Tetesi: Baada ya Serikali kuanza mahojiano na Nyalandu kuhusu kashfa katika Wizara ya Maliasili na Utalii, atimkia CHADEMA

Tetesi: Baada ya Serikali kuanza mahojiano na Nyalandu kuhusu kashfa katika Wizara ya Maliasili na Utalii, atimkia CHADEMA

Mtu mzima akivuliwa nguo huchutama. Kwa hili MiCcm imevuliwa nguo badala ya Kuchutama imesimama.
 
Miaka mingi ukiuliza mtu wa upinzani kwanini nchi haina maendeleo atakwambia mfumo,ukimuuliza mfumo nini ,atakujibu mfumo ni utaratibu wa ccm wanavyoiba,ukiuliza ni kina nani walio nyuma ya huo mfumo na wanaratatibu watakuambia ni nyalandu,lowassa,sumaye,rostam hao wakiondoka ccm itakua chama bora,

Na mtu ambae hana kashfa ni magufuli hizi ni kauli walikua wakizitoa mwaka 2014 mungu sio mashinji ghafla mungu akataka kutuonyesha kua watu hao waangalie midomo yao na nyuso za ni tofauti yaani ni wanafiki,

Mpaka kufika 2015 zile taka taka zote zimejificha ndani ya stoo yao, choo wamekitoa nje wamekiingiza chumbani,wale waliowapigia kelele na kuaminisha wale wafuasi wao watiifu kwamba hawa watu hawafai sasa wamewabadilishia beti na hakuna wa kuhoji wala kukumbusha kwamba mlituambia ccm ni mfumo mbona ule mfumo umehamia kwetu na mmeupokea wote.
Huyu mmoja mlimuita mr ziro lakini tumempa uenyekiti,hili fisadi namba moja tulimpa bendera ya uraisi,huyu jangili muuza vitalu tumempokea kwa mbwe mbwe vipi hapa,

Hoji upotee na kuitwa msaliti na ukifukuzwa uanachama katiba hairuhusu kwenda mahakamani kama huamini hilo muulize zitto mwigamba,shonza,kitila na kafulila.

Ccm ni chama imara na ni sawa na jiti kubwa kila likijinyoosha na kuzidi kukua magome dhaifu huanguka hivyo ccm inayoendelea ndio ccm ya kweli,

Tunashangaa na kujiuliza mbona wafuasi watiifu wanashangalia mfumo kuhamia kwao au ndio ile hata kiongozi akikimbia bila nguo mtaani kwa kujitoa ufahamu watasema ana nguo,

Ccm ilivamiwa na mafisadi yameondoka,ccm ilikua na majangili yamejipima na kujitathimini yameamua kuchukua maamuzi,ccm walikua na wezi wa kushikilia mahekari ya ardhi wameondoka na juhudi kubwa za rais ni kurudisha ardhi yote iliyoporwa kipindi cha uongozi wa mfumo.

Hivi sasa mfumo upo ndani ya chadema!

CCM IMARA NDIO INAONEKANA KUELEKEA 2020

Msitu umetiwa moto wadudu na wanyama hawana pa kujificha!
Mwalimu aliwahi kusema: "MTU mjinga akikupa ushauri wa kijinga na wewe ukakubali, atakudharau".
 
Miaka mingi ukiuliza mtu wa upinzani kwanini nchi haina maendeleo atakwambia mfumo,ukimuuliza mfumo nini ,atakujibu mfumo ni utaratibu wa ccm wanavyoiba,ukiuliza ni kina nani walio nyuma ya huo mfumo na wanaratatibu watakuambia ni nyalandu,lowassa,sumaye,rostam hao wakiondoka ccm itakua chama bora,

Na mtu ambae hana kashfa ni magufuli hizi ni kauli walikua wakizitoa mwaka 2014 mungu sio mashinji ghafla mungu akataka kutuonyesha kua watu hao waangalie midomo yao na nyuso za ni tofauti yaani ni wanafiki,

Mpaka kufika 2015 zile taka taka zote zimejificha ndani ya stoo yao, choo wamekitoa nje wamekiingiza chumbani,wale waliowapigia kelele na kuaminisha wale wafuasi wao watiifu kwamba hawa watu hawafai sasa wamewabadilishia beti na hakuna wa kuhoji wala kukumbusha kwamba mlituambia ccm ni mfumo mbona ule mfumo umehamia kwetu na mmeupokea wote.
Huyu mmoja mlimuita mr ziro lakini tumempa uenyekiti,hili fisadi namba moja tulimpa bendera ya uraisi,huyu jangili muuza vitalu tumempokea kwa mbwe mbwe vipi hapa,

Hoji upotee na kuitwa msaliti na ukifukuzwa uanachama katiba hairuhusu kwenda mahakamani kama huamini hilo muulize zitto mwigamba,shonza,kitila na kafulila.

Ccm ni chama imara na ni sawa na jiti kubwa kila likijinyoosha na kuzidi kukua magome dhaifu huanguka hivyo ccm inayoendelea ndio ccm ya kweli,

Tunashangaa na kujiuliza mbona wafuasi watiifu wanashangalia mfumo kuhamia kwao au ndio ile hata kiongozi akikimbia bila nguo mtaani kwa kujitoa ufahamu watasema ana nguo,

Ccm ilivamiwa na mafisadi yameondoka,ccm ilikua na majangili yamejipima na kujitathimini yameamua kuchukua maamuzi,ccm walikua na wezi wa kushikilia mahekari ya ardhi wameondoka na juhudi kubwa za rais ni kurudisha ardhi yote iliyoporwa kipindi cha uongozi wa mfumo.

Hivi sasa mfumo upo ndani ya chadema!

CCM IMARA NDIO INAONEKANA KUELEKEA 2020

Msitu umetiwa moto wadudu na wanyama hawana pa kujificha!
Yaani hata maana ya mfumo huelewi, haya ndio matatizo ya kujilazimisha kuandika na kupost wakati akili zako ni za kubeti tu.
 
Miaka mingi ukiuliza mtu wa upinzani kwanini nchi haina maendeleo atakwambia mfumo,ukimuuliza mfumo nini ,atakujibu mfumo ni utaratibu wa ccm wanavyoiba,ukiuliza ni kina nani walio nyuma ya huo mfumo na wanaratatibu watakuambia ni nyalandu,lowassa,sumaye,rostam hao wakiondoka ccm itakua chama bora,

Na mtu ambae hana kashfa ni magufuli hizi ni kauli walikua wakizitoa mwaka 2014 mungu sio mashinji ghafla mungu akataka kutuonyesha kua watu hao waangalie midomo yao na nyuso za ni tofauti yaani ni wanafiki,

Mpaka kufika 2015 zile taka taka zote zimejificha ndani ya stoo yao, choo wamekitoa nje wamekiingiza chumbani,wale waliowapigia kelele na kuaminisha wale wafuasi wao watiifu kwamba hawa watu hawafai sasa wamewabadilishia beti na hakuna wa kuhoji wala kukumbusha kwamba mlituambia ccm ni mfumo mbona ule mfumo umehamia kwetu na mmeupokea wote.
Huyu mmoja mlimuita mr ziro lakini tumempa uenyekiti,hili fisadi namba moja tulimpa bendera ya uraisi,huyu jangili muuza vitalu tumempokea kwa mbwe mbwe vipi hapa,

Hoji upotee na kuitwa msaliti na ukifukuzwa uanachama katiba hairuhusu kwenda mahakamani kama huamini hilo muulize zitto mwigamba,shonza,kitila na kafulila.

Ccm ni chama imara na ni sawa na jiti kubwa kila likijinyoosha na kuzidi kukua magome dhaifu huanguka hivyo ccm inayoendelea ndio ccm ya kweli,

Tunashangaa na kujiuliza mbona wafuasi watiifu wanashangalia mfumo kuhamia kwao au ndio ile hata kiongozi akikimbia bila nguo mtaani kwa kujitoa ufahamu watasema ana nguo,

Ccm ilivamiwa na mafisadi yameondoka,ccm ilikua na majangili yamejipima na kujitathimini yameamua kuchukua maamuzi,ccm walikua na wezi wa kushikilia mahekari ya ardhi wameondoka na juhudi kubwa za rais ni kurudisha ardhi yote iliyoporwa kipindi cha uongozi wa mfumo.

Hivi sasa mfumo upo ndani ya chadema!

CCM IMARA NDIO INAONEKANA KUELEKEA 2020

Msitu umetiwa moto wadudu na wanyama hawana pa kujificha!
Yesu waliwaita wafalisayo wanafki.
Hawa jamaa ni shida wanatafuta fulsa za pesa tu tumeshawajuwa.
 
Wakati wao wanahangaika na madiwani chadema inabeba wabunge..
Madiwani wanawanunua
Wabunge wao wapenda haki wanakuja wenyewe kwetu...
Bado naskia na yule waziri aliyeitwa popo mda simrefu anakimbilia chadema
 
Tukisema upinzani wa nchi hii hawajielewi wala kujitambua tunaonekana kama tunawaonea,2015 walikomaa na kudai kwamba hawataki mfumo sasa cha kushangaza wanashangilia mfumo unavyohamia kwao.......haya ni maajabu ambayo yanafanywa na wapinzani wa Tanzania tu
CCM mpya TANZANIA mpya
 
CHADEMA mwaka 2020 mtafanya njia kuwa nyeupe na kampeni kuwa rahisi sana kwa CCM.. Hoja kuu itakua CHADEMA ni chaka na chama cha mafisadi maana kila anayetoka na kashfa CCM anaenda kujiunga nao.
 
Wakati wao wanahangaika na madiwani chadema inabeba wabunge..
Madiwani wanawanunua
Wabunge wao wapenda haki wanakuja wenyewe kwetu...
Bado naskia na yule waziri aliyeitwa popo mda simrefu anakimbilia chadema
Kwa kweli inasikitisha sana kama mtu aliyepewa nyadhifa ya UONGOZI na kuwa na kashfa ndani ya serikali tena zilizoibuliwa na upinzani dhabiti kabisa Leo kujiunga na CHADEMA anaitwa mpenda haki!
CHADEMA mtavuna mnachopanda!
 
Yaani kumbe ni kweli ndege wanaofanana wanaruka tundu moja.

Naona vitu na mambo yaliyokuwa yamejificha sana uko nyuma yaani kama Wema anakula unga ameamia chadema kwa wenzake.
Lowasa walitwambia kwa ushaidi kuwa ni mwizi na ushaidi tukapewa na kuuona na kuusimamia kwa miaka nane na kila fisadi anakimbilia Chadema. Na nyalandu ameomba aingie uko kama inafaa ktk kichaka hicho.

Ningumu kwa fisadi kubaki Ccm kwa kipindi hiki cha Dr. John Magufuli.
Kumbukeni mafisadi wote wamekimbilia Chadema kama Gugunita, Makongoro Mahanga, Masha, Sumae ambaye tulimsema sana na ukabaila wake hadi juzi Rais katekereza waliyokuwa wanamlalamikia sumai kumiliki mashamba bila kuyaendeleza.
Chadema iko nje ya nchi kuwa sheria haziwagusi? Ccm kuna sheria ambazo ukihama chama sheria haikugusi?!
 
Nimegundua kitu kimoja. Familia bora na yenye maarifa ni ile yenye mkuu wa familia (baba au mama) mwenye akili, hekima na uchaji wa Mungu. Ikimkosa mkuu wa familia mwenye sifa hizo hakika inakuwa kama club ya pombe za kienyeji au danguro.
Nikiiangalia ccm ya sasa nadhibitisha kauli yangu hiyo
 
Kuna mtu aliuza nyumba za umma; huo ni ufisa
*BAADA YA SERIKALI KUANZA MAHOJIANO NA RAZALO NYARANDU KUHUSU KASHFA MBALIMBALI KATIKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII RASMI ATIMKIA CHADEMA.*

Baada ya Serikali ya awamu ya Tano kuanza kushughulikia kashfa mbalimbali zilizofanywa na baadhi ya viongozi waliokua madarakani katika awamu zilizopita za uongozi tayari baadhi ya watu waliobanwa na Serikali kwa kashfa hizo wameanza kuhamia upinzani hususani CHADEMA ili kuandaa mazingira ya kuonekana wameonewa baada ya kufikishwa Mahakamani.

Duru za ndani ya Serikali zinadai kuwa toka Mh. John Pombe Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu akihojiwa kuhusu Mikataba Mbalimbali ya Kifisadi iliyisainiwa katika Kipindi ambacho amehudumu kama Waziri wa MALIASILI NA UTALII.

Baada ya kuhojiwa na Vyombo mbalimbali na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa Mh. Nyarandu aliingia mikataba mibovu na baadhi ya Makampuni ya Kigeni kwa maslahi yake binafsi ikiwa ni Pamoja na uuzaji wa Vitalu vya Uwindaji Pamoja na kashfa nzito ya Kupandisha ndege Twiga wa Tanzania na kuuza raslimali mbalimbali za Taifa ndipo Serikali ilipochukua maamuzi ya Kumfikisha Mh. Nyarandu Mahakamani.

Katika Kufanikisha adhima hiyo Wiki kadhaa zilizopita Mh. Rais alimteua Mh. Hamis Kigwangala kuwa Waziri wa MALIASILI NA UTALII ambaye ameanza kwa kufuta leseni zote za Uwindaji zilizotolewa na Mh. Nyarandu kwa makampuni ya Kigeni kwa misingi ya Rushwa. Baada ya kuvunjwa kwa mikataba hiyo na kurudisha Serikalini baadhi ya Vitalu vya uwindaji Mh. Nyarandu amekua katika Wakati Mgumu kwani wawekezaji aliosaini nao mikataba wamembana wakitaka arejeshe mara moja pesa zao Pamoja na fidia kwani ameonekana aliwatapeli kwa kuwahakikishia kuendesha Shughuri zao Nchini katika njia za Unyonyaji.

Kwa hiyo kutokana na shinikizo alilonalo toka kwa Makampuni hayo ya Kigeni na Kwa namna serikali ilivyodhamilia kumfikisha Mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ameamua kukimbilia Upinzani ili atakaposhitakiwa ionekan Upinzani Nchini Tanzania unaonewa.

Baadhi ya Makada wakongwe ndani ya Chadema waliotoa maoni yao wameonyesha kuchukizwa kwao na jinsi watu wenye kashfa za Ufisadi wanavyokimbilia kwenye chama chao.

Ninadhani sasa huu ni mtego, kama tutampokea chama chetu litakua chaka la kupokea Mafisadi alisikika akisema Kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya Chadema.

*_Je Chadema watampokea Nyarandu wakijua kuwa atafikishwa Mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za Ubadhilifu, kuitia Nchi hasara na kufanya ufisadi mkubwa?_*t

Tuendelee kusubiri Kuona maamuzi ya Chadema kuhusu Nyarandu.
Haya yote yameibuka baada tu ya yeye kuwa bega kwa bega kumuuguza home boy wake Lissu; kuna mtu alikuwa hataki mwana CCM yoyote aende kumjulia hali ama kushiriki kumuuguza; Hizi siasa za visasi naziona kushamili kwenye awamu hii - Yaani Mbunge mwenzako anapigwa risasi yu mahututi then mtu tu anakupangia masharti ya kutokwenda kumsalimia - aisee tunakwenda wapi na siasa hizi za visasi visasi??

Nyalandu upo sahihi - watanzania tupo pamoja na wewe!!
 
Leo wamekuwa watetezi wake. Kweli vijana wa Bavicha mna kazi kubwa sana ya kuhoji kuna siri gani mnafichwa juu ya Usafi na Mwelekeo wa Chama chenu!

 
Hawa wazee wetu wanastahili pongezi za dhati kwa utumishi wao ndani ya chama na kuendelea kuaminiwa na chama.

Tuzidi kuwaunga mkono katika juhudi zao
 
Nashangaa Mkulu kwa nini hakumpa tuzo kwa kurudishia Serikali pesa zake ni jambo la kijasiri haijawahi kutokea.
 
Nyuzi kama hizi timu Buku saba huwa wanafanya kama hawazioni vile.
 
Back
Top Bottom