Baada ya Safina ya Nuhu kutua Mlima Ararat, wanyama walifikaje kwenye mabara mengine?

Baada ya Safina ya Nuhu kutua Mlima Ararat, wanyama walifikaje kwenye mabara mengine?

Hapo huwa kuna swali la kujiuliza, Je mafuriko yalikuwa dunia nzima!?

Kwamba kwa kipindi kile dunia iligeuka na kuwa mpira wa maji!?

Wale waliokuwa wanaishi Tandahimba, nao walistahili adhabu ile? Yaani walimkosea Mungu kama ambavyo watu wa Nuhu walivyofanya!

Nadhani mafuriko yale yalikuwa ni adhabu kwa watu wa mji wa Nuhu.
Nimependa jina lako
 
Kuna kundi fulani la ndege wanapatikana UYOLE huwa majira fulani wanaenda FINLAND wanakaaa huko mda mrefu wanazaliana kisha majira fulani wanarudi uyole .wanasayansi wa kimazingira na viumbe hai bado wanafatilia kujua kwa nin ndege hao wanaenda finland na sio pengine na kwa nin wanarudi tz tena uyole tu? Kwa kifupi movement ya wanyama bado ni jambo la kushangaza kama swali la mtoa mada linavofikirisha..
Hii kitu nimewahi kuisikia na huwa inaniwazisha sana.
 
Nyie mnaosema theory ya Pangaea ina maana baada ya safina kutua mlima Ararat wale wanyama walitoka nje halafu huo mgawanyiko wa ardhi ukatokea na kila mnyama kujikuta yuko kwenye bara lake?
 
Kuna kundi fulani la ndege wanapatikana UYOLE huwa majira fulani wanaenda FINLAND wanakaaa huko mda mrefu wanazaliana kisha majira fulani wanarudi uyole .wanasayansi wa kimazingira na viumbe hai bado wanafatilia kujua kwa nin ndege hao wanaenda finland na sio pengine na kwa nin wanarudi tz tena uyole tu? Kwa kifupi movement ya wanyama bado ni jambo la kushangaza kama swali la mtoa mada linavofikirisha..
Hii chai.

Hivi unajuwa umbali wa kutoka Tanzania hadi Finland?

Hao ndege hawachoki?
Wamewezaje kuvuka bahari kuu?
Wamejuwaje kama hawa ndege wanatoka uyole Tanzania?
 
Tafadhali kama una maelezo yasiyotia shaka tuelezee kuhusu wanyama kufika kwenye mabara mengine baada ya gharika kufikia mwisho wake. Kangaroo alifikaje Australia? Simba wa Serengeti alifikaje pale?

Wale dubu wa America Kaskazini walifikaje?

Ikumbukwe wanyama wote waliingizwa kwenye Safina kabla ya gharika hivyo wanyama wote waliokuwa nje ya safina walikufa.
Mkuu hujuwahi kujiuliza kwamba 70% ya wanyama wanajuwa kuogelea by nature?

Pengine walisombwa na maji .
 
Kama walivyofika wanadamu KILA pembe ya Dunia ndivyo walivyofika wanyama pia.
Achana na story za mtu wa kwanza alipatikana Olduvai.Hizi ni za kutunga.
Mtu wa kwanza alitokea middle east
Kwahiyo Olduvai walikuta mabaki ya nyumbu na pofu wa ngorongoro..?

Leakey na mke wake ni matapeli
 
Enzi hizo bara lilikuwa moja (One major landmass known as Gondwanaland) kwa hiyo lilipojigawa (splitting through natural force) kila kipande (bara au kisiwa) kiliondoka na viumbe wake. Sehemu nyingine wanyama walipelekwa.
Pangaea sio godwanalanda(africa)

Wazee wa zwangendabaz wanajua
 
Wakati GHARIKA inatokea, hakukua na Mabara, kumbuka theory of continental drifting, wakati wa GHARIKA kulikua na Bara moja tu kubwa Super Continent, linaitwa PANGAEA, na proof ya hili angalia Madagasca, utaona imemeguka kutoka Pwani ya Msumbiji, na angalia South America, imemeguka kutoka Africa etc!
Unachanganya madesa mzee, what if usingefundishwa habari za pangea na blah blah zingine na mzungu, ungekuja na fact gani nyingine...?
 
Itakuwa hawakufa viumbe wote, wengine walipona wakazaliana
Mwanzo 6:7
[7]BWANA akasema, Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi; mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani; kwa maana naghairi ya kwamba nimewafanya.


Hakuna kiumbe kilichobaki
 
Back
Top Bottom