Abdul kalaam
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 441
- 565
Islamophobia behind the sceneMkuu hili sio sula la kidini hata kidogo. Ndio maana hata TEC wametoa maoni yao kama raia wengine wa kawaida wanaoguswa na utapanyaji wa rasilimali za taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Islamophobia behind the sceneMkuu hili sio sula la kidini hata kidogo. Ndio maana hata TEC wametoa maoni yao kama raia wengine wa kawaida wanaoguswa na utapanyaji wa rasilimali za taifa.
Mkuu kwenye suala maslahi ya taifa tunapaswa kusimama pamoja kama taifa badala ya kuangalia maslahi binafsi.Bakwata wakivaa kanzu na lemba lile nao wanajiona ni waarabu soo hawezi kuwa na tamko lolote zaidi yakushingizia waislam wanaonewa wivu na wakristu.
Baada ya TEC kuukataa mkataba wa DPW hadharani bila kumumunya maneno, sasa tunasubiri tamko la BAKWATA nao tusikie watasema nini. Ni matumaini yangu kwamba BAKWATA watafuata nyanyo za TEC kwa kuukataa mkataba wa DPW bila kupepesa macho.
Aidha, inawezekana BAKWATA wakaukubali mkataba na endapo watafanya hivyo basi watakuwa na sababu za msingi. Au wanaweza kuukubali na kutoa maoni kuhusu kuboreshwa vipengele vyenye utata, hasa vile vinavyohusu muda wa mkataba na vinavyobagaza mamlaka ya nchi (sovereignty).
Kimsingi ni vigumu kubashiri nini BAKWATA watasema lakini kwa kuwa bado hawajatoa tamko hadharani, ngoja tusubiri tuone watakuja na tamko zito au jepesi kiasi gani. Waswahili wanasema 'usiusemee moyo' au 'usiandikie mate wakati wino upo'. Kwa maana hiyo, hebu tuvute subira kidogo tusubiri kusikia BAKWATA watakuja na tamko la aina gani. Wakati ukifika wataanika kila kitu hadharani. Subra yavuta kheri.
Hatutoi tamko tuko nyutro!!Baada ya TEC kuukataa mkataba wa DPW hadharani bila kumumunya maneno, sasa tunasubiri tamko la BAKWATA nao tusikie watasema nini. Ni matumaini yangu kwamba BAKWATA watafuata nyanyo za TEC kwa kuukataa mkataba wa DPW bila kupepesa macho.
Aidha, inawezekana BAKWATA wakaukubali mkataba na endapo watafanya hivyo basi watakuwa na sababu za msingi. Au wanaweza kuukubali na kutoa maoni kuhusu kuboreshwa vipengele vyenye utata, hasa vile vinavyohusu muda wa mkataba na vinavyobagaza mamlaka ya nchi (sovereignty).
Kimsingi ni vigumu kubashiri nini BAKWATA watasema lakini kwa kuwa bado hawajatoa tamko hadharani, ngoja tusubiri tuone watakuja na tamko zito au jepesi kiasi gani. Waswahili wanasema 'usiusemee moyo' au 'usiandikie mate wakati wino upo'. Kwa maana hiyo, hebu tuvute subira kidogo tusubiri kusikia BAKWATA watakuja na tamko la aina gani. Wakati ukifika wataanika kila kitu hadharani. Subra yavuta kheri.
Hao si wanawakilishwa na Sheikh Mwaipopo!!Baada ya TEC kuukataa mkataba wa DPW hadharani bila kumumunya maneno, sasa tunasubiri tamko la BAKWATA nao tusikie watasema nini. Ni matumaini yangu kwamba BAKWATA watafuata nyanyo za TEC kwa kuukataa mkataba wa DPW bila kupepesa macho.
Aidha, inawezekana BAKWATA wakaukubali mkataba na endapo watafanya hivyo basi watakuwa na sababu za msingi. Au wanaweza kuukubali na kutoa maoni kuhusu kuboreshwa vipengele vyenye utata, hasa vile vinavyohusu muda wa mkataba na vinavyobagaza mamlaka ya nchi (sovereignty).
Kimsingi ni vigumu kubashiri nini BAKWATA watasema lakini kwa kuwa bado hawajatoa tamko hadharani, ngoja tusubiri tuone watakuja na tamko zito au jepesi kiasi gani. Waswahili wanasema 'usiusemee moyo' au 'usiandikie mate wakati wino upo'. Kwa maana hiyo, hebu tuvute subira kidogo tusubiri kusikia BAKWATA watakuja na tamko la aina gani. Wakati ukifika wataanika kila kitu hadharani. Subra yavuta kheri.
[emoji38][emoji38][emoji38]Hao si wanawakilishwa na Sheikh Mwaipopo!!
Mwaipopo ni Bakwata na tayari alishatoa TamkoHao si wanawakilishwa na Sheikh Mwaipopo!!
Bakwata wanajielewa wala hawatadanganyika na ujengaji wa misikiti!! Ila wale wanaovaa "don't touch", yaani kanzu fupi, suruali fupi na muda wote wako kinyume na bakwata hao ndo wajomba zake DP World!!Kumbuka moja ya ahadi za DPW nikujenga misikiti Sasa bakwata watasemaje?
Mwaipopo siyo msemaji rasmi wa bakwata! yeye katoa msimamo wake binafsi! na si wa Bakwata!Mwaipopo ni Bakwata na tayari alishatoa Tamko
Ajabu hawajatoa hata siku moja kuhusu mikataba mibovu ya madini dhidi ya waingereza, au mimi tu ndo sijasikia?Mkuu hili sio sula la kidini hata kidogo. Ndio maana hata TEC wametoa maoni yao kama raia wengine wa kawaida wanaoguswa na utapanyaji wa rasilimali za taifa.
BAKWATA au Shura ya Maimamu!?Kumbuka moja ya ahadi za DPW nikujenga misikiti Sasa bakwata watasemaje?