Baada ya siku 21 waliosema hela zimepotea mtaani sasa wataanza kuokota hela mitaani

Baada ya siku 21 waliosema hela zimepotea mtaani sasa wataanza kuokota hela mitaani

Lema yuko wapi?
Wakwamia awamu yao pendwa wakati huu wamekumbukwa na kupewa faraja kwenye yale yanayowahakikishia manufaa yao,ikiwa ni habari ya Katiba na uhuru ule wa habari kama wa enzi zao pendwa,hivyo ni muda wenu wa kusherekea hata kama utakuwa mfupi.
 
Wakwamia awamu yao pendwa wakati huu wamekumbukwa na kupewa faraja kwenye yale yanayowahakikishia manufaa yao,ikiwa ni habari ya Katiba na uhuru ule wa habari kama wa enzi zao pendwa,hivyo ni muda wenu wa kusherekea hata kama utakuwa mfupi.
Magufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.
Katiba ,lockdown, barakoa uolewaji wa lema na lisu,chanjo zote ni porojo zilizopuuzwa na wananchi
 
Wewe utajifananisha na Jemadari Lissu wewe unaetegemea makombo ya wanaCCM .
Magufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.
Katiba ,lockdown, barakoa uolewaji wa lema na lisu,chanjo zote ni porojo zilizopuuzwa na wananchi.
 
Magufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.
Katiba ,lockdown, barakoa uolewaji wa lema na lisu,chanjo zote ni porojo zilizopuuzwa na wananchi.
Wacha sasa funza zimfaidi aliizarau Covid19
 
Magufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.
Katiba ,lockdown, barakoa uolewaji wa lema na lisu,chanjo zote ni porojo zilizopuuzwa na wananchi.
Kwani buku,saa ba zilisharejea pale lumumba,sii kwa nguvu hizo za pambio pumba.
 
Magufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.
Katiba ,lockdown, barakoa uolewaji wa lema na lisu,chanjo zote ni porojo zilizopuuzwa na wananchi
Sii bure ndugu kinuji,mtaa uliokuwa jangwa ,uliofaahamika mtaa wa kijani hapo awali Bila shaka,hali ya jangwa imeondoka,na malisho yamerejea kawaida hata buku saa ba Bila shaka.Washutue Wana acha uchoyo uchoyo ni hasara.
 
Sii bure ndugu kinuji,mtaa uliokuwa jangwa ,uliofaahamika mtaa wa kijani hapo awali Bila shaka,hali ya jangwa imeondoka,na malisho yamerejea kawaida hata buku saa ba Bila shaka.Washutue Wana acha uchoyo uchoyo ni hasara.
Una hela mno sasa hivi?
 
Mpaka leo hii wana njaa kali
 
Back
Top Bottom