Baada ya Tito Magoti na mwenzake kutiwa hatiani ni dhahiri kuwa sio kila anayejinasibu mkosoaji wa Serikali anabambikiwa kesi ya Uhujumu Uchumi

Baada ya Tito Magoti na mwenzake kutiwa hatiani ni dhahiri kuwa sio kila anayejinasibu mkosoaji wa Serikali anabambikiwa kesi ya Uhujumu Uchumi

Mleta mada jifunze kufikiri kwa kutumia akili zako, sio unafikiri kwa akili za kukopeshwa na Mataga. Hivi wewe uelewe kitu kilichotokea?

Hivi katika zama hizi za Mafuguli unaweza kushtakiwa na jamhuri kwa kesi za kutengenezwa na utawala wake halafu ukashinda kesi?

Huyo jaji au hakimu anajipenda kweli?
Na wewe mshtakiwa unajipenda kweli?
Hoja dhaifu
 
Acha upuuzi,wamekiri kosa na wamekiri kuunda hili genge na kumiliki namba za simu za nje. Kuna mtu aliwalazimisha kukiri?
Tumia akili japo kidogo,unadhani kwao ipi ilikuwa chaguo sahihi
1) Kuozea gerezani Kama Masheikh wa uamsho bila upelelezi kukamilika au
2) Kukubali kosa la kubambikiwa kisha kulipa faini ya kujenga Daraja la Busisi na kutoka nje?
 
Kabla ya kwenda moja kwa moja napenda kuweka wazi kuwa mimi ni mtu ambaye sipendi kuona watu wakionewa na hasa kunyimwa haki zao za msingi.

Kumekuwepo na dhana potofu hapa Tanzania kuwa kila mtu anayeikosoa Serikali ya sasa ya awamu ya tano lazima akutane na mkono wa chuma.Dhana ambayo imekuwa ikiwafanya watu wengi wadhanie kuwa kuna ubabe na uvunjifu wa haki za raia hapa BongoTz.

Na mbaya zaidi ni hii ya kuaminisha watu kuwa kila anayeikosoa serikali basi lazima abambikiwe kesi ya uhujumu uchumi ili baadae pesa zimtoke ili akomolewe.

Lakini hivi majuzi baada ya Tito Magoti na mwenzake kukiri kosa ukweli wa mambo umejulikana,na ni wazi kuwa sio wote wanabambikiwa kesi,maana hili la kubambikiana kesi nalo lina siri kubwa.

Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi,Tito Magoti na mwenzake waliunda genge la uhalifu ili waweze kueneza proganda za uongo kuwa serikali ya Tanzania inagandamiza haki za binadamu. Na wamekiri kuwa kulikuwa na mtandao unaojiita Tanzania on Twitter ambao ndio uliratibu kuundwa kwa hili genge. Ni genge ambalo linaonekana kujidhatiti ili kuchafua sifa ya nchi yetu.

Tito na mwenzake walipewa namba za simu zilizosajiliwa Holland na walishirikiana na watanzania wanaoishi nje kufanya uhalifu huo,huku wakiahidiwa kujipatia kipato kikubwa tu. Hii ilikuwa ni pamoja na kumiliki programu za komputa ili kufanikisha uhalifu wao.

Wamekiri makosa na kisha kulipa mil 17354535. Na hii inatupa ukweli kuwa sio kila anayeikosoa serikali anakosoa kwa nia njema. Na sio kila anayekosoa anabambikiwa kesi za uhujumu uchumi.

Kwa muktadha huu huenda hata genge la akina Eric na wenzake pia kuna mambo makubwa yaliyojificha nyuma ya pazia,lakini watu kwa kuangalia shilingi upande mmoja waliituhumu serikali kumbambikia kesi.

Maoni; Tujihadhali na wanasiasa kama Zitto ni watu wabaya sana ambao hutumia watu kwa manufaa yao kisiasa, huku wao wakila bata na kunufaika na kuwaacha vijana wenye tamaa wakitiwa nyavuni.
Sema wamekubali kuchangia makusanyo,na sii kweli unapenda haki,vinginevyo tuthibitishie uyasemayo.
 
Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
Utafaidi matunda ya awamu hii ya mtu mzalendo, mpole na ni Rais mwenye huruma na Moyo wa upendo kwa RAIA wake
Lakini wahuni na wapiga dili lazima muumie maana mianya imeziba
🤔🤔🤔🤔
 
Kabla ya kwenda moja kwa moja napenda kuweka wazi kuwa mimi ni mtu ambaye sipendi kuona watu wakionewa na hasa kunyimwa haki zao za msingi.

Kumekuwepo na dhana potofu hapa Tanzania kuwa kila mtu anayeikosoa Serikali ya sasa ya awamu ya tano lazima akutane na mkono wa chuma.Dhana ambayo imekuwa ikiwafanya watu wengi wadhanie kuwa kuna ubabe na uvunjifu wa haki za raia hapa BongoTz.

Na mbaya zaidi ni hii ya kuaminisha watu kuwa kila anayeikosoa serikali basi lazima abambikiwe kesi ya uhujumu uchumi ili baadae pesa zimtoke ili akomolewe.

Lakini hivi majuzi baada ya Tito Magoti na mwenzake kukiri kosa ukweli wa mambo umejulikana,na ni wazi kuwa sio wote wanabambikiwa kesi,maana hili la kubambikiana kesi nalo lina siri kubwa.

Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi,Tito Magoti na mwenzake waliunda genge la uhalifu ili waweze kueneza proganda za uongo kuwa serikali ya Tanzania inagandamiza haki za binadamu. Na wamekiri kuwa kulikuwa na mtandao unaojiita Tanzania on Twitter ambao ndio uliratibu kuundwa kwa hili genge. Ni genge ambalo linaonekana kujidhatiti ili kuchafua sifa ya nchi yetu.

Tito na mwenzake walipewa namba za simu zilizosajiliwa Holland na walishirikiana na watanzania wanaoishi nje kufanya uhalifu huo,huku wakiahidiwa kujipatia kipato kikubwa tu. Hii ilikuwa ni pamoja na kumiliki programu za komputa ili kufanikisha uhalifu wao.

Wamekiri makosa na kisha kulipa mil 17354535. Na hii inatupa ukweli kuwa sio kila anayeikosoa serikali anakosoa kwa nia njema. Na sio kila anayekosoa anabambikiwa kesi za uhujumu uchumi.

Kwa muktadha huu huenda hata genge la akina Eric na wenzake pia kuna mambo makubwa yaliyojificha nyuma ya pazia,lakini watu kwa kuangalia shilingi upande mmoja waliituhumu serikali kumbambikia kesi.

Maoni; Tujihadhali na wanasiasa kama Zitto ni watu wabaya sana ambao hutumia watu kwa manufaa yao kisiasa, huku wao wakila bata na kunufaika na kuwaacha vijana wenye tamaa wakitiwa nyavuni.
Nakubaliana na wewe hapa. Kama mtu hujatenda kwa nini ukubali kununua uhuru wako kwa kukubali kosa ambalo hukulifanya. Mimi nina mashaka sana na hizi plea bargaining, kwa upande flani zinakuwa za kweli na sio kununua uhuru tu kama tunavyojaribu kuaminishwa. Mbona kina Mandela walovumilia tena enzi ambazo hata upashanaji wa taarifa ulikuwa hafifu. Tukiachana na hayo ya kuichafua serikali, mbona kina mzee Rugemalila hadi leo wamekomaa na naamini ipo siku watatoka tu. Mie toka Kabendera akubali makosa eti kwamba ananunua uhuru wake, nimekuwa na mashaka makubwa ya hawa wanaosema wamebambikiwa kesi. Akili za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Acha upuuzi,wamekiri kosa na wamekiri kuunda hili genge na kumiliki namba za simu za nje. Kuna mtu aliwalazimisha kukiri?
Hata Kama huna akili hata za kuokoteza,unashindwa kuelewa kuwa siku zote walizokaa Getezani upande wa mashitaka wameshindwa kukamilisha upelelezi.


Erick Kabendera upelelezi wa shauri laki ulikamilika?
Rugemalila na Sethi leo ni miaka mingapi wako Jera,je upelelezi wa shauri lao umekamilika?
Tumua hata akili za kuzaliwa kutofautisha Mambo ya msingi.

Siyo lazima upost au uchangie ,unaweza kukaa kimya na kusoma maoni ya watu wenye akili timamu na ukajifunza kitu.
 
Tumia akili japo kidogo,unadhani kwao ipi ilikuwa chaguo sahihi
1) Kuozea gerezani Kama Masheikh wa uamsho bila upelelezi kukamilika au
2) Kukubali kosa la kubambikiwa kisha kulipa faini ya kujenga Daraja la Busisi na kutoka nje?
Bado unarudia kuwa ni kosa la kubambikiwa?
 
Nakubaliana na wewe hapa. Kama mtu hujatenda kwa nini ukubali kununua uhuru wako kwa kukubali kosa ambalo hukulifanya. Mimi nina mashaka sana na hizi plea bargaining, kwa upande flani zinakuwa za kweli na sio kununua uhuru tu kama tunavyojaribu kuaminishwa. Mbona kina Mandela walovumilia tena enzi ambazo hata upashanaji wa taarifa ulikuwa hafifu. Tukiachana na hayo ya kuichafua serikali, mbona kina mzee Rugemalila hadi leo wamekomaa na naamini ipo siku watatoka tu. Mie toka Kabendera akubali makosa eti kwamba ananunua uhuru wake, nimekuwa na mashaka makubwa ya hawa wanaosema wamebambikiwa kesi. Akili za kuambiwa changanya na za kwako.
Tumia akili uliyo nayo iwe msaada kwa jamii au familia yako?

Kesi ya kina Rugemalila upelelezi umesha kamilika?
Je Kama mashitaka waliyonayo ni ya kweli,kitu gani kinafanya upande wa mashitaka ushindwe kukamilisha upelelezi kwa miaka yote?
Je huoni Kama wangekuwa namekiri makosa yao,pesaa zao zingekuwa zimepolwa kupitia DPP? na wangekuwa wameachiwa kutoka Jera?
 
Tumia akili uliyo nayo iwe msaada kwa jamii au familia yako?

Kesi ya kina Rugemalila upelelezi umesha kamilika?
Je Kama mashitaka waliyonayo ni ya kweli,kitu gani kinafanya upande wa mashitaka ushindwe kukamilisha upelelezi kwa miaka yote?
Je huoni Kama wangekuwa namekiri makosa yao,pesaa zao zingekuwa zimepolwa kupitia DPP? na wangekuwa wameachiwa kutoka Jera?
Kwa hiyo wewe unaamini inatumia akili kuliko wengine? Acha dharau, hatuwezi kuwaza sawasawa wakati wote, na usijione kuwa upo sahihi kwa unayoyasema. Hoja yangu hapa ni kwamba watu watakuwa wanafanya makosa kweli halafu wanajificha kwenye plea bargaining kwamba wamelazimika kununua uhuru wao. Hivi unajua uzito wa kukubali kosa la kuendesha genge la kihuni, na madhara ya kutiwa hatiani kwenye kesi ya jinai. Unaweza kudhani kuwa dunia inaamini kuwa unaonea, lakini hiyo inakwenda kwenye kumbukumbu zako kuwa uliwahi kutiwa hatiani bila kujali kama ulinunua uhuru wako au hapana. Innocence always gives courage, haijalishi unapitia katika madhila gani. Kabla hatupiga kelele kwamba flani kanunua uhuru wake, tuwe tunajiuliza mara mbili kwanza. Plea bargaining limekuwa chaka la pande zote mbili. Kuna wengine na wakosaji kabisa, lakini wanafurahi wakipewa kesi ya uhujumu uchumi kwa sababu wanajua watapitia hapo kuukwepa mkono wa sheria. Sio kila kosa la jinai mtu anaweza kuplea bargain. Ila likiwemo la kuplea bargain kuna watu wanatumia mwanya huo kujifanya wamenunua uhuru, tuwe makini.

Tito Magoti na mwenzake hawajamaliza muda mrefu kiasi hicho kama ambavyo unataka kutuaminisha. Mashekh wa uamsho nao unawazungumziaje?

Tazama mambo kwa macho mawili, hatuhukumu mtu hapa, lakini kuna walakini mkubwa hapa.
 
Kwani ulikuwa umekamilika? Hujui kuwa ni Murder case na uhujumi uchumi ndio hujuchukia muda mrefu?
Upelelezi wa hizo kesi sio sifa kuchukua muda mrefu mpaka ukamilike, hilo linasababishwa na uzembe wa waendesha mashtaka wa serikali, una mdororo mkubwa wa akili.
 
Upelelezi wa hizo kesi sio sifa kuchukua muda mrefu mpaka ukamilike, hilo linasababishwa na uzembe wa waendesha mashtaka wa serikali, una mdororo mkubwa wa akili.
Kabla ya kwenda moja kwa moja napenda kuweka wazi kuwa mimi ni mtu ambaye sipendi kuona watu wakionewa na hasa kunyimwa haki zao za msingi.

Kumekuwepo na dhana potofu hapa Tanzania kuwa kila mtu anayeikosoa Serikali ya sasa ya awamu ya tano lazima akutane na mkono wa chuma.Dhana ambayo imekuwa ikiwafanya watu wengi wadhanie kuwa kuna ubabe na uvunjifu wa haki za raia hapa BongoTz.

Na mbaya zaidi ni hii ya kuaminisha watu kuwa kila anayeikosoa serikali basi lazima abambikiwe kesi ya uhujumu uchumi ili baadae pesa zimtoke ili akomolewe.

Lakini hivi majuzi baada ya Tito Magoti na mwenzake kukiri kosa ukweli wa mambo umejulikana,na ni wazi kuwa sio wote wanabambikiwa kesi,maana hili la kubambikiana kesi nalo lina siri kubwa.

Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi,Tito Magoti na mwenzake waliunda genge la uhalifu ili waweze kueneza proganda za uongo kuwa serikali ya Tanzania inagandamiza haki za binadamu. Na wamekiri kuwa kulikuwa na mtandao unaojiita Tanzania on Twitter ambao ndio uliratibu kuundwa kwa hili genge. Ni genge ambalo linaonekana kujidhatiti ili kuchafua sifa ya nchi yetu.

Tito na mwenzake walipewa namba za simu zilizosajiliwa Holland na walishirikiana na watanzania wanaoishi nje kufanya uhalifu huo,huku wakiahidiwa kujipatia kipato kikubwa tu. Hii ilikuwa ni pamoja na kumiliki programu za komputa ili kufanikisha uhalifu wao.

Wamekiri makosa na kisha kulipa mil 17354535. Na hii inatupa ukweli kuwa sio kila anayeikosoa serikali anakosoa kwa nia njema. Na sio kila anayekosoa anabambikiwa kesi za uhujumu uchumi.

Kwa muktadha huu huenda hata genge la akina Eric na wenzake pia kuna mambo makubwa yaliyojificha nyuma ya pazia,lakini watu kwa kuangalia shilingi upande mmoja waliituhumu serikali kumbambikia kesi.

Maoni; Tujihadhali na wanasiasa kama Zitto ni watu wabaya sana ambao hutumia watu kwa manufaa yao kisiasa, huku wao wakila bata na kunufaika na kuwaacha vijana wenye tamaa wakitiwa nyavuni.
tindo hii ishu imekufanya uwe baridi
 
Acha upuuzi,wamekiri kosa na wamekiri kuunda hili genge na kumiliki namba za simu za nje. Kuna mtu aliwalazimisha kukiri?
Kaka sijui Dada endelea tu kuandika unacho jisikia hapa, siku ukipata bahati ya kufahamu nini kinaendelea kule gerezani na pale ofisi ya DPP ndiyo utakuja kujua kwa nini upelelezi huwa haufiki mwisho na watu huamua kukubali yaishe ili kununua uhuru wao.
 
Kabla ya kwenda moja kwa moja napenda kuweka wazi kuwa mimi ni mtu ambaye sipendi kuona watu wakionewa na hasa kunyimwa haki zao za msingi.

Kumekuwepo na dhana potofu hapa Tanzania kuwa kila mtu anayeikosoa Serikali ya sasa ya awamu ya tano lazima akutane na mkono wa chuma.Dhana ambayo imekuwa ikiwafanya watu wengi wadhanie kuwa kuna ubabe na uvunjifu wa haki za raia hapa BongoTz.

Na mbaya zaidi ni hii ya kuaminisha watu kuwa kila anayeikosoa serikali basi lazima abambikiwe kesi ya uhujumu uchumi ili baadae pesa zimtoke ili akomolewe.

Lakini hivi majuzi baada ya Tito Magoti na mwenzake kukiri kosa ukweli wa mambo umejulikana,na ni wazi kuwa sio wote wanabambikiwa kesi,maana hili la kubambikiana kesi nalo lina siri kubwa.

Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi,Tito Magoti na mwenzake waliunda genge la uhalifu ili waweze kueneza proganda za uongo kuwa serikali ya Tanzania inagandamiza haki za binadamu. Na wamekiri kuwa kulikuwa na mtandao unaojiita Tanzania on Twitter ambao ndio uliratibu kuundwa kwa hili genge. Ni genge ambalo linaonekana kujidhatiti ili kuchafua sifa ya nchi yetu.

Tito na mwenzake walipewa namba za simu zilizosajiliwa Holland na walishirikiana na watanzania wanaoishi nje kufanya uhalifu huo,huku wakiahidiwa kujipatia kipato kikubwa tu. Hii ilikuwa ni pamoja na kumiliki programu za komputa ili kufanikisha uhalifu wao.

Wamekiri makosa na kisha kulipa mil 17354535. Na hii inatupa ukweli kuwa sio kila anayeikosoa serikali anakosoa kwa nia njema. Na sio kila anayekosoa anabambikiwa kesi za uhujumu uchumi.

Kwa muktadha huu huenda hata genge la akina Eric na wenzake pia kuna mambo makubwa yaliyojificha nyuma ya pazia,lakini watu kwa kuangalia shilingi upande mmoja waliituhumu serikali kumbambikia kesi.

Maoni; Tujihadhali na wanasiasa kama Zitto ni watu wabaya sana ambao hutumia watu kwa manufaa yao kisiasa, huku wao wakila bata na kunufaika na kuwaacha vijana wenye tamaa wakitiwa nyavuni.
We kweli ni mjinga wa mwisho. Unaandika kama mtanzania unayeishi nchi za Scandinavia, kumbe upo hapa hapa nchini. Shikirisha akili zako bhana
 
Nimeipuuza mada yako, naona unanilazimisha kunilisha ujinga. Niko above hiki unachokiamiani na kukitetea.
Hata siku moja ukweli na uongo haukai pamoja. Hii kesi jinsi ilivyowekwa hadharani ni wazi kuwa huwa mnaongea uongo wa kukaririshwa tu.
 
Kabla ya kwenda moja kwa moja napenda kuweka wazi kuwa mimi ni mtu ambaye sipendi kuona watu wakionewa na hasa kunyimwa haki zao za msingi.

Kumekuwepo na dhana potofu hapa Tanzania kuwa kila mtu anayeikosoa Serikali ya sasa ya awamu ya tano lazima akutane na mkono wa chuma.Dhana ambayo imekuwa ikiwafanya watu wengi wadhanie kuwa kuna ubabe na uvunjifu wa haki za raia hapa BongoTz.

Na mbaya zaidi ni hii ya kuaminisha watu kuwa kila anayeikosoa serikali basi lazima abambikiwe kesi ya uhujumu uchumi ili baadae pesa zimtoke ili akomolewe.

Lakini hivi majuzi baada ya Tito Magoti na mwenzake kukiri kosa ukweli wa mambo umejulikana,na ni wazi kuwa sio wote wanabambikiwa kesi,maana hili la kubambikiana kesi nalo lina siri kubwa.

Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi,Tito Magoti na mwenzake waliunda genge la uhalifu ili waweze kueneza proganda za uongo kuwa serikali ya Tanzania inagandamiza haki za binadamu. Na wamekiri kuwa kulikuwa na mtandao unaojiita Tanzania on Twitter ambao ndio uliratibu kuundwa kwa hili genge. Ni genge ambalo linaonekana kujidhatiti ili kuchafua sifa ya nchi yetu.

Tito na mwenzake walipewa namba za simu zilizosajiliwa Holland na walishirikiana na watanzania wanaoishi nje kufanya uhalifu huo,huku wakiahidiwa kujipatia kipato kikubwa tu. Hii ilikuwa ni pamoja na kumiliki programu za komputa ili kufanikisha uhalifu wao.

Wamekiri makosa na kisha kulipa mil 17354535. Na hii inatupa ukweli kuwa sio kila anayeikosoa serikali anakosoa kwa nia njema. Na sio kila anayekosoa anabambikiwa kesi za uhujumu uchumi.

Kwa muktadha huu huenda hata genge la akina Eric na wenzake pia kuna mambo makubwa yaliyojificha nyuma ya pazia,lakini watu kwa kuangalia shilingi upande mmoja waliituhumu serikali kumbambikia kesi.

Maoni; Tujihadhali na wanasiasa kama Zitto ni watu wabaya sana ambao hutumia watu kwa manufaa yao kisiasa, huku wao wakila bata na kunufaika na kuwaacha vijana wenye tamaa wakitiwa nyavuni.
Umesahau kuandik namba ya simu
 
Wanapewa kesi za uhujumu uchumi sababu hazina Dhamana na pia ushahidi huwa haukamiliki ni Hadi utoe pesa ununue uhuru wako ndipo ushahidi utakamilika,kukubali kosa hakumaanishi kwamba umetenda kosa ni kuepuka kukaa ndani miaka watakayotaka wao, lengo kuu la kesi za uhujumu uchumi ni kukukomoa,thus pana dabo standard kwa hili ukiwa na chapa hizo kesi hazikuhusu hata utende the same case study makonda,chenge,kange,musiba,heri,nk.
Pana jamaa yangu KILA kitu documents zote zilikuwa safi na zote zimelipiwa na hakuna ushahidi wa kumtia mashakani shida ni kukaa ndani ujui lini utatoka baada ya kukaa ndani mwaka akapima kipi bora aendelee kukaa ndani miaka Ili apate haki yake au akiri kosa alipe faini, Ili aokoe familia akaona familia ni bora kuliko Kazi na kukaa ndani ujui mwaka gani utatoka.
Mwaka wa pili sasa na Mungu kamjalia anapambana na biashara zinamuendea vizuri kuliko hata Kazi na familia inaenda vizuri.Kuliko kukaa ndani huku familia ikikosa muongozo na kusambaratika kabisa unatoka watoto washakuwa machokora,mke alishaolewa unaanza upya.
Hii ni sheria kandamizi kabisa na yenye dabo standard,sijui huwa wanajisikiaje kushiriki ibadani Hali wao ni wa motoni umuongopeana nani sasa.
 
Back
Top Bottom