Tetesi: Baada ya Serikali kuanza mahojiano na Nyalandu kuhusu kashfa katika Wizara ya Maliasili na Utalii, atimkia CHADEMA

Tetesi: Baada ya Serikali kuanza mahojiano na Nyalandu kuhusu kashfa katika Wizara ya Maliasili na Utalii, atimkia CHADEMA

Kingwangwala kamkimbiza Nyalandu CCM!

Mbwa ndio anatikisa Mkia sio Mkia kutikisa Mbwa!
Nyalandu kachagua kujivua Nguo
Nyiye maCCM mna laana!! Yaani wakiwa ndani ya CCM, ni ‘wasafi’ wakitoka tu, wanakuwa oil chafu!

Hivi homeboy Kalemani vipi? Maana yeye ndiye injinia wa mikataba ya madini!!
 
Hahaha sawa nitamuambia, nisaidie kumuambia Bulldozer kuna msikiti upo kwenye reserve ya barabara na Maimamu wanasubiria eti Alah aje kuuvunja
Wakati Mwanza hawavunjiwi ndio walio mpa Urais
Usihamishe mada we fisadi!!
 
Mambo mengi yanayoendelea kutokea nchini nahisi kama yako scripted
 
Halitasalia jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomolewa.
Watanzania wengi wanajua kuwa CDM ni kichaka cha WEZI, MAFISADI na WAHUJUMU UCHUMI.
Lakini mimi nadhani waliomshauri wamempotosha sana. Kama ana makando kando ilitakiwa ayamalize kwanza ndipo aondoke. Kukimbia tatizo si kutatua tatizo bali no kuongeza tatizo.
 
Tutazaa naye tu huyo jangili hata akimbilie kwenye kitanda alicholalia fisadi mwenzake Tundu Lisu!
Daah! Nyie watu mna chuki mbaya sana. Vp na katibu mkuu wa chama nae mtazaa nae au mtasubiri mpaka ahame hapo Lumumba?!
 
akili nyingine bwana zinaendana na Jina lako la CHULA hivi uliona wapi waziri ana saini mikataba pasipo kupeleka mikataba hiyo kwenye baraza la mawaziri au unadhani baraza la mawaziri huwa wanakazi ya kunywa chai.

kama unavyoona katika Halmashauri zetu Mikataba yote hupitiwa na committees mbalimbali kisha kuidhinishwa na mabaraza ya madiwani na Mkurugenzi ndivyo ilivyo ktk ngazi za juu hivyo hivyo
 
Dah!!! Hivi tamthilia mnazoleta watu wa Lumumba mnafurahisha sana. Inaonyesha kuondoka kwa Nyarandu huko kwenu roho imewauma kweli kwa kuwa mshaanza kuhisi mna uwezekano mkubwa wa kupoteza hilo jimbo na jamaa kuja kuleta siri zenu upinzani
 
Tutazaa naye tu huyo jangili hata akimbilie kwenye kitanda alicholalia fisadi mwenzake Tundu Lisu!
Ashughulikiwe ipasavyo na kwa ukamilifu!

Taifa haliwezi kugeuzwa Kitalu cha Ujangili na upigaji
 
Hata kama yupo chadema afikishwe tu mahakamani,kama walifikiswa watu Wengine iweje yeye.sisi tunajua chadema ni genge la kukimbilia mafisadi wote wa inchi
 
*BAADA YA SERIKALI KUANZA MAHOJIANO NA RAZALO NYARANDU KUHUSU KASHFA MBALIMBALI KATIKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII RASMI ATIMKIA CHADEMA.*

Baada ya Serikali ya awamu ya Tano kuanza kushughulikia kashfa mbalimbali zilizofanywa na baadhi ya viongozi waliokua madarakani katika awamu zilizopita za uongozi tayari baadhi ya watu waliobanwa na Serikali kwa kashfa hizo wameanza kuhamia upinzani hususani CHADEMA ili kuandaa mazingira ya kuonekana wameonewa baada ya kufikishwa Mahakamani.

Duru za ndani ya Serikali zinadai kuwa toka Mh. John Pombe Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu akihojiwa kuhusu Mikataba Mbalimbali ya Kifisadi iliyisainiwa katika Kipindi ambacho amehudumu kama Waziri wa MALIASILI NA UTALII.

Baada ya kuhojiwa na Vyombo mbalimbali na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa Mh. Nyarandu aliingia mikataba mibovu na baadhi ya Makampuni ya Kigeni kwa maslahi yake binafsi ikiwa ni Pamoja na uuzaji wa Vitalu vya Uwindaji Pamoja na kashfa nzito ya Kupandisha ndege Twiga wa Tanzania na kuuza raslimali mbalimbali za Taifa ndipo Serikali ilipochukua maamuzi ya Kumfikisha Mh. Nyarandu Mahakamani.

Katika Kufanikisha adhima hiyo Wiki kadhaa zilizopita Mh. Rais alimteua Mh. Hamis Kigwangala kuwa Waziri wa MALIASILI NA UTALII ambaye ameanza kwa kufuta leseni zote za Uwindaji zilizotolewa na Mh. Nyarandu kwa makampuni ya Kigeni kwa misingi ya Rushwa. Baada ya kuvunjwa kwa mikataba hiyo na kurudisha Serikalini baadhi ya Vitalu vya uwindaji Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu kwani wawekezaji aliosaini nao mikataba wamembana wakitaka arejeshe mara moja pesa zao Pamoja na fidia kwani ameonekana aliwatapeli kwa kuwahakikishia kuendesha Shughuri zao Nchini katika njia za Unyonyaji.

Kwa hiyo kutokana na shinikizo alilonalo toka kwa Makampuni hayo ya Kigeni na Kwa namna serikali ilivyodhamilia kumfikisha Mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ameamua kukimbilia Upinzani ili atakaposhitakiwa ionekan Upinzani Nchini Tanzania unaonewa.

Baadhi ya Makada wakongwe ndani ya Chadema waliotoa maoni yao wameonyesha kuchukizwa kwao na jinsi watu wenye kashfa za Ufisadi wanavyokimbilia kwenye chama chao.

Ninadhani sasa huu ni mtego, kama tutampokea chama chetu litakua chaka la kupokea Mafisadi alisikika akisema Kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya Chadema.

*_Je Chadema watampokea Nyarandu wakijua kuwa atafikishwa Mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za Ubadhilifu, kuitia Nchi hasara na kufanya ufisadi mkubwa?_*

Tuendelee kusubiri Kuona maamuzi ya Chadema kuhusu Nyarandu.

Hamna lolote kiwewe tu kinawasumbua,poleni.
 
Niulize tena, hivi mwizi akiiba kwa ufanisi akiwa CCM anakuwaje salama kwa lukimbilia CHADEMA? Kweli kabisa mnatuaminisha Nyalandu kakimbia tuhuma CCM na kwenda CHADEMA ili asishitakiwe? Kwamba huko kuna immune gani? Toka muanze makelele ya kufunga mafisadi mmefunga wangapi wa upinzani?
 
Back
Top Bottom