Baada ya siku 21 waliosema hela zimepotea mtaani sasa wataanza kuokota hela mitaani

Baada ya siku 21 waliosema hela zimepotea mtaani sasa wataanza kuokota hela mitaani

Tangu lini hela zikapotea mtaani? Money circulation ndicho kinachoongelewa mtaani. Awamu 1-4 walikuwa wanatoa ajira za walimu, polisi, magereza, jeshi na madaktari kila mwaka, walimu wapya walikuwa wanaajiriwa kwenye 30,000 mpaka 35,000 hapo bado madaktari, wanajeshi na magereza.
Kulikuwa na nyongeza za mishahara, posho pamoja na marupurupu kwahiyo fedha wanaolipwa hawa watu ndizo zinazoongeza mzunguko wa hela mtaani, hizo hizo watazitumia wenye maduka, boda boda n.k
Lakini awamu hii ya 5 hivyo vyote hakuna kwahiyo money circulation ni ndogo sana.
Afadhali wewe umechambua
 
Tangu tarehe 17 mwezi Machi Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.

Mamilioni ya Watanzania wameangua kilio kila kona kwamba sasa mwokozi wao ameondoka, cha kushitusha ni kwamba wananchi wa hali ya chini kabisa ndiyo wanaoongoza kwa kilio kinyume na tulivyokuwa tumeaminishwa kwamba Magufuli alikuwa ananyonga wanyonge!

Kitendo cha Hayati Rais Magufuli kuagwa na mamilioni ya watanzania huku wakiangua vilio njia nzima na kutandika kanga zao chini ili mwili upite imeenda kinyume kabisa na wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu na genge lake.

Kwa jinsi msiba huu unavyoenda naamini utakuwa darasa tosha kwa wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lissu, Godbless Lema, Chahali, Ngurumo, Mange Kimambi na wengine wengi, sasa wataelewa kumbe Watanzania siyo vilaza.

Wataelewa kumbe watanzania wanajua yupi anapigania haki zao kwa vitendo na ni yupi ni mpiga makelele nyuma ya keyboard.

Kwa mapenzi haya yanayoonyeshwa na Watanzania kwenye msiba huu ni lofa tu atakayeendelea kuamini kwamba eti Tundu Lisu aliibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

Wito wangu kwa wasaliti wa nchi hii wanaoshangilia msiba kwamba sasa Magufuli ameondoka watarudi Tanzania na kuanza tena kutumika kuiba rasilimali za nchi hii kama walivyokuwa wanafanya huko nyuma wajue tu kwamba wanapoteza muda.

Watanzania siyo vilaza ,wanajua fika Tundu Lissu aliwatisha kwamba watashitakiwa MIGA ikiwa watabadili sheria za madini.

Tundu Lisu aelewe kuwa hawezi kuwa Rais wa Tanzania kwa kushinda Twitter akikejeli kila lililojema kuhusu nchi yetu.

Tundu Lissu kupitia msiba huu atakuwa ameelewa na kupata darasa kwamba ukitaka kupendwa na Watanzania tumikia Watanzania na siyo kutumikia Acacia.
Nani alimtuma akanunue madege.
 
Kama wewe ni masikini huna uwezo wa kupanda ndege kaa hivyo hivyo hapo ufipa.
Ununuzi wake ndo umetumalizia hela mtaani.

Ufipa ndege zetu zikikuwa fast jet nauli ilikuwa nafuu kuliko hizo zenu Atcl,yaan (any time cancellation limited.)
 
Ununuzi wake ndo umetumalizia hela mtaani.

Ufipa ndege zetu zikikuwa fast jet nauli ilikuwa nafuu kuliko hizo zenu Atcl,yaan (any time cancellation limited.)
Una hela mitaani umezitolea wapi kenge wewe
 
Tangu tarehe 17 mwezi Machi Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.

Mamilioni ya Watanzania wameangua kilio kila kona kwamba sasa mwokozi wao ameondoka, cha kushitusha ni kwamba wananchi wa hali ya chini kabisa ndiyo wanaoongoza kwa kilio kinyume na tulivyokuwa tumeaminishwa kwamba Magufuli alikuwa ananyonga wanyonge!

Kitendo cha Hayati Rais Magufuli kuagwa na mamilioni ya watanzania huku wakiangua vilio njia nzima na kutandika kanga zao chini ili mwili upite imeenda kinyume kabisa na wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu na genge lake.

Kwa jinsi msiba huu unavyoenda naamini utakuwa darasa tosha kwa wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lissu, Godbless Lema, Chahali, Ngurumo, Mange Kimambi na wengine wengi, sasa wataelewa kumbe Watanzania siyo vilaza.

Wataelewa kumbe watanzania wanajua yupi anapigania haki zao kwa vitendo na ni yupi ni mpiga makelele nyuma ya keyboard.

Kwa mapenzi haya yanayoonyeshwa na Watanzania kwenye msiba huu ni lofa tu atakayeendelea kuamini kwamba eti Tundu Lisu aliibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

Wito wangu kwa wasaliti wa nchi hii wanaoshangilia msiba kwamba sasa Magufuli ameondoka watarudi Tanzania na kuanza tena kutumika kuiba rasilimali za nchi hii kama walivyokuwa wanafanya huko nyuma wajue tu kwamba wanapoteza muda.

Watanzania siyo vilaza ,wanajua fika Tundu Lissu aliwatisha kwamba watashitakiwa MIGA ikiwa watabadili sheria za madini.

Tundu Lisu aelewe kuwa hawezi kuwa Rais wa Tanzania kwa kushinda Twitter akikejeli kila lililojema kuhusu nchi yetu.

Tundu Lissu kupitia msiba huu atakuwa ameelewa na kupata darasa kwamba ukitaka kupendwa na Watanzania tumikia Watanzania na siyo kutumikia Acacia.
Nani kakudanganya??? Uliwahi ona waliomzika Hitler??? Aisee jidanganye tuu watanzania hawana kazi hata vibanda umiza wanajaaa kibao !!! Aliyekwambia watu walilia kwa simanzi Nani!????hujui kuna kulia kwa furaha????aisee mm nimeshuhudia sherehe za ajabu mitaani amini nakwambia
 
Tangu tarehe 17 mwezi Machi Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.

Mamilioni ya Watanzania wameangua kilio kila kona kwamba sasa mwokozi wao ameondoka, cha kushitusha ni kwamba wananchi wa hali ya chini kabisa ndiyo wanaoongoza kwa kilio kinyume na tulivyokuwa tumeaminishwa kwamba Magufuli alikuwa ananyonga wanyonge!

Kitendo cha Hayati Rais Magufuli kuagwa na mamilioni ya watanzania huku wakiangua vilio njia nzima na kutandika kanga zao chini ili mwili upite imeenda kinyume kabisa na wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu na genge lake.

Kwa jinsi msiba huu unavyoenda naamini utakuwa darasa tosha kwa wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lissu, Godbless Lema, Chahali, Ngurumo, Mange Kimambi na wengine wengi, sasa wataelewa kumbe Watanzania siyo vilaza.

Wataelewa kumbe watanzania wanajua yupi anapigania haki zao kwa vitendo na ni yupi ni mpiga makelele nyuma ya keyboard.

Kwa mapenzi haya yanayoonyeshwa na Watanzania kwenye msiba huu ni lofa tu atakayeendelea kuamini kwamba eti Tundu Lisu aliibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

Wito wangu kwa wasaliti wa nchi hii wanaoshangilia msiba kwamba sasa Magufuli ameondoka watarudi Tanzania na kuanza tena kutumika kuiba rasilimali za nchi hii kama walivyokuwa wanafanya huko nyuma wajue tu kwamba wanapoteza muda.

Watanzania siyo vilaza ,wanajua fika Tundu Lissu aliwatisha kwamba watashitakiwa MIGA ikiwa watabadili sheria za madini.

Tundu Lisu aelewe kuwa hawezi kuwa Rais wa Tanzania kwa kushinda Twitter akikejeli kila lililojema kuhusu nchi yetu.

Tundu Lissu kupitia msiba huu atakuwa ameelewa na kupata darasa kwamba ukitaka kupendwa na Watanzania tumikia Watanzania na siyo kutumikia Acacia.
Jidanganye tuuuuuuuuuu
 
Tundu Lisu hataiongoza hii nchi kamwe.
Hata ahamie CCM hii nchi kamwe hataiongoza. Nimepitia Twitter yake nimeona ujinga wa hali ya juu anaiponda hati maiti. Ukweli akija kushika hii nchi Tundu Lisu, nitajua nchi hii haina Usalama wa JWTZ.

Niliwahi kumkubali, lakini nimeona sura yake halisi. Haitatokea nitamke jina lake mbele za Mungu.

Ila kwa sheria na kuionesha serikali inapokosea bado namkubali sana, na ninatamani mama SSH amrudishe asaidie taifa kwa ngazi za zinazoendana na yeye.

Ila URAIS, nawaomba TISS, JWTZ wafuatilie vizuri maneno yake na wayasome kwa undani na waone kwa nini nasema hawezi shika nchi, maana ana kifua kidogo. Japo najua kuna TISS wanamkubali sana kama anavyojivuna mara kwa mara kuwa hizi taarifa nimepewa na TISS wakaribu naye.

Mwisho naomba Lissu aaminiwe kwa uongozi wowote ndani ya Tz ila kamwe asijekuwa msemaji wa Mwisho wa taifa. Ninaelewa ninachosema.
Wasukuma bila mungu kufanya yake mngekea matajiri sana kwa kubebwa hata mikono ya sweta mngekua mnaenda kuitoa ughaibuni!!!! Asante sir God
 
Mungu ameikomboa Tanzania toka kwa shetani. Niongeze sauti???
 
Back
Top Bottom