Kinuji simtofautishi na alina,stroke,magonjwa mtambuka,etweege,elitweege,kawe alumni,igudunde na wengine wafananao .Siku 100 baadae bado ni masikini wa kutupwa ,wanaishi kwa kulelewa na wazungu.View attachment 1836586
Wakwamia awamu yao pendwa wakati huu wamekumbukwa na kupewa faraja kwenye yale yanayowahakikishia manufaa yao,ikiwa ni habari ya Katiba na uhuru ule wa habari kama wa enzi zao pendwa,hivyo ni muda wenu wa kusherekea hata kama utakuwa mfupi.Lema yuko wapi?
Magufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.Wakwamia awamu yao pendwa wakati huu wamekumbukwa na kupewa faraja kwenye yale yanayowahakikishia manufaa yao,ikiwa ni habari ya Katiba na uhuru ule wa habari kama wa enzi zao pendwa,hivyo ni muda wenu wa kusherekea hata kama utakuwa mfupi.
Wewe utajifananisha na Jemadari Lissu wewe unaetegemea makombo ya wanaCCM .Siku 100 baadae bado ni masikini wa kutupwa ,wanaishi kwa kulelewa na wazungu.
UtopoloMagufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.
Katiba ,lockdown, barakoa uolewaji wa lema na lisu,chanjo zote ni porojo zilizopuuzwa na wananchi.
Wacha sasa funza zimfaidi aliizarau Covid19Magufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.
Katiba ,lockdown, barakoa uolewaji wa lema na lisu,chanjo zote ni porojo zilizopuuzwa na wananchi.
Kwani buku,saa ba zilisharejea pale lumumba,sii kwa nguvu hizo za pambio pumba.Magufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.
Katiba ,lockdown, barakoa uolewaji wa lema na lisu,chanjo zote ni porojo zilizopuuzwa na wananchi.
Sii bure ndugu kinuji,mtaa uliokuwa jangwa ,uliofaahamika mtaa wa kijani hapo awali Bila shaka,hali ya jangwa imeondoka,na malisho yamerejea kawaida hata buku saa ba Bila shaka.Washutue Wana acha uchoyo uchoyo ni hasara.Magufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.
Katiba ,lockdown, barakoa uolewaji wa lema na lisu,chanjo zote ni porojo zilizopuuzwa na wananchi
Una hela mno sasa hivi?Sii bure ndugu kinuji,mtaa uliokuwa jangwa ,uliofaahamika mtaa wa kijani hapo awali Bila shaka,hali ya jangwa imeondoka,na malisho yamerejea kawaida hata buku saa ba Bila shaka.Washutue Wana acha uchoyo uchoyo ni hasara.
Tofautisha walioko Paradiso na JahanamuKama james mbowe tu
Segerea ni uonevu wa Mwanadamu mimi naongelea upande wa Mungu.Paradiso ya Segerea?
Ww nani unaemuonglea Mungu?una chuki dhidi ya bndamu mwenzko halafu unaleta hbr za Mungu,je Mungu anapenda hivyo?na Mungu yupi huyo?Segerea ni uonevu wa Mwanadamu mimi naongelea upande wa Mungu.