Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja yangu si kwamba Nyalandu ni msafi au hana makosa, ila ni wakati gani anaonekana mkosefu. Kwa nini makosa yao yanaibuka baada ya kuhama Chama? Kwa maana hiyo unaweza kusema kuwa kama una makosa, unakuwa salama zaidi ukiwa ndani ya CCMzungusha macho ndani Ya jf pekee utakuta thread nyingi za magendo Ya Nyalandu, maoni yako ni generic
CCM kushindwa kumgusa Chenge imenifanya kuwaona wanafiki sana kwenye suala la ufisadi... haya mengine ni maneno hovyo tu*BAADA YA SERIKALI KUANZA MAHOJIANO NA RAZALO NYARANDU KUHUSU KASHFA MBALIMBALI KATIKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII RASMI ATIMKIA CHADEMA.*
Baada ya Serikali ya awamu ya Tano kuanza kushughulikia kashfa mbalimbali zilizofanywa na baadhi ya viongozi waliokua madarakani katika awamu zilizopita za uongozi tayari baadhi ya watu waliobanwa na Serikali kwa kashfa hizo wameanza kuhamia upinzani hususani CHADEMA ili kuandaa mazingira ya kuonekana wameonewa baada ya kufikishwa Mahakamani.
Duru za ndani ya Serikali zinadai kuwa toka Mh. John Pombe Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu akihojiwa kuhusu Mikataba Mbalimbali ya Kifisadi iliyisainiwa katika Kipindi ambacho amehudumu kama Waziri wa MALIASILI NA UTALII.
Baada ya kuhojiwa na Vyombo mbalimbali na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa Mh. Nyarandu aliingia mikataba mibovu na baadhi ya Makampuni ya Kigeni kwa maslahi yake binafsi ikiwa ni Pamoja na uuzaji wa Vitalu vya Uwindaji Pamoja na kashfa nzito ya Kupandisha ndege Twiga wa Tanzania na kuuza raslimali mbalimbali za Taifa ndipo Serikali ilipochukua maamuzi ya Kumfikisha Mh. Nyarandu Mahakamani.
Katika Kufanikisha adhima hiyo Wiki kadhaa zilizopita Mh. Rais alimteua Mh. Hamis Kigwangala kuwa Waziri wa MALIASILI NA UTALII ambaye ameanza kwa kufuta leseni zote za Uwindaji zilizotolewa na Mh. Nyarandu kwa makampuni ya Kigeni kwa misingi ya Rushwa. Baada ya kuvunjwa kwa mikataba hiyo na kurudisha Serikalini baadhi ya Vitalu vya uwindaji Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu kwani wawekezaji aliosaini nao mikataba wamembana wakitaka arejeshe mara moja pesa zao Pamoja na fidia kwani ameonekana aliwatapeli kwa kuwahakikishia kuendesha Shughuri zao Nchini katika njia za Unyonyaji.
Kwa hiyo kutokana na shinikizo alilonalo toka kwa Makampuni hayo ya Kigeni na Kwa namna serikali ilivyodhamilia kumfikisha Mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ameamua kukimbilia Upinzani ili atakaposhitakiwa ionekan Upinzani Nchini Tanzania unaonewa.
Baadhi ya Makada wakongwe ndani ya Chadema waliotoa maoni yao wameonyesha kuchukizwa kwao na jinsi watu wenye kashfa za Ufisadi wanavyokimbilia kwenye chama chao.
Ninadhani sasa huu ni mtego, kama tutampokea chama chetu litakua chaka la kupokea Mafisadi alisikika akisema Kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya Chadema.
*_Je Chadema watampokea Nyarandu wakijua kuwa atafikishwa Mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za Ubadhilifu, kuitia Nchi hasara na kufanya ufisadi mkubwa?_*
Tuendelee kusubiri Kuona maamuzi ya Chadema kuhusu Nyarandu.
Huu Uzushi wa akina Jerry Muro na le mutuz huko gheto tafuteni wajinga ndiyo muwaelezee*BAADA YA SERIKALI KUANZA MAHOJIANO NA RAZALO NYARANDU KUHUSU KASHFA MBALIMBALI KATIKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII RASMI ATIMKIA CHADEMA.*
Baada ya Serikali ya awamu ya Tano kuanza kushughulikia kashfa mbalimbali zilizofanywa na baadhi ya viongozi waliokua madarakani katika awamu zilizopita za uongozi tayari baadhi ya watu waliobanwa na Serikali kwa kashfa hizo wameanza kuhamia upinzani hususani CHADEMA ili kuandaa mazingira ya kuonekana wameonewa baada ya kufikishwa Mahakamani.
Duru za ndani ya Serikali zinadai kuwa toka Mh. John Pombe Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu akihojiwa kuhusu Mikataba Mbalimbali ya Kifisadi iliyisainiwa katika Kipindi ambacho amehudumu kama Waziri wa MALIASILI NA UTALII.
Baada ya kuhojiwa na Vyombo mbalimbali na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa Mh. Nyarandu aliingia mikataba mibovu na baadhi ya Makampuni ya Kigeni kwa maslahi yake binafsi ikiwa ni Pamoja na uuzaji wa Vitalu vya Uwindaji Pamoja na kashfa nzito ya Kupandisha ndege Twiga wa Tanzania na kuuza raslimali mbalimbali za Taifa ndipo Serikali ilipochukua maamuzi ya Kumfikisha Mh. Nyarandu Mahakamani.
Katika Kufanikisha adhima hiyo Wiki kadhaa zilizopita Mh. Rais alimteua Mh. Hamis Kigwangala kuwa Waziri wa MALIASILI NA UTALII ambaye ameanza kwa kufuta leseni zote za Uwindaji zilizotolewa na Mh. Nyarandu kwa makampuni ya Kigeni kwa misingi ya Rushwa. Baada ya kuvunjwa kwa mikataba hiyo na kurudisha Serikalini baadhi ya Vitalu vya uwindaji Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu kwani wawekezaji aliosaini nao mikataba wamembana wakitaka arejeshe mara moja pesa zao Pamoja na fidia kwani ameonekana aliwatapeli kwa kuwahakikishia kuendesha Shughuri zao Nchini katika njia za Unyonyaji.
Kwa hiyo kutokana na shinikizo alilonalo toka kwa Makampuni hayo ya Kigeni na Kwa namna serikali ilivyodhamilia kumfikisha Mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ameamua kukimbilia Upinzani ili atakaposhitakiwa ionekan Upinzani Nchini Tanzania unaonewa.
Baadhi ya Makada wakongwe ndani ya Chadema waliotoa maoni yao wameonyesha kuchukizwa kwao na jinsi watu wenye kashfa za Ufisadi wanavyokimbilia kwenye chama chao.
Ninadhani sasa huu ni mtego, kama tutampokea chama chetu litakua chaka la kupokea Mafisadi alisikika akisema Kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya Chadema.
*_Je Chadema watampokea Nyarandu wakijua kuwa atafikishwa Mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za Ubadhilifu, kuitia Nchi hasara na kufanya ufisadi mkubwa?_*
Tuendelee kusubiri Kuona maamuzi ya Chadema kuhusu Nyarandu.
Anza kuwafunga mafisadi wa CCM ambao walinunua kivuko cha mwaka 1978 kwa bilion 8 pia wafunge wale waliotafuna bilion 251 wizara ya ujenzi kwa kuwalipa kandarasi Hewa, aliyeuza nyumba za serikali akajiuzia nyumba kibao kienyeji na kugawa kwa hawala na mdogo wake kinyume cha sheria, wafunge waliokula 10% ununuzi wa ndege ndege ujenzi wa chato Airport, Reli, kuchukua pesa Hazina kienyeji kumpatia Lipumba kuua CUF na kudhoofisha chadema, anza kuwafunga hao kwanza ndipo uje na Uzushi wako.nyie mafisadi wa CHADEMA tutawafunga muda si mrefu siku zenu zinahesabika
CCM hawajui kuwa watanzania wa sasa wameamka wanajua kuhoji kutafakari na wengi wanajiuliza iweje CCM wakae kiimya miaka yote pasipo kumshitaki? Kusikia anahamia chadema ndipo wanaanza madongo? Siasa za maji taka hazina Nafasi kwa kipindi hiki cha watanzania walioamkaAlipokuwa CCM alikuwa msafi. Kahama mnampakazia. Ina maana wote CCM ni wachafu
Bashite Maliyamungu hana vyeti, kala Rushwa nyingi kwenye ile blackmail list ya dawa za kulevya, alichukua magari ya watuhumiwa mali zao pesa nk, pia kala 10 % nyingi kupitia tenda mbalimbali anazowasaidia GSM ikiwemo ununuzi wa ndege pesa toka Hazina kwenda kwa Lipumba na Msajili huko CCM hakuna msafi hata mmoja.CCM kushindwa kumgusa Chenge imenifanya kuwaona wanafiki sana kwenye suala la ufisadi... haya mengine ni maneno hovyo tu
Nyalandu aombe hifadhi ya kisiasa Marekani aende akawaelezee Udikteta wote unaofanywa na Mtukufu malaika wa chato ili CIA na FBI wamchinguze kimya kimya kisha waanike ubaya wake Duniani kote wajue.The Hell Walikuwa Wapi Wasimhoji Kabla ya Kuhama!
Nyalandu anafanyiwa Ushenzi kwa Kuwa alienda Kumtazama Tundu Lissu! Kwani Magufuli ameonya Atakayekwenda Kumwona Lissu Ni Msaliti. Halafu Utajiuloza, Washenzi wanaokataza Watu wasimsalimie Mtu, Ati wanatangaza kwa Unafiki Kuwa wanataka Kumtibu Mtu huyo huyo!
CCM na Magufuli asichojua Ni Kuwa Nyalandu Ana connection ya Watu wenye POWERFUL sana Marekani na Hata Tanzania! Nyalandu ni Rafiki Mkubwa wa Mkapa, na Ni Kama Mtoto Kipenzi wa Mama Anna Mkapa! Anajuana na Magavana, Masenetor etc! PATACHIMBIKA Sio Kidogo!
ICC iwafunge tume ya uchaguzi na kile kikundi cha January makamba walioshirikiana kufanya uchakachuaji wa kura.Je vipi kuhusu waliofoji vyeti na walionunua wapiga kura wao uchunguzi lini?
Ahahahahaaaa mnachekesha kweli mtu akihama chama chenu cha manunuzi mnaanza kumlushia mayai viza, vipi kuhusu chenge ni fisadi au sio fisadi??Tutazaa naye tu huyo jangili hata akimbilie kwenye kitanda alicholalia fisadi mwenzake Tundu Lisu!