Udini ni uraibu mbaya kuliko unavyodhani mkuu. Mtu mwenye uraibu wa udini sio rahisi kuacha!Sasa mkuu huoni kama kuomba msamaha ni njia ya kuonyesha uungwana? Au wewe kwako unaona ni bora kukaza fuvu wakati unakwaza mtu mwingine?
Pamoja kakaUdini ni uraibu mbaya kuliko unavyodhani mkuu. Mtu mwenye uraibu wa udini sio rahisi kuacha!
Nilikuja kiuchokozi ili nione kama kweli msamaha wako umetoka kumoyo, ila naona umefanikiwa kuruka kiunzi, kudos!
Nimekuuliza kuwa huu ndo ushahidi wako?Shambulizi la Israel kwa Iran ni shambulio lililofanywa kwa nidhamu ya hali ya juu sanaβit was a clear demonstration of capability, intent and will.β
kwa kile tunachosema on the Israeli air raids into Iran day before yesterday. This was more than a precision strike, it was a clear demonstration of capability, intent and will. Hii ilikuwa zaidi ya historia ilofanyika kwa usahihi, ilikuwa onyesho wazi la uwezo, nia na mapenzi ya nchi yao...www.jamiiforums.com
Kwa hiyo huo ndo ushahidi wako?
lakini Iran amepeleka malalamiko Umoja wa Mataifa kulalamika kipigo ndugu, au hawajakuambia wewe msemaji wao.Baada ya shambulizi la Israel dhidi ya Iran kuzuiliwa na mifumo ya anga ya Iran inaoneka wafuasi wa taifa teule wa humu JF hawaamini ndo maana kila dakika wanaanzisha nyuzi za kujifariji.
Mara mifumo ya ulinzi ya Iran imeharibiwa ,mara viwanda vya makombora vimeharibiwa, mara warazimishe tuamini kuwa ndege za Israel ziliingia ndani ya anga la Iran wakati hata vyombo vya habari vya Israel vinaripot kuwa mashambulizi yanefanyika kutokea kwenye anga ya Iraq km 100 kutoka mpakani mwa Iran.
Lakini mpaka sasa hawajatuletea ushahidi wa hizo tumba wanazo ziandika humu. Na kuonesha wanavyo babaika wanatuwekea mpaka video za makombora ya Iran yakiipiga Israel na kudai ndo shambulizi la Israel dhidi ya Iran ππ.
Wote tumeshudia video za mifumo ya ulinzi ya Iran ikiyaangusha makombora sasa na nyinyi tuletee video ya makombora yakitua na kuharibu hivyo mnavyovisema.
Kwenye shambulizi la Iran October1 tuliona kwa macho yetu makombora yakipiga mpaka Marekani akarazimika kuleta mifumo yake baada ya kuona ya Israel ni takataka, sasa na nyinyi tuleteeni ushahidi acheni kuturazimisha tuamini mambo ya kusadikika.
Hata vyombo vya habari vya kimagharibi vinajaribu kulikuza shambulizi la Israel lakini kwenye comment watu wanavipa za uso.
View attachment 3136875
Iran imepeleka malalamiko ya kukiukwa kwa mamlaka yake hiyo ndo desturi ,hata Israel alipo shambuliwa na Iran akifanya hivyo.lakini Iran amepeleka malalamiko Umoja wa Mataifa kulalamika kipigo ndugu, au hawajakuambia wewe msemaji wao.
lini israel ilipeleka shauri UN? mbona hujielewi bro.Iran imepeleka malalamiko ya kukiukwa kwa mamlaka yake hiyo ndo desturi ,hata Israel alipo shambuliwa na Iran akifanya hivyo.
Kwani Iran wenyewe wanasemaje? maana walituambia Israel akirudisha kidogo akaacha Mafuta Gas na Nuclear ugomvi utakuwa umeishaBaada ya shambulizi la Israel dhidi ya Iran kuzuiliwa na mifumo ya anga ya Iran inaoneka wafuasi wa taifa teule wa humu JF hawaamini ndo maana kila dakika wanaanzisha nyuzi za kujifariji.
Mara mifumo ya ulinzi ya Iran imeharibiwa ,mara viwanda vya makombora vimeharibiwa, mara warazimishe tuamini kuwa ndege za Israel ziliingia ndani ya anga la Iran wakati hata vyombo vya habari vya Israel vinaripot kuwa mashambulizi yanefanyika kutokea kwenye anga ya Iraq km 100 kutoka mpakani mwa Iran.
Lakini mpaka sasa hawajatuletea ushahidi wa hizo tumba wanazo ziandika humu. Na kuonesha wanavyo babaika wanatuwekea mpaka video za makombora ya Iran yakiipiga Israel na kudai ndo shambulizi la Israel dhidi ya Iran ππ.
Wote tumeshudia video za mifumo ya ulinzi ya Iran ikiyaangusha makombora sasa na nyinyi tuletee video ya makombora yakitua na kuharibu hivyo mnavyovisema.
Kwenye shambulizi la Iran October1 tuliona kwa macho yetu makombora yakipiga mpaka Marekani akarazimika kuleta mifumo yake baada ya kuona ya Israel ni takataka, sasa na nyinyi tuleteeni ushahidi acheni kuturazimisha tuamini mambo ya kusadikika.
Hata vyombo vya habari vya kimagharibi vinajaribu kulikuza shambulizi la Israel lakini kwenye comment watu wanavipa za uso.
View attachment 3136875
YBaada ya shambulizi la Israel dhidi ya Iran kuzuiliwa na mifumo ya anga ya Iran inaoneka wafuasi wa taifa teule wa humu JF hawaamini ndo maana kila dakika wanaanzisha nyuzi za kujifariji.
Mara mifumo ya ulinzi ya Iran imeharibiwa ,mara viwanda vya makombora vimeharibiwa, mara warazimishe tuamini kuwa ndege za Israel ziliingia ndani ya anga la Iran wakati hata vyombo vya habari vya Israel vinaripot kuwa mashambulizi yanefanyika kutokea kwenye anga ya Iraq km 100 kutoka mpakani mwa Iran.
Lakini mpaka sasa hawajatuletea ushahidi wa hizo tumba wanazo ziandika humu. Na kuonesha wanavyo babaika wanatuwekea mpaka video za makombora ya Iran yakiipiga Israel na kudai ndo shambulizi la Israel dhidi ya Iran ππ.
Wote tumeshudia video za mifumo ya ulinzi ya Iran ikiyaangusha makombora sasa na nyinyi tuletee video ya makombora yakitua na kuharibu hivyo mnavyovisema.
Kwenye shambulizi la Iran October1 tuliona kwa macho yetu makombora yakipiga mpaka Marekani akarazimika kuleta mifumo yake baada ya kuona ya Israel ni takataka, sasa na nyinyi tuleteeni ushahidi acheni kuturazimisha tuamini mambo ya kusadikika.
Hata vyombo vya habari vya kimagharibi vinajaribu kulikuza shambulizi la Israel lakini kwenye comment watu wanavipa za uso.
View attachment 3136875
Ayatollah Khamenei kupata tumbo la kuharisha bila kikomo tangu shambulizi limefanyika mpaka leo hii nayo sio madhara?Baada ya shambulizi la Israel dhidi ya Iran kuzuiliwa na mifumo ya anga ya Iran inaoneka wafuasi wa taifa teule wa humu JF hawaamini ndo maana kila dakika wanaanzisha nyuzi za kujifariji.
Mara mifumo ya ulinzi ya Iran imeharibiwa ,mara viwanda vya makombora vimeharibiwa, mara warazimishe tuamini kuwa ndege za Israel ziliingia ndani ya anga la Iran wakati hata vyombo vya habari vya Israel vinaripot kuwa mashambulizi yanefanyika kutokea kwenye anga ya Iraq km 100 kutoka mpakani mwa Iran.
Lakini mpaka sasa hawajatuletea ushahidi wa hizo tumba wanazo ziandika humu. Na kuonesha wanavyo babaika wanatuwekea mpaka video za makombora ya Iran yakiipiga Israel na kudai ndo shambulizi la Israel dhidi ya Iran ππ.
Wote tumeshudia video za mifumo ya ulinzi ya Iran ikiyaangusha makombora sasa na nyinyi tuletee video ya makombora yakitua na kuharibu hivyo mnavyovisema.
Kwenye shambulizi la Iran October1 tuliona kwa macho yetu makombora yakipiga mpaka Marekani akarazimika kuleta mifumo yake baada ya kuona ya Israel ni takataka, sasa na nyinyi tuleteeni ushahidi acheni kuturazimisha tuamini mambo ya kusadikika.
Hata vyombo vya habari vya kimagharibi vinajaribu kulikuza shambulizi la Israel lakini kwenye comment watu wanavipa za uso.
View attachment 3136875
Mifumo ya ulinzi ya iran umeteketezwa wacha ubishi wajaribu tena waone mtiti wa IsraelKina Netanyahu wa Korogwe hapa hauwezi kuwaona.
Hahahahaahah π π π mhudi mudi amewapoteza wengiIla Wafrika mna akili finyu sana, mtu mmoja huyo mudi kawashikia akili zenu mpaka unaona fahari kufuga majini na unayaita ndugu zako. Mudi alikuwa mwarabu jiulize wew ni mwarabu? Una undugu gani na majini?
Kama kawaida wayahudi wa kiembe mbuzi huwa hamkosi kuja kupingana na ukweli.Mifumo ya ulinzi ya iran umeteketezwa wacha ubishi wajaribu tena waone mtiti wa Israel
Wavaa makobazi aka wajukuu wa Mudi mnajifurahisha mifumo ya iran ilishindwa kuwalinda Nasrallah na Sinwar mbona π π€£ π π πKama kawaida wayahudi wa kiembe mbuzi huwa hamkosi kuja kupingana na ukweli.
Drone 1 tu ya houth imetembea Israel zaidi ya kilometres 200 kutoka mpakani hadi Tel Aviv kupiga nyumba ya Netanyahu. Sasa nyinyi wavaa pampas mnaweza kutuambia kuwa Iron Dome na THAAD zilikuwa wapi? Na zilishindwaje kui zuia kule kule mpakani kabla ya kufika kwa Netanyahu!Wavaa makobazi aka wajukuu wa Mudi mnajifurahisha mifumo ya iran ilishindwa kuwalinda Nasrallah na Sinwar mbona π π€£ π π π
Nyumba ya Netanyahu imepigwa kwa hiyo na akafa kama Nasrallah?Drone 1 tu ya houth imetembea Israel zaidi ya kilometres 200 kutoka mpakani hadi Tel Aviv kupiga nyumba ya Netanyahu. Sasa nyinyi wavaa pampas mnaweza kutuambia kuwa Iron Dome na THAAD zilikuwa wapi? Na zilishindwaje kui zuia kule kule mpakani kabla ya kufika kwa Netanyahu!
Je zingekuwa drone 10 pamoja hali ingekuaje?
Wewe naona una ubishi wa kitoto na usiokuwa na maana. Kama Netanyahu na genge lake anawategemea watu kama wewe kumtetea, basi ana hasara sana.Nyumba ya Netanyahu imepigwa kwa hiyo na akafa kama Nasrallah?
NETANYAHU and his team are fit and kicking while hisbollah and hamas leadership are being decimated.Wewe naona una ubishi wa kitoto na usiokuwa na maana. Kama Netanyahu na genge lake anawategemea watu kama wewe kumtetea, basi ana hasara sana.
Hapo juu wewe umezungumzia mifumo ya ulinzi ya Iran kushindwa kuwalinda viongozi wa Hezbollah. Sasa mimi nikakuonesha mifumo ya ulinzi ya Marekani, Israel, Uingereza, Ufaransa nk pale Israel kushindwa kuilinda Israel mpaka nyumba ya kiongozi mkuu na kambi za jeshi kibao kushambuliwa kila siku. Sasa wewe kwa utoto wako, umaamua kuhamisha magoli. Hili halijakwisha unahamia kwengine. Kama ni mtihani tayari ushafeli.
Hili suala limemuumiza sana grand Ayotollah. Alijaribu kukaa Nalo moyoni akashindwa Sasa kaamua kulipiza.Kaona Acha mbuai iwe mbuaiπ€Unaweza kuficha lakini ogopa technology huwezi kuificha. Satellite zawaumbua Ayotollahs madhara yaliyosababishwa na mashambulizi ya ndege za Israeli π€
....
Satellite images show damage from Israeli attack at 2 secretive Iranian military bases
An Israeli attack on Iran damaged facilities at a secretive military base southeast of the Iranian capital that experts in the past have linked to Tehranβs onetime nuclear weapons program and at another base tied to its ballistic missile program.apnews.com
Unatamani iwe hivyo ila haitatokea.Netanya
NETANYAHU and his team are fit and kicking while hisbollah and hamas leadership are being decimated.
Hamas is as a fighting force is all but finished. Hisbollah is Puting some sporadic resistance but it's a matter of time the head of the octopus itself being βοΈ