo katika jumba la makumbusho pale Berlin...
sasa dunia ina kuwaje na miaka 6,000? 7,000?
kwa kuzingatia tafiti zilizo fanyika ambazo zina maajabu mengi ya wamisri na ndio ina semekana ndio chimbuko la mengi hadi hivi vitabu vitakatifu na sio israel kwa mujibu wa watafiti... na hila hizi zilifanywa na watawala wa ulaya hasa ugiliki ambayo ipo jilani na misri, waliiba na kuchoma taarifa nyingi pale misri.
pia kikundi kimoja cha watawa cha ufaransa ndio ina semekana ndio waanzilishi wa secret society (freemason) baada ya kuiba nyaraka za ujenzi wa yale mapiramids ambayo yalijengwa na mtu mweusi
walishangazwa ujuzi walio tumia kupandisha jiwe lenye matani mengi kukaa juu ya mnala bila kuleta shida miaka na miaka, leo waka pindisha story na kusema baba wa imani sjui nani kama sikosei ndio kizazi chake kilijenga hayo mapiramids, wakati umri wa mapiramids ni mkubwa kuliko umri wa baba wa imani...
na jiulize ina kuwaje mmarekani ktk noti yake ameweka mapiramids, na ina semekna yale mapiramids yana siri nzito sanaa...
Nimalizie kidogo, una jua kisa cha mfalme wa ugiriki kwenda kufanya maafa? na kuchoma kila kitu? ni baada ya watu wake kumwambia wale watu wana nguvu kubwa na wana mahusiano na watu walio acha miili (Mizimu).
leo tuna ambiwa wakina Pythagoras ndio wagunduzi wa hesabu sijui milinganyo nk, lakini zilitumika kabla yao na ndio zilijenga hayo mapiramids ya misri...
Tutaendelea... wakati ujao...
FUSO MamaSamia2025 Doyi britanicca KISIWAGA Brightfame Mtoto wa Jadu Ezekiel Mbaga Root Kalunya Introvert_007 Sandali Ali Ntopo Kilebente Azathioprine Lubengera Donatila cocastic yoga Asprin Maxence Melo Njemba Soro. Nuzulati Mkendo Tajiri Kichwa Zero IQ adriz Mwalimu wa tuisheni Ziroseventytwo rubii feitty baby zu Otterhound Triple G Encryption Tomaa Mireni DeepPond Toyota escudo@Lavan Island FRANCIS DA DON The Infinity Mamndenyi Msudu mwandende Kelvin X The imp Nautico@Kapeace johnthebaptist
wenzetu wana jifunza na wana tafiti...Mkuu, sijui wale jamaa walitengeneza vipi yale makumbusho kwenye ile njia inayosemekana Yesu alipita.
Anzia Misri-Jordani- Israel!. aisee walijipanga kweli kwelikweli.
Ukienda pale hakika utaamani uwepo wa haya tunayonyasoma katika Bibli na vitabu mbali mbali vya imani.
Swala la miaka katika vitabu na machapisho mbalimbali bado haiko sawa! mfano, unaambiwa asili ya mwanadamu ni Nyani ambaye alikuwa anabadilika kadri muda unavyooenda, at the same time Biblia inasema Mwanadamu wa kwanza alikuwa Adamu pale Eden.
Binafsi, naamini sana muda uliyopo kwenye vitabu kuliko hostoria tulizokaririshwa, haiwezekani Vufu la mwanadamu wa kwanzs liko Olduvai, na wakati tunafaham mwanadam wa kwanzs alikuwa Adam.
Haya mambo ukisema uyafuatilie kiundani kwa na kwa logic, huta kaa ukubaliane na hawa watafiti pamoja na maandiko ya vitabu dini (Bible+Quruan)
Chillah asante kwa bandiko murua lililojaa maarifa wakati najiandaa na majibu kuna hii mada hapa nakuwekea... Nitarejea[emoji1545]Mwanazuoni...
Qur'an ina miaka takribani 1,200 - 1,300
Bible ina miaka takribani 3,000 - 3,500
Kwa mujibu wa kitabu kikongwe Bible ni kuwa Dunia ina Umri wa kati ya Miaka 6,000 hadi 7,000 kwa kuzingatia andiko la hapo mwanzo Mungu ana fanya uumbaji wa binadamu na viumbe vyote...
lakini hapo hapo...
Binadamu wa kwanza umri wake ni zaidi ya miaka 2 milioni iliyopita aliishi pale eden (Ngorongoro Crator ambayo wamasai na ndunia ina pambania isitoweke)
na ndio kunaitwa chimbuko la mwanadamu, the cradle of humankind... na nyayo zina patikana hapo...
ukienda pale ethiopia kuna kuna binadamu aliishi miaka zaidi ya 1 milioni iliyopita
ukienda pale uingereza kuna historia ya mtu mweusi ndiye wa kwanza kufika na kuishi, waingereza wenyewe wana fahamu, nenda mexico pia wana historia hiyo kama ya uingereza...
mtu wa kwanza kufika pale marekani (USA) alitokea morocco hakuwa mwarabu alikuwa mweusi...
twende misri na nchi za kaskazini mwa afrika historia ipo wazi kuwa ilikaliwa na watu weusi hapo awali kabla ya kuondolewa na historia yao kufutwa... hawa watu walipatikana mpaka israel (Watu weusi, sio hawa waisrael wa sasa waisrael wa mchongo)
twende zaidi...
vitabu vya dini vina eleza umri wa ulimwengu ni kati ya miaka 6,000 hadi 7,000 kwa kuzingatia maandiko hasa Genesis...
lakini mjusi wa pale lindi aliye gunduliwa na wajerumani na wana zidi kugundua kila kukicha mabaki yake...
mabaki ya awali ambayo waligundua na kusafirisha mnamo mwaka 1906 kama sijakosea, wana sema kiumbe huyu aliishi takribani miaka milioni 200 na zaidi, waka msafirisha mjusi yule na kumpeleka kwao ujerumani, yupo katika jumba la makumbusho pale Berlin...
sasa dunia ina kuwaje na miaka 6,000? 7,000?
kwa kuzingatia tafiti zilizo fanyika ambazo zina maajabu mengi ya wamisri na ndio ina semekana ndio chimbuko la mengi hadi hivi vitabu vitakatifu na sio israel kwa mujibu wa watafiti... na hila hizi zilifanywa na watawala wa ulaya hasa ugiliki ambayo ipo jilani na misri, waliiba na kuchoma taarifa nyingi pale misri.
pia kikundi kimoja cha watawa cha ufaransa ndio ina semekana ndio waanzilishi wa secret society (freemason) baada ya kuiba nyaraka za ujenzi wa yale mapiramids ambayo yalijengwa na mtu mweusi
walishangazwa ujuzi walio tumia kupandisha jiwe lenye matani mengi kukaa juu ya mnala bila kuleta shida miaka na miaka, leo waka pindisha story na kusema baba wa imani sjui nani kama sikosei ndio kizazi chake kilijenga hayo mapiramids, wakati umri wa mapiramids ni mkubwa kuliko umri wa baba wa imani...
na jiulize ina kuwaje mmarekani ktk noti yake ameweka mapiramids, na ina semekna yale mapiramids yana siri nzito sanaa...
Nimalizie kidogo, una jua kisa cha mfalme wa ugiriki kwenda kufanya maafa? na kuchoma kila kitu? ni baada ya watu wake kumwambia wale watu wana nguvu kubwa na wana mahusiano na watu walio acha miili (Mizimu).
leo tuna ambiwa wakina Pythagoras ndio wagunduzi wa hesabu sijui milinganyo nk, lakini zilitumika kabla yao na ndio zilijenga hayo mapiramids ya misri...
Tutaendelea... wakati ujao...
FUSO MamaSamia2025 Doyi britanicca KISIWAGA Brightfame Mtoto wa Jadu Ezekiel Mbaga Root Kalunya Introvert_007 Sandali Ali Ntopo Kilebente Azathioprine Lubengera Donatila cocastic yoga Asprin Maxence Melo Njemba Soro. Nuzulati Mkendo Tajiri Kichwa Zero IQ adriz Mwalimu wa tuisheni Ziroseventytwo rubii feitty baby zu Otterhound Triple G Encryption Tomaa Mireni DeepPond Toyota escudo@Lavan Island FRANCIS DA DON The Infinity Mamndenyi Msudu mwandende Kelvin X The imp Nautico@Kapeace johnthebaptist Pascal Mayalla
aa WAP hapo umetudanganya mkuu Mambo ya discover yalikuja baada ya hayo mamb kutokea wangekuwepo ndo wangetuambia kwamb n force ndo zilizo fanya mpaka pakagawanyika uongo uoEnzi hizo bara lilikuwa moja (One major landmass known as Gondwanaland) kwa hiyo lilipojigawa (splitting through natural force) kila kipande (bara au kisiwa) kiliondoka na viumbe wake. Sehemu nyingine wanyama walipelekwa.
Kaka matendo ya Mungu hayaelezeki alaf Mungu achhunguziki njia zakeHivi kwa nini Mungu aliwaua watu kwa maji wakati angeweza tu kubonyeza button roho zao zikaondoshwa,ila Mungu bwana kuna wakati alikuwa akifanya michezo ya ajabu sana kama kipindi kile alipoufanya moyo wa Farao kuwa mgumu
Kwani hiyo gharika ilikuwa dunia nzima? Halafu wanyama wa nchi kavu wala nyama walikuwa wanakula nini? Vipi kuhusu mimea ambayo haiwezi kuishi kwenye maji mengi?Tafadhali kama una maelezo yasiyotia shaka tuelezee kuhusu wanyama kufika kwenye mabara mengine baada ya gharika kufikia mwisho wake. Kangaroo alifikaje Australia? Simba wa Serengeti alifikaje pale?
Wale dubu wa America Kaskazini walifikaje?
Ikumbukwe wanyama wote waliingizwa kwenye Safina kabla ya gharika hivyo wanyama wote waliokuwa nje ya safina walikufa.
Na hili ndio jibu sahihi kabsa mzee wewe piga k vant ndogoHapo huwa kuna swali la kujiuliza, Je mafuriko yalikuwa dunia nzima!?
Kwamba kwa kipindi kile dunia iligeuka na kuwa mpira wa maji!?
Wale waliokuwa wanaishi Tandahimba, nao walistahili adhabu ile? Yaani walimkosea Mungu kama ambavyo watu wa Nuhu walivyofanya!
Nadhani mafuriko yale yalikuwa ni adhabu kwa watu wa mji wa Nuhu.