ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Naiona hiyo inakuja Very soon 🔜 🇹🇿 🙏Mama Samia ni msikivu na muungwana sana atakaa nao na kuelewana kulijenga taifa pamoja. Namshauri arithia kuongoza pamoja kama ili kuondoa uhasama Utanganyika na Uzanzibar.
Ndio kusudio la kuonyesha hisia nendeni mkaonyeshe hisia majumbani mwenu kwa waume zenu na wake zenu!Hatuwezi kuacha Nchi yetu inauzwa kwa Waarab
Mlio mna mwamba…. Mkapewa magu, mkalalama weeeeee mkapewa mama mpole, mkaa za kumdharau, sasa anawanyooshaMungu atuondolee na huyu wa sasa kama alivyofanya kwa yule mwingine.
Aliona nchi ni kama mali yake ila kaicha kama alivyoikuta.
Mungu fundi sana. Bado huyu nae kaota mapembe.
So What?Mnyika hajawahi lala ndani hata kwenye utawala wa Magu
Ni hivi, Wengi hawana Uwezo wanateuliwa kwa vile ni Makada, na wanajua ccm iking'olewa wanaondoka na watakamatwaHua sielewi kabisa kuwa ni kwa nini viongozi wa polisi hua wana chuki ya wazi kabisa na wapinzani wa CCM.
Yaani wao sio wanasiasa lakini linapokuja suala la CCM kuzidiwa na wapinzani basi utaona hasira kubwa sana ya viongozi wa polisi . Yaani ni bora wasikie hata benki kuu imevunjwa wanachelewa kufika lakini wakisikia Mbowe ana mkutana watafika ndani ya sekunde .
Hii sio sawa.
Inatakiwa jinai zinazofanyika sasa ziwekwe akiba siku moja hata makaburi yao yashitakiwe mahakamani mmoja wapo Akiwa ni Mahita na Mafwere ,Awadhi'
Mhe.Mbowe ni akili kubwa kawadeshi mkaingia chaka 😁😁😁 na hajasalitiwa na wanaCHADEMA utajua hujui,huo mkakati kwenu CCM akili ndogo ni chenga ya mwili,kweli amini CCM wamefika mwisho wa kufikiri.Mbona mmewaachia usiku wa manane?Leo umedhihirisha usaliti wako kwa Mbowe
Mtawaachia bila kupenda usiku wa manane kabla jogoo hajawika. #3 zaidi mtaonyesha mnavyotumia kodi za wanaCHADEMA kuwalipa posho POLISI.Ndiyo tumewaachia sasa, waandamane tena kama hatujawarudisha tuliko watoa!!
Au ulitaka kuuliza kwanini hatujauawa?Kwanini wewe na mnyika hamjakamatwa?
Mimi sio boya kama wewe Dogo. Nakumbuka vizuri hotuba ya Mbowe alipokuwa anatangaza kuwepo kwa maandamano. HAKUNA HATA MOJA lililofanikiwa. Sema nyumbu mna namna ya kujifariji na inakubarika ili kuficha aibu! Ahahahahaha!!!kamalizie home work zako, ndio uje ujifunze siasa. kinachotokea sasa ndio CDM walipanga. Kwani ulifikili uoga wa watu kuandamana kwa hapa nchini chadema hawaujui.
Kweli wewe ni kapuku!! Maneno mengiii vitendo zero. Ungeingia kwenye maandamano ili wakuvunje kiuno ushindwe kumhudumia DJ Mbowe!Hujui kitu kapuku wewe
🚮🚮🚮View attachment 3104786
View attachment 3104787
View attachment 3104789
Mungu aendelee kuwabariki Wazungu, kwa wema wao wa kuhakikisha kwamba hakuna Mlevi wa Madaraka wa kiafrica atakayepumua.
Hatimaye waliokamatwa kwa Mbwembwe ya Doria ya wiki nzima Wanaachiwa bila Masharti yoyote.
Muliro Unajisikiaje, Aibu ya milele ikuandame wewe na kizazi chako chote, Amina.
Soma Pia:
Watanzania wamewakataa ndio maana mnakimbilia kwa mabeberu!View attachment 3104786
View attachment 3104787
View attachment 3104789
Mungu aendelee kuwabariki Wazungu, kwa wema wao wa kuhakikisha kwamba hakuna Mlevi wa Madaraka wa kiafrica atakayepumua.
Hatimaye waliokamatwa kwa Mbwembwe ya Doria ya wiki nzima Wanaachiwa bila Masharti yoyote.
Muliro Unajisikiaje, Aibu ya milele ikuandame wewe na kizazi chako chote, Amina.
Soma Pia:
HAKUNA MAELEZO WALIYOACHAHao wameachiwa na si kwa shinikizo la watu au wazungu, wamehojiwa na kutoa maelezo na kuachiwa, kiroho safi, na jeshi letu lenye weledi mkubwa linalozingatia sheria na taratibu zake juu ya wanaokamatwa,
Jamaa alikuwa uvunguni.Ametokeza wallioshikwa walipopewa dhamana. Fuatilia posti za jana.Kukojoa na kunya alitumia kopo.wewe hujakamatwa?
Sawah lakin wale wanaotunga sheria xa kingese bungeni unakuja lalamika ukali wa maisha wanafaaa au sioI care less about whatever that happens to Politicians.
Hakuna shinikizo wala niniView attachment 3104786
View attachment 3104787
View attachment 3104789
Mungu aendelee kuwabariki Wazungu, kwa wema wao wa kuhakikisha kwamba hakuna Mlevi wa Madaraka wa kiafrica atakayepumua.
Hatimaye waliokamatwa kwa Mbwembwe ya Doria ya wiki nzima Wanaachiwa bila Masharti yoyote.
Muliro Unajisikiaje, Aibu ya milele ikuandame wewe na kizazi chako chote, Amina.
Soma Pia:
ALL IN ALL THESE DUDES HAVE KEPT THEIR HEADS UPJamaa alikuwa uvunguni.Ametokeza wallioshikwa walipopewa dhamana. Fuatilia posti za jana.Kukojoa na kunya alitumia kopo.
mtoto wa darasani, soma sana usaidie taifa kupunguza wajingaMimi sio boya kama wewe Dogo. Nakumbuka vizuri hotuba ya Mbowe alipokuwa anatangaza kuwepo kwa maandamano. HAKUNA HATA MOJA lililofanikiwa. Sema nyumbu mna namna ya kujifariji na inakubarika ili kuficha aibu! Ahahahahaha!!!
Kuachiwa kwa dhaman ni haki yao kisheria lakini kuwasifia wazungu eti wameshinikiza na kumwobea dua nzuri aliyekutawala,akakunyonya,akakudhalilisha,akakuibia na mali ghafi zako ni hatua nyingine ya utumwa na ujinga wa kizazi chetu hiki.Hawashinikizi ili wapate dhamana eti wanawapenda sana,hapana.Ni iwapo wataingia madarakani waanze kuvuna tena na kuiba kwani watawafanya vibaraka wao. Pamoja na kushinikaiza kwao wapate dhamana,Mwenyezi Mungu azidi kuwalani wazungu hawa kwa yote maovu waliyofanya huko nyuma.Ni majizi tu,hayana wema wowote.Laana-tu-llah illaih !!View attachment 3104786
View attachment 3104787
View attachment 3104789
Mungu aendelee kuwabariki Wazungu, kwa wema wao wa kuhakikisha kwamba hakuna Mlevi wa Madaraka wa kiafrica atakayepumua.
Hatimaye waliokamatwa kwa Mbwembwe ya Doria ya wiki nzima Wanaachiwa bila Masharti yoyote.
Muliro Unajisikiaje, Aibu ya milele ikuandame wewe na kizazi chako chote, Amina.
Soma Pia: