Tetesi: Baada ya Serikali kuanza mahojiano na Nyalandu kuhusu kashfa katika Wizara ya Maliasili na Utalii, atimkia CHADEMA


Nasubiria kesi ya LN Mahakama ya Mafisadi.
 
Mwenye Kashfa hubaki ccm ili imlinde
 


Ushenzi upuuzi, umbeya uzushi uvundo.
Mijitu ya lumumb sijui inawaza kwa kutumia nini?
 
wameanza kuhamia upinzani hususani CHADEMA ili kuandaa mazingira ya kuonekana wameonewa baada ya kufikishwa Mahakamani.

hii wamekuambia hao waliotoka kijani kwenda cdm? au amekuambia lazarus? au umehisi? je umezusha hili? unao uwezo wa kuzusha wewe jambo likasimama peke yake bila kuwa na matobo matobo?

Mikataba Mbalimbali ya Kifisadi iliyisainiwa katika Kipindi ambacho amehudumu kama Waziri wa MALIASILI NA UTALII.

je kuna aliyethibitisha mpaka sasa kuwa hiyo mikataba ni ya kifisadi? ni kwa mujibu wa chombo gani rasmi wewe unasema hiyo ni mikataba ya kifisadi?


nani amekuambia kuwa vyombo vimejiridhisha pasipo shaka? shaka maana yake nini? au wewe ni jinias wa kujua shaka ni nini? yaani mpaka sasa hujademonstrate kuwa una uwezo wa kuwa jinias. so far nahisi unatumiwa au unaendeshwa na chuki au mhemko. nahisi

hapa pia unatuambia serikali imeshachukua maamuzi ya kumfikisha LN mahakamani. huko chini utujibu vizuri kama hili ulilifikiria vizuri

Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu kwani wawekezaji aliosaini nao mikataba wamembana wakitaka arejeshe mara moja pesa zao Pamoja na fidia kwani ameonekana aliwatapeli kwa kuwahakikishia kuendesha Shughuri zao Nchini katika njia za Unyonyaji.

haya hapa umeleta kitu kinachoweza kuwa assumptive heresy. hata kama ingekuwa ni kweli wapo waliotoa pesa, je walimpa LN binafsi? kwa utaratibu gani? wonders shall never end

Kwa namna serikali ilivyodhamilia kumfikisha Mahakamani

pale juu ulituambia kuwa serikali imeshachukua maamuzi ya kumfikisha mahakamani. hapa maana yake serikali inasubiri tu muda muafaka imfikishe mahakamani na sio kwamba inajishauri kama imfikishe mahakamani au la. unajitambua kweli wewe. ok nahisi nao huu ni mhemuko na chuki.

Ninadhani sasa huu ni mtego, kama tutampokea chama chetu litakua chaka la kupokea Mafisadi alisikika akisema Kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya Chadema.

hapa unasema kuwa huu ni mtego kwa chama chetu ambacho kwa hapa ni wazi kuwa ni ufipa kama kitampokea. hapa unatuambia kuwa wewe pia ni mwana ufipa. haya angalia huko chini

Je Chadema watampokea Nyarandu wakijua kuwa atafikishwa Mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za Ubadhilifu, kuitia Nchi hasara na kufanya ufisadi mkubwa?_*

hapa ghafla umeidisown ufipa na kujitoa kwenye "chama chetu" kwa kusema je cdm watampokea wakijua atafikishwa mahakamani na matapishi mengine mengine. hebu yafute yananuka sana

bwana mdogo, hapa utaniita msaliti na sio mzalendo kwa tafsiri yako ya huko ulikotoka lakini ukweli ni kwamba nimeamua tu asubuhi hii kufikiri kimantiki tu. mantiki.

nakushauri uishi bila kuwa na chuki kwa usiokubaliana nao kiitikadi. wanaweza kuwa watu wanaokufaa sana siku zijazo.

and one last thing, GROW!
 
Kingwangwala kamkimbiza Nyalandu CCM!

Mbwa ndio anatikisa Mkia sio Mkia kutikisa Mbwa!
Nyalandu kachagua kujivua Nguo


Mkuu hivyo ni kutuambia/kutufikirisha kuwa angeendelea kubaki CCM angefaidika
na" human face". !?
 
Bila katiba sahihi kama ile tuliyopendekeza kwa Warioba, kumshtaki Nyalandu kwa suala la Twiga na kugawa vitalu vya uwindaji kwa Waarabu, ni vigumu kama hadi sasa ilivyo vigumu kumshtaki Lowassa. Sababu mnazijua!
 
Tutazaa naye tu huyo jangili hata akimbilie kwenye kitanda alicholalia fisadi mwenzake Tundu Lisu!

Nani amekuambia anataka uchi wako hadi ulazimishe kuzaa nae?! Tulia kwa mumeo wewe mama, njaa isikutoe ufaham kiasi hicho!! Unataka kuzaa na kila mwanaume wewe kwani mtetea??
 
Pumba tupu ndio maana watu hawaijadili
 
kama kweli Nyalandu ni mhalifu, mbona mwaka 2015 ninyi CCM mlimpitisha kugombea ubunge na hadi JPM alimpigia kampeni na hadi wakati huu mbona hamjamfukuza mwizi chamani kwenu?
mbona chokochoko zenu hizi mlizianza mara tu baada ya Nyalandu kuanza kum-support Lissu?
 
Kabla ya kuandika mambo mengine kama kuna mtu jirani muoneshe kwanza kama kinafaa kukipost
 
Habari Comrades,

Ukitaka kupima jinsi watu wa CCM walivyochoka kufikiri, wanamshutumu sana Nyalandu hivi sasa kwasababu tu ameamua kuhama na kwenda kuitafuta Demokrasia ya kweli..

Oohh mara Nyalandu fisadi, mara Nyalandu jangili ooh mara Nyalandu mwizi nk nk.

Yote mnayasema hayo wakati kwa hivi sasa mna kubwa lao Chenge mpo nae hivi sasa hapo CCM na maisha yapo poa tu.

Kama ninyi ni watu serious kweli kwanini msimshugulikie Chenge kwa kashfa zote alizo nazo!? Chenge ameingizia hasara ngapi hii Nchi na mpo nae tu??

Mnasubiri nae ahame??

Mshugulikieni Chenge kama nyie wanaume kweli.
 
Inawezekana wameama wabovi vipi katiba ya chama imebadilishwa ili kusafisha chama
 
CCM NI MTAMBO WA KUZALISHA MAFISADI......

AMBAO WAKIHAMIA CHADEMA WANAKUWA WASAFI AUTOMATIC......
 
Kadsh la ccm hilo limepits


Swissme
 
Kabla ya kuandika mambo mengine kama kuna mtu jirani muoneshe kwanza kama kinafaa kukipost

Kwa hiyo yeye hatakiwi kutoa maoni mpaka apate ushauri wa watu wengine...!!!?

Uhuru na Demokrasia mnavyopigania viko wapi.....!!?

Au kwako uhuru wa kutoa maoni ni yale yanayo pendeza nafsini mwako.....!!?
 
mkuu, ukimgusa Chenge utafukua makaburi ya wahenga wengi CCM.
nahisi ataanza na lile kaburi bovu kabisa la "nyumba za serekali kugawiwa kama njugu"!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…