Tetesi: Baada ya Serikali kuanza mahojiano na Nyalandu kuhusu kashfa katika Wizara ya Maliasili na Utalii, atimkia CHADEMA

Tetesi: Baada ya Serikali kuanza mahojiano na Nyalandu kuhusu kashfa katika Wizara ya Maliasili na Utalii, atimkia CHADEMA

Hawa wazee wetu wanastahili pongezi za dhati kwa utumishi wao ndani ya chama na kuendelea kuaminiwa na chama.

Tuzidi kuwaunga mkono katika juhudi zao
Siku wakihama mtasikia ah wale walikuwa mafisadi😀
 
Kwa kweli wapewe tu pongezi. Maana wamekomaa ndani ya chama siku wakitoa tu mguu hapo hapo tutasikia kama haya ya Nyalandu. [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mwambieni 'Dada Mange' afute comments zake za kumtukana Nyalandu maana kushajiunga na Team Malofa
Halafu najaribu Ku connect dot nahisi ile iPhone X ya mange anayotamba kuwa kuna jamaa kamnunulia nahisi itakuwa ni huyu huyu nyalandu kanunua maana kuna alarm inanambia
 
Hoja yangu si kwamba Nyalandu ni msafi au hana makosa, ila ni wakati gani anaonekana mkosefu. Kwa nini makosa yao yanaibuka baada ya kuhama Chama? Kwa maana hiyo unaweza kusema kuwa kama una makosa, unakuwa salama zaidi ukiwa ndani ya CCM


hata hoja yangu hujaijibu, kwenye haki na ukweli lazima atetewe, wewe umeshindwa kuona kuwa hata humu jf pekee amesemwa kwa takriban miaka 7 kuwa ni mfuja mali?
 
*BAADA YA SERIKALI KUANZA MAHOJIANO NA RAZALO NYARANDU KUHUSU KASHFA MBALIMBALI KATIKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII RASMI ATIMKIA CHADEMA.*

Baada ya Serikali ya awamu ya Tano kuanza kushughulikia kashfa mbalimbali zilizofanywa na baadhi ya viongozi waliokua madarakani katika awamu zilizopita za uongozi tayari baadhi ya watu waliobanwa na Serikali kwa kashfa hizo wameanza kuhamia upinzani hususani CHADEMA ili kuandaa mazingira ya kuonekana wameonewa baada ya kufikishwa Mahakamani.

Duru za ndani ya Serikali zinadai kuwa toka Mh. John Pombe Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu akihojiwa kuhusu Mikataba Mbalimbali ya Kifisadi iliyisainiwa katika Kipindi ambacho amehudumu kama Waziri wa MALIASILI NA UTALII.

Baada ya kuhojiwa na Vyombo mbalimbali na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa Mh. Nyarandu aliingia mikataba mibovu na baadhi ya Makampuni ya Kigeni kwa maslahi yake binafsi ikiwa ni Pamoja na uuzaji wa Vitalu vya Uwindaji Pamoja na kashfa nzito ya Kupandisha ndege Twiga wa Tanzania na kuuza raslimali mbalimbali za Taifa ndipo Serikali ilipochukua maamuzi ya Kumfikisha Mh. Nyarandu Mahakamani.

Katika Kufanikisha adhima hiyo Wiki kadhaa zilizopita Mh. Rais alimteua Mh. Hamis Kigwangala kuwa Waziri wa MALIASILI NA UTALII ambaye ameanza kwa kufuta leseni zote za Uwindaji zilizotolewa na Mh. Nyarandu kwa makampuni ya Kigeni kwa misingi ya Rushwa. Baada ya kuvunjwa kwa mikataba hiyo na kurudisha Serikalini baadhi ya Vitalu vya uwindaji Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu kwani wawekezaji aliosaini nao mikataba wamembana wakitaka arejeshe mara moja pesa zao Pamoja na fidia kwani ameonekana aliwatapeli kwa kuwahakikishia kuendesha Shughuri zao Nchini katika njia za Unyonyaji.

Kwa hiyo kutokana na shinikizo alilonalo toka kwa Makampuni hayo ya Kigeni na Kwa namna serikali ilivyodhamilia kumfikisha Mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ameamua kukimbilia Upinzani ili atakaposhitakiwa ionekan Upinzani Nchini Tanzania unaonewa.

Baadhi ya Makada wakongwe ndani ya Chadema waliotoa maoni yao wameonyesha kuchukizwa kwao na jinsi watu wenye kashfa za Ufisadi wanavyokimbilia kwenye chama chao.

Ninadhani sasa huu ni mtego, kama tutampokea chama chetu litakua chaka la kupokea Mafisadi alisikika akisema Kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya Chadema.

*_Je Chadema watampokea Nyarandu wakijua kuwa atafikishwa Mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za Ubadhilifu, kuitia Nchi hasara na kufanya ufisadi mkubwa?_*

Tuendelee kusubiri Kuona maamuzi ya Chadema kuhusu Nyarandu.
Nasikiliza wimbo wa snura CHULA ANARUKARUKA CHURA[emoji445][emoji445][emoji443][emoji445][emoji444][emoji444][emoji444][emoji441][emoji441][emoji442][emoji442][emoji442]
 
Tutazaa naye tu huyo jangili hata akimbilie kwenye kitanda alicholalia fisadi mwenzake Tundu Lisu!
Aiseee chenge bado mpo nae mjue... wale wote wa escro pia mpo nao ... mjue..????
 
Niulize tena, hivi mwizi akiiba kwa ufanisi akiwa CCM anakuwaje salama kwa lukimbilia CHADEMA? Kweli kabisa mnatuaminisha Nyalandu kakimbia tuhuma CCM na kwenda CHADEMA ili asishitakiwe? Kwamba huko kuna immune gani? Toka muanze makelele ya kufunga mafisadi mmefunga wangapi wa upinzani?
Hebu tuambie ni nani aliyeko CCM ni fisadi na mwizi?
LOWASA mlituambia ni mwizi, akahamia Chadema mkasema ni msafi kwa vile hajapelekwa Mahakamani. Hivyo hivyo Nyalandu mumelalamika uuzwaji wa vitalu kifisadi na twiga kupanda ndege na mhusika ni huyu huyu Nyalandu, sasa mnasema ni msafi kwa vile hajapelekwa mhakamani. Hizi ni akili za wapi?
 
Daaah kweli bana aisee all the connections are there huitaji akili ya kuambiwa kujua brother N anakimbia kitu kutoka huko alikokuepo!!!!
 
Hebu tuambie ni nani aliyeko CCM ni fisadi na mwizi?
LOWASA mlituambia ni mwizi, akahamia Chadema mkasema ni msafi kwa vile hajapelekwa Mahakamani. Hivyo hivyo Nyalandu mumelalamika uuzwaji wa vitalu kifisadi na twiga kupanda ndege na mhusika ni huyu huyu Nyalandu, sasa mnasema ni msafi kwa vile hajapelekwa mhakamani. Hizi ni akili za wapi?


Naonan umeamua kuimba wimbo uleule wa kila siku. Shauri yako bwana. Hoja hujibiwa kwa hoja na sio nyimbo!
 
*BAADA YA SERIKALI KUANZA MAHOJIANO NA RAZALO NYARANDU KUHUSU KASHFA MBALIMBALI KATIKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII RASMI ATIMKIA CHADEMA.*

Baada ya Serikali ya awamu ya Tano kuanza kushughulikia kashfa mbalimbali zilizofanywa na baadhi ya viongozi waliokua madarakani katika awamu zilizopita za uongozi tayari baadhi ya watu waliobanwa na Serikali kwa kashfa hizo wameanza kuhamia upinzani hususani CHADEMA ili kuandaa mazingira ya kuonekana wameonewa baada ya kufikishwa Mahakamani.

Duru za ndani ya Serikali zinadai kuwa toka Mh. John Pombe Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu akihojiwa kuhusu Mikataba Mbalimbali ya Kifisadi iliyisainiwa katika Kipindi ambacho amehudumu kama Waziri wa MALIASILI NA UTALII.

Baada ya kuhojiwa na Vyombo mbalimbali na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa Mh. Nyarandu aliingia mikataba mibovu na baadhi ya Makampuni ya Kigeni kwa maslahi yake binafsi ikiwa ni Pamoja na uuzaji wa Vitalu vya Uwindaji Pamoja na kashfa nzito ya Kupandisha ndege Twiga wa Tanzania na kuuza raslimali mbalimbali za Taifa ndipo Serikali ilipochukua maamuzi ya Kumfikisha Mh. Nyarandu Mahakamani.

Katika Kufanikisha adhima hiyo Wiki kadhaa zilizopita Mh. Rais alimteua Mh. Hamis Kigwangala kuwa Waziri wa MALIASILI NA UTALII ambaye ameanza kwa kufuta leseni zote za Uwindaji zilizotolewa na Mh. Nyarandu kwa makampuni ya Kigeni kwa misingi ya Rushwa. Baada ya kuvunjwa kwa mikataba hiyo na kurudisha Serikalini baadhi ya Vitalu vya uwindaji Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu kwani wawekezaji aliosaini nao mikataba wamembana wakitaka arejeshe mara moja pesa zao Pamoja na fidia kwani ameonekana aliwatapeli kwa kuwahakikishia kuendesha Shughuri zao Nchini katika njia za Unyonyaji.

Kwa hiyo kutokana na shinikizo alilonalo toka kwa Makampuni hayo ya Kigeni na Kwa namna serikali ilivyodhamilia kumfikisha Mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ameamua kukimbilia Upinzani ili atakaposhitakiwa ionekan Upinzani Nchini Tanzania unaonewa.

Baadhi ya Makada wakongwe ndani ya Chadema waliotoa maoni yao wameonyesha kuchukizwa kwao na jinsi watu wenye kashfa za Ufisadi wanavyokimbilia kwenye chama chao.

Ninadhani sasa huu ni mtego, kama tutampokea chama chetu litakua chaka la kupokea Mafisadi alisikika akisema Kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya Chadema.

*_Je Chadema watampokea Nyarandu wakijua kuwa atafikishwa Mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za Ubadhilifu, kuitia Nchi hasara na kufanya ufisadi mkubwa?_*

Tuendelee kusubiri Kuona maamuzi ya Chadema kuhusu Nyarandu.
Kuhusu madai kuwa ameamua kutoka CCM baada ya kuhojiwa kwa tuhuma mbalimbali, Nyalandu alisema hilo si kweli na hajawawahi kuhojiwa na kamati yoyote ya maadili, kuanzia wilaya, mkoa hadi Taifa.

Alisema hata zile tuhuma ambazo pia zimeanza kuibuliwa mitandaoni dhidi yake, si za kweli bali zinalenga tu kumchafua.

Alisema anashangaa tuhuma hizo kuibuliwa zaidi ya miaka miwili tangu aachie uwaziri na kueleza ni jinsi gani hahusiki.

Kuhusu utoroshaji wa twiga kwenda nje ya nchi, Nyalandu alisema tukio hilo lilitokea kabla hajawa Waziri wa Maliasili na Utalii na kuwa katika kipindi chake hakuna kitalu chochote cha uwindaji kilichotolewa.

Alisema vitalu huwa vinatolewa kisheria na vina muda wake, hivyo alipoingia wizarani alikuta vimeshatolewa na mtangulizi wake, Ezekiel Maige na muda ulifika tena katika kipindi cha Profesa Jumanne Maghembe wakati yeye ameshamaliza kipindi chake.

Kuhusu kashfa ya Faru John iliyoundiwa kamati na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Nyalandu alisema hilo lilihusu Bodi ya Ngorongoro na uchunguzi ulifanyika na likaisha.

Nyalandu aliwataka wanaosambaza kashfa hizo waache kwa kuwa si za kweli.
 
*BAADA YA SERIKALI KUANZA MAHOJIANO NA RAZALO NYARANDU KUHUSU KASHFA MBALIMBALI KATIKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII RASMI ATIMKIA CHADEMA.*

Baada ya Serikali ya awamu ya Tano kuanza kushughulikia kashfa mbalimbali zilizofanywa na baadhi ya viongozi waliokua madarakani katika awamu zilizopita za uongozi tayari baadhi ya watu waliobanwa na Serikali kwa kashfa hizo wameanza kuhamia upinzani hususani CHADEMA ili kuandaa mazingira ya kuonekana wameonewa baada ya kufikishwa Mahakamani.

Duru za ndani ya Serikali zinadai kuwa toka Mh. John Pombe Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu akihojiwa kuhusu Mikataba Mbalimbali ya Kifisadi iliyisainiwa katika Kipindi ambacho amehudumu kama Waziri wa MALIASILI NA UTALII.

Baada ya kuhojiwa na Vyombo mbalimbali na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa Mh. Nyarandu aliingia mikataba mibovu na baadhi ya Makampuni ya Kigeni kwa maslahi yake binafsi ikiwa ni Pamoja na uuzaji wa Vitalu vya Uwindaji Pamoja na kashfa nzito ya Kupandisha ndege Twiga wa Tanzania na kuuza raslimali mbalimbali za Taifa ndipo Serikali ilipochukua maamuzi ya Kumfikisha Mh. Nyarandu Mahakamani.

Katika Kufanikisha adhima hiyo Wiki kadhaa zilizopita Mh. Rais alimteua Mh. Hamis Kigwangala kuwa Waziri wa MALIASILI NA UTALII ambaye ameanza kwa kufuta leseni zote za Uwindaji zilizotolewa na Mh. Nyarandu kwa makampuni ya Kigeni kwa misingi ya Rushwa. Baada ya kuvunjwa kwa mikataba hiyo na kurudisha Serikalini baadhi ya Vitalu vya uwindaji Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu kwani wawekezaji aliosaini nao mikataba wamembana wakitaka arejeshe mara moja pesa zao Pamoja na fidia kwani ameonekana aliwatapeli kwa kuwahakikishia kuendesha Shughuri zao Nchini katika njia za Unyonyaji.

Kwa hiyo kutokana na shinikizo alilonalo toka kwa Makampuni hayo ya Kigeni na Kwa namna serikali ilivyodhamilia kumfikisha Mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ameamua kukimbilia Upinzani ili atakaposhitakiwa ionekan Upinzani Nchini Tanzania unaonewa.

Baadhi ya Makada wakongwe ndani ya Chadema waliotoa maoni yao wameonyesha kuchukizwa kwao na jinsi watu wenye kashfa za Ufisadi wanavyokimbilia kwenye chama chao.

Ninadhani sasa huu ni mtego, kama tutampokea chama chetu litakua chaka la kupokea Mafisadi alisikika akisema Kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya Chadema.

*_Je Chadema watampokea Nyarandu wakijua kuwa atafikishwa Mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za Ubadhilifu, kuitia Nchi hasara na kufanya ufisadi mkubwa?_*

Tuendelee kusubiri Kuona maamuzi ya Chadema kuhusu Nyarandu.
rfiki na wanajf
aliyelet uzwazwa huu atambue kuwa mahakamani kutawaleta wengi,yupo katibu mkuu w wizara,yupo mwanasheria wa serikali naw awizara na hata DPP NAIONA KESI ITAKAYOFUMUA NA KUITOA CCM GAUNI WAZI
 
Mlkuwa wap cku zote hizo, mbona hamkuyaanika hadharani? Km kwel mmejidhatiti kuwa wawazi kwa wananchi wenu mbona hampo tayari kuweka mapungufu ya kiutendaji ya wizara husika au mnasubiri mpaka pale watakapozipuuzia sera za chama na kugeukia sera pinzan na huo ndio unakuwa mwanzo wa kuwakosoa kwa utendaji wao? Leo nyalandu mbaya kwa ccm kesho kinana akihama utasikia wanasema kinana hakuwa katibu mzuri.
Hahaha hii inchi bwana
 
Ccm bana akili zenu mnazijua wenyewe
Hivi wale Waarabu wapo pale miaka mingapi?? Na Nyalandu amekaa kwenye hiyo wizara miaka mingapi??
Kuna vitu Lumumba huwa mnajitia aibu wenyewe. Hivi kina Ngeleja, Chenge, pesa za mboga, na wale walio waita wenzao tumbili bado hawana kashfa mpaka wahame chama??
Hebu Lumumba tutajieni watu kumi wasafi ndani ya Ccm!!! Maana kuna samaki, kuna nyumba za serikali, kuna epa, kuna escrow, kuna watu wasio julikana na mengi tuuu.
Acheni Chadema iwape mambo
 
*BAADA YA SERIKALI KUANZA MAHOJIANO NA RAZALO NYARANDU KUHUSU KASHFA MBALIMBALI KATIKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII RASMI ATIMKIA CHADEMA.*

Baada ya Serikali ya awamu ya Tano kuanza kushughulikia kashfa mbalimbali zilizofanywa na baadhi ya viongozi waliokua madarakani katika awamu zilizopita za uongozi tayari baadhi ya watu waliobanwa na Serikali kwa kashfa hizo wameanza kuhamia upinzani hususani CHADEMA ili kuandaa mazingira ya kuonekana wameonewa baada ya kufikishwa Mahakamani.

Duru za ndani ya Serikali zinadai kuwa toka Mh. John Pombe Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu akihojiwa kuhusu Mikataba Mbalimbali ya Kifisadi iliyisainiwa katika Kipindi ambacho amehudumu kama Waziri wa MALIASILI NA UTALII.

Baada ya kuhojiwa na Vyombo mbalimbali na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa Mh. Nyarandu aliingia mikataba mibovu na baadhi ya Makampuni ya Kigeni kwa maslahi yake binafsi ikiwa ni Pamoja na uuzaji wa Vitalu vya Uwindaji Pamoja na kashfa nzito ya Kupandisha ndege Twiga wa Tanzania na kuuza raslimali mbalimbali za Taifa ndipo Serikali ilipochukua maamuzi ya Kumfikisha Mh. Nyarandu Mahakamani.

Katika Kufanikisha adhima hiyo Wiki kadhaa zilizopita Mh. Rais alimteua Mh. Hamis Kigwangala kuwa Waziri wa MALIASILI NA UTALII ambaye ameanza kwa kufuta leseni zote za Uwindaji zilizotolewa na Mh. Nyarandu kwa makampuni ya Kigeni kwa misingi ya Rushwa. Baada ya kuvunjwa kwa mikataba hiyo na kurudisha Serikalini baadhi ya Vitalu vya uwindaji Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu kwani wawekezaji aliosaini nao mikataba wamembana wakitaka arejeshe mara moja pesa zao Pamoja na fidia kwani ameonekana aliwatapeli kwa kuwahakikishia kuendesha Shughuri zao Nchini katika njia za Unyonyaji.

Kwa hiyo kutokana na shinikizo alilonalo toka kwa Makampuni hayo ya Kigeni na Kwa namna serikali ilivyodhamilia kumfikisha Mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ameamua kukimbilia Upinzani ili atakaposhitakiwa ionekan Upinzani Nchini Tanzania unaonewa.

Baadhi ya Makada wakongwe ndani ya Chadema waliotoa maoni yao wameonyesha kuchukizwa kwao na jinsi watu wenye kashfa za Ufisadi wanavyokimbilia kwenye chama chao.

Ninadhani sasa huu ni mtego, kama tutampokea chama chetu litakua chaka la kupokea Mafisadi alisikika akisema Kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya Chadema.

*_Je Chadema watampokea Nyarandu wakijua kuwa atafikishwa Mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za Ubadhilifu, kuitia Nchi hasara na kufanya ufisadi mkubwa?_*

Tuendelee kusubiri Kuona maamuzi ya Chadema kuhusu Nyarandu.


Vipi kuhusu Maige?

Au hadi hapo atakapohama CCM?
BTW Nyalandu alivyo mjanja ,ingekuwa kweli hayo usemayo ,angebaki huko huko asubiri " human face"
 
Mbona speed ya kumshambulia Lazaro imepotea baada ya kujibu tuhuma zote?
 
hata hoja yangu hujaijibu, kwenye haki na ukweli lazima atetewe, wewe umeshindwa kuona kuwa hata humu jf pekee amesemwa kwa takriban miaka 7 kuwa ni mfuja mali?[/QUOTE
For seven years mtu anafuja mali na ushahidi upo ,kwa nini wanamtazama tu. Mimi ninasema kama mtu anamakosa achukuliwe hatua hata kama yupo CCM , lakini si kusuburi ahame ndiyo aanze kuonekana ana makosa. Chenge yule pale kasemwa sana, lakini kafanywa nini? Sasa ole wake shame, utaona kitakachotokea. Mayige yule pale akinunua nyumba cash $700,000, amefanywa nini?
 
Back
Top Bottom