Baada ya siku 226 rumande, Zitto Kabwe asema “KWA MBOWE HAKI IMETENDEKA”

Baada ya siku 226 rumande, Zitto Kabwe asema “KWA MBOWE HAKI IMETENDEKA”

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe na wenzake watatu, wameachiwa huru leo Machi 4, 2022, na Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, baada ya DPP Kuwasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na shauri hilo.

Hatua hiyo imekuja siku 226 tangu aanze kuwa rumande, hay ani maoni mbalimbali ya watu maarufu, wanasiasa na viongozi wa dini wametoa maoni:

Freeman.jpg

Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe:
"Kipekee kabisa, nitumie nafasi hii kuwashukuru na kuwapongeza wale wote ambao - kwa maneno na vitendo; sirini na hadharani, wamefanikisha kutendeka kwa haki katika kesi ya Ndugu Freeman Mbowe. Haki imetendeka."

Deodatus Balile, Mwenyekiti wa TEF
“Tulieleza, haikuwa na afya sana nchi hii kurejea katika zama za ukoloni, kila aliyetoa kauli aliishia gerezani. Kimepita kipindi kigumu, hatufufui makaburi. Tunampongeza DPP kwa kuchukua uamuzi sahihi kwa maslahi ya taifa letu.”

Askofu Benson Bagonza, KKKT Dayosisi ya Karagwe, Kagera:
“Mbowe ametoka gerezani alimokaa miezi 8. Watu wanashangilia kuwa Mbowe yako huru. Mimi nasema hayuko huru bali yuko nje ya gereza, kwa sababu sheria iliyomshtaki na kumnyima dhamana bado haijafutwa.”

Askofu Emmaus Mwamakula:
“Leo nina furaha kwa sababu toka mwanzo wamewakamata, sisi viongozi wa dini tuliona hii kesi ilikuwa ya kisiasa na tulipaza sauti Mbowe aachiwe bila masharti yoyote. Katika hili hatukuweza kumung'unya maneno, ilikuwa ni safari ndefu.”

Naibu Katibu Mkuu Chadema Bara, Benson Kigaila:
“Tuliwaambia tangu mwanzo, hawana kesi (mashtaka ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Freeman Mbowe), wakasema wana kesi lakini leo wamethibitisha hawakuwa na kesi.”
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe na wenzake watatu, wameachiwa huru leo Machi 4, 2022, na Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, baada ya DPP Kuwasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na shauri hilo.

Hatua hiyo imekuja siku 226 tangu aanze kuwa rumande, hay ani maoni mbalimbali ya watu maarufu, wanasiasa na viongozi wa dini wametoa maoni:


Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe:
"Kipekee kabisa, nitumie nafasi hii kuwashukuru na kuwapongeza wale wote ambao - kwa maneno na vitendo; sirini na hadharani, wamefanikisha kutendeka kwa haki katika kesi ya Ndugu Freeman Mbowe. Haki imetendeka."

Deodatus Balile, Mwenyekiti wa TEF
“Tulieleza, haikuwa na afya sana nchi hii kurejea katika zama za ukoloni, kila aliyetoa kauli aliishia gerezani. Kimepita kipindi kigumu, hatufufui makaburi. Tunampongeza DPP kwa kuchukua uamuzi sahihi kwa maslahi ya taifa letu.”

Askofu Benson Bagonza, KKKT Dayosisi ya Karagwe, Kagera:
“Mbowe ametoka gerezani alimokaa miezi 8. Watu wanashangilia kuwa Mbowe yako huru. Mimi nasema hayuko huru bali yuko nje ya gereza, kwa sababu sheria iliyomshtaki na kumnyima dhamana bado haijafutwa.”

Askofu Emmaus Mwamakula:
“Leo nina furaha kwa sababu toka mwanzo wamewakamata, sisi viongozi wa dini tuliona hii kesi ilikuwa ya kisiasa na tulipaza sauti Mbowe aachiwe bila masharti yoyote. Katika hili hatukuweza kumung'unya maneno, ilikuwa ni safari ndefu.”

Naibu Katibu Mkuu Chadema Bara, Benson Kigaila:
“Tuliwaambia tangu mwanzo, hawana kesi (mashtaka ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Freeman Mbowe), wakasema wana kesi lakini leo wamethibitisha hawakuwa na kesi.”
Hiyo haki anayosema Zito kwamba imetendeka ni haki ipi?
 
Siasa za Tanzania unakuta wanasiasa mara nyingi huwa wanapatana na pia wanapenda, huku mitandaoni misukule yao inaparuana.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe na wenzake watatu, wameachiwa huru leo Machi 4, 2022, na Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, baada ya DPP Kuwasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na shauri hilo.

Hatua hiyo imekuja siku 226 tangu aanze kuwa rumande, hay ani maoni mbalimbali ya watu maarufu, wanasiasa na viongozi wa dini wametoa maoni:


Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe:
"Kipekee kabisa, nitumie nafasi hii kuwashukuru na kuwapongeza wale wote ambao - kwa maneno na vitendo; sirini na hadharani, wamefanikisha kutendeka kwa haki katika kesi ya Ndugu Freeman Mbowe. Haki imetendeka."

Deodatus Balile, Mwenyekiti wa TEF
“Tulieleza, haikuwa na afya sana nchi hii kurejea katika zama za ukoloni, kila aliyetoa kauli aliishia gerezani. Kimepita kipindi kigumu, hatufufui makaburi. Tunampongeza DPP kwa kuchukua uamuzi sahihi kwa maslahi ya taifa letu.”

Askofu Benson Bagonza, KKKT Dayosisi ya Karagwe, Kagera:
“Mbowe ametoka gerezani alimokaa miezi 8. Watu wanashangilia kuwa Mbowe yako huru. Mimi nasema hayuko huru bali yuko nje ya gereza, kwa sababu sheria iliyomshtaki na kumnyima dhamana bado haijafutwa.”

Askofu Emmaus Mwamakula:
“Leo nina furaha kwa sababu toka mwanzo wamewakamata, sisi viongozi wa dini tuliona hii kesi ilikuwa ya kisiasa na tulipaza sauti Mbowe aachiwe bila masharti yoyote. Katika hili hatukuweza kumung'unya maneno, ilikuwa ni safari ndefu.”

Naibu Katibu Mkuu Chadema Bara, Benson Kigaila:
“Tuliwaambia tangu mwanzo, hawana kesi (mashtaka ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Freeman Mbowe), wakasema wana kesi lakini leo wamethibitisha hawakuwa na kesi.”
Watanzania wote,isipokuwa wenye ccm yao:Wapo nje ya gereza hadi tutakapopata Katiba mpya.
Ahsante Baba Askofu Bagonza kwa hekima yako.
Yatupasa wote kujitambua kuwa tungekuwa na Katiba nzuri inayofuatwa kikamilifu na Watanzania wote kwa usawa,yumkini haya yote yasingetokea kirahisi rahisi namna hii.
Mtanzania/Raia mwema anakamatwa,anafunguliwa kesi ya mchongo,anakaa mahabusu halafu wanakuja na ukosefu wa nia ya kuendelea na mashtaka,mchezo unaishia hapo.Hakuna namna ya kudai fidia na ukidai unaweza kamatwa na kufunguliwa shauri lingine gumu.
Je,ni nani aliye salama hapa nchini mwetu dhidi ya katiba/sheria mbovu?
Tunakwama wapi kui-TRANSFORM Tanzania tuipendayo tupendavyo?
Tukipenda tunaweza kuridhiana,tukatengeneza Katiba na Sheria Bora kuliko nchi yoyote duniani na tukaishi na kufaidi matunda ya raslimali alizotujalia Watanzania na vizazi vyetu nini kingeharibika?
Amin nawaambia Tanzania haikustahili kuteseka anymore,enough is enough.
Kesi ya Mbowe imedhihirisha kuwa sisi sote tupo nje ya gereza sasa lakini twaweza fika gerezani hata bila hatia na ikawa sawa tu!
INAUMIZA!
 
Wanafiki wa kila aina watajitokeza.. watajifanya wameshiriki "kwa siri" kumtoa Mbowe...
 
Watanzania wote,isipokuwa wenye ccm yao:Wapo nje ya gereza hadi tutakapopata Katiba mpya.
Ahsante Baba Askofu Bagonza kwa hekima yako.
Yatupasa wote kujitambua kuwa tungekuwa na Katiba nzuri inayofuatwa kikamilifu na Watanzania wote kwa usawa,yumkini haya yote yasingetokea kirahisi rahisi namna hii.
Mtanzania/Raia mwema anakamatwa,anafunguliwa kesi ya mchongo,anakaa mahabusu halafu wanakuja na ukosefu wa nia ya kuendelea na mashtaka,mchezo unaishia hapo.Hakuna namna ya kudai fidia na ukidai unaweza kamatwa na kufunguliwa shauri lingine gumu.
Je,ni nani aliye salama hapa nchini mwetu dhidi ya katiba/sheria mbovu?
Tunakwama wapi kui-TRANSFORM Tanzania tuipendayo tupendavyo?
Tukipenda tunaweza kuridhiana,tukatengeneza Katiba na Sheria Bora kuliko nchi yoyote duniani na tukaishi na kufaidi matunda ya raslimali alizotujalia Watanzania na vizazi vyetu nini kingeharibika?
Amin nawaambia Tanzania haikustahili kuteseka anymore,enough is enough.
Kesi ya Mbowe imedhihirisha kuwa sisi sote tupo nje ya gereza sasa lakini twaweza fika gerezani hata bila hatia na ikawa sawa tu!
INAUMIZA!
Rubbish 🙊
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe na wenzake watatu, wameachiwa huru leo Machi 4, 2022, na Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, baada ya DPP Kuwasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na shauri hilo.

Hatua hiyo imekuja siku 226 tangu aanze kuwa rumande, hay ani maoni mbalimbali ya watu maarufu, wanasiasa na viongozi wa dini wametoa maoni:


Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe:
"Kipekee kabisa, nitumie nafasi hii kuwashukuru na kuwapongeza wale wote ambao - kwa maneno na vitendo; sirini na hadharani, wamefanikisha kutendeka kwa haki katika kesi ya Ndugu Freeman Mbowe. Haki imetendeka."

Deodatus Balile, Mwenyekiti wa TEF
“Tulieleza, haikuwa na afya sana nchi hii kurejea katika zama za ukoloni, kila aliyetoa kauli aliishia gerezani. Kimepita kipindi kigumu, hatufufui makaburi. Tunampongeza DPP kwa kuchukua uamuzi sahihi kwa maslahi ya taifa letu.”

Askofu Benson Bagonza, KKKT Dayosisi ya Karagwe, Kagera:
“Mbowe ametoka gerezani alimokaa miezi 8. Watu wanashangilia kuwa Mbowe yako huru. Mimi nasema hayuko huru bali yuko nje ya gereza, kwa sababu sheria iliyomshtaki na kumnyima dhamana bado haijafutwa.”

Askofu Emmaus Mwamakula:
“Leo nina furaha kwa sababu toka mwanzo wamewakamata, sisi viongozi wa dini tuliona hii kesi ilikuwa ya kisiasa na tulipaza sauti Mbowe aachiwe bila masharti yoyote. Katika hili hatukuweza kumung'unya maneno, ilikuwa ni safari ndefu.”

Naibu Katibu Mkuu Chadema Bara, Benson Kigaila:
“Tuliwaambia tangu mwanzo, hawana kesi (mashtaka ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Freeman Mbowe), wakasema wana kesi lakini leo wamethibitisha hawakuwa na kesi.”
Ntu ya dili kashikwa
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe na wenzake watatu, wameachiwa huru leo Machi 4, 2022, na Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, baada ya DPP Kuwasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na shauri hilo.

Hatua hiyo imekuja siku 226 tangu aanze kuwa rumande, hay ani maoni mbalimbali ya watu maarufu, wanasiasa na viongozi wa dini wametoa maoni:


Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe:
"Kipekee kabisa, nitumie nafasi hii kuwashukuru na kuwapongeza wale wote ambao - kwa maneno na vitendo; sirini na hadharani, wamefanikisha kutendeka kwa haki katika kesi ya Ndugu Freeman Mbowe. Haki imetendeka."

Deodatus Balile, Mwenyekiti wa TEF
“Tulieleza, haikuwa na afya sana nchi hii kurejea katika zama za ukoloni, kila aliyetoa kauli aliishia gerezani. Kimepita kipindi kigumu, hatufufui makaburi. Tunampongeza DPP kwa kuchukua uamuzi sahihi kwa maslahi ya taifa letu.”

Askofu Benson Bagonza, KKKT Dayosisi ya Karagwe, Kagera:
“Mbowe ametoka gerezani alimokaa miezi 8. Watu wanashangilia kuwa Mbowe yako huru. Mimi nasema hayuko huru bali yuko nje ya gereza, kwa sababu sheria iliyomshtaki na kumnyima dhamana bado haijafutwa.”

Askofu Emmaus Mwamakula:
“Leo nina furaha kwa sababu toka mwanzo wamewakamata, sisi viongozi wa dini tuliona hii kesi ilikuwa ya kisiasa na tulipaza sauti Mbowe aachiwe bila masharti yoyote. Katika hili hatukuweza kumung'unya maneno, ilikuwa ni safari ndefu.”

Naibu Katibu Mkuu Chadema Bara, Benson Kigaila:
“Tuliwaambia tangu mwanzo, hawana kesi (mashtaka ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Freeman Mbowe), wakasema wana kesi lakini leo wamethibitisha hawakuwa na kesi.”
Askofu Bagonza ana jicho la tatu hongera sana baba Askofu kwa kuliona hilo,huwa hakuna kupongeza uonevu kwenye mambo ya kionevu onevu,Mbowe hayuko huru.
 
Back
Top Bottom