Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hata siku moja ukweli na uongo haukai pamoja. Hii kesi jinsi ilivyowekwa hadharani ni wazi kuwa huwa mnaongea uongo wa kukaririshwa tu.
Level yako ya uelewa wa mambo naifahamu, na level hii ya kwako kwa awamu hii ndio inatakiwa.