Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 7,918
- 20,037
Wakuu Habari zenu?
Walikuwa wanasema sio vizuri kuwakatisha tamaa wachezaji kabla mashindano hayajaisha mnawaraumu.
Sasa tumetolewa nadhani ni ndio muda muhafaka wa kukosoa na kushauri.
Kwa upande wangu najiuliza hawa wachezaji wanafanyaga mazoezi ya aina gani?
Yaani kupiga pass 5 tu hawawezi lazima wapoteze mpira.nashauri kwenye mazoezi wawewanafanya mazoezi ya kupiga pass ,pass 10 goli.na sio kufunga kwanza.
Na kingine ni vizuri hao wachezaji wakawa wanacheza ma game ya mpira kama FIFA,... ilikujifunza mpira unachezaje mpira sio kupeleka mbele tu unabutua.ukifanya hivyo utakoga mvua za magoli.
Mpira lazima utengeneze nafasi ndio ufunge.
Labda iwe kwenye ligi yetu huku kila timu inacheza formation ya 4-5-1, hiyo formation hata watoto hawajui mpira mitaani wanacheza hivyo hivyo .dunia ya sasa imebadilika.
Sijajua kocha anafundisha mpira gani zaidi ya kutaka tu wachezaji wapeleke mpira mbele tu.
Wachezaji wafundishwe kukaba na kucheza mpira.
Tumetia aibu afcon 2019,mara ya mwisho tulitoka na point 1. Safari hii bila hata point 1.
Kocha afundishe wachezaji kucheza mpira na sio tu kuweka wachezaji uwanjani wanakimbia kimbia tu uwanjani.
Ni hayo tu machache wakuu,ongezea na wewe ya kwako Hapo chini.
Walikuwa wanasema sio vizuri kuwakatisha tamaa wachezaji kabla mashindano hayajaisha mnawaraumu.
Sasa tumetolewa nadhani ni ndio muda muhafaka wa kukosoa na kushauri.
Kwa upande wangu najiuliza hawa wachezaji wanafanyaga mazoezi ya aina gani?
Yaani kupiga pass 5 tu hawawezi lazima wapoteze mpira.nashauri kwenye mazoezi wawewanafanya mazoezi ya kupiga pass ,pass 10 goli.na sio kufunga kwanza.
Na kingine ni vizuri hao wachezaji wakawa wanacheza ma game ya mpira kama FIFA,... ilikujifunza mpira unachezaje mpira sio kupeleka mbele tu unabutua.ukifanya hivyo utakoga mvua za magoli.
Mpira lazima utengeneze nafasi ndio ufunge.
Labda iwe kwenye ligi yetu huku kila timu inacheza formation ya 4-5-1, hiyo formation hata watoto hawajui mpira mitaani wanacheza hivyo hivyo .dunia ya sasa imebadilika.
Sijajua kocha anafundisha mpira gani zaidi ya kutaka tu wachezaji wapeleke mpira mbele tu.
Wachezaji wafundishwe kukaba na kucheza mpira.
Tumetia aibu afcon 2019,mara ya mwisho tulitoka na point 1. Safari hii bila hata point 1.
Kocha afundishe wachezaji kucheza mpira na sio tu kuweka wachezaji uwanjani wanakimbia kimbia tu uwanjani.
Ni hayo tu machache wakuu,ongezea na wewe ya kwako Hapo chini.