Hoja dhaifuMleta mada jifunze kufikiri kwa kutumia akili zako, sio unafikiri kwa akili za kukopeshwa na Mataga. Hivi wewe uelewe kitu kilichotokea?
Hivi katika zama hizi za Mafuguli unaweza kushtakiwa na jamhuri kwa kesi za kutengenezwa na utawala wake halafu ukashinda kesi?
Huyo jaji au hakimu anajipenda kweli?
Na wewe mshtakiwa unajipenda kweli?
Tumia akili japo kidogo,unadhani kwao ipi ilikuwa chaguo sahihiAcha upuuzi,wamekiri kosa na wamekiri kuunda hili genge na kumiliki namba za simu za nje. Kuna mtu aliwalazimisha kukiri?
Sema wamekubali kuchangia makusanyo,na sii kweli unapenda haki,vinginevyo tuthibitishie uyasemayo.Kabla ya kwenda moja kwa moja napenda kuweka wazi kuwa mimi ni mtu ambaye sipendi kuona watu wakionewa na hasa kunyimwa haki zao za msingi.
Kumekuwepo na dhana potofu hapa Tanzania kuwa kila mtu anayeikosoa Serikali ya sasa ya awamu ya tano lazima akutane na mkono wa chuma.Dhana ambayo imekuwa ikiwafanya watu wengi wadhanie kuwa kuna ubabe na uvunjifu wa haki za raia hapa BongoTz.
Na mbaya zaidi ni hii ya kuaminisha watu kuwa kila anayeikosoa serikali basi lazima abambikiwe kesi ya uhujumu uchumi ili baadae pesa zimtoke ili akomolewe.
Lakini hivi majuzi baada ya Tito Magoti na mwenzake kukiri kosa ukweli wa mambo umejulikana,na ni wazi kuwa sio wote wanabambikiwa kesi,maana hili la kubambikiana kesi nalo lina siri kubwa.
Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi,Tito Magoti na mwenzake waliunda genge la uhalifu ili waweze kueneza proganda za uongo kuwa serikali ya Tanzania inagandamiza haki za binadamu. Na wamekiri kuwa kulikuwa na mtandao unaojiita Tanzania on Twitter ambao ndio uliratibu kuundwa kwa hili genge. Ni genge ambalo linaonekana kujidhatiti ili kuchafua sifa ya nchi yetu.
Tito na mwenzake walipewa namba za simu zilizosajiliwa Holland na walishirikiana na watanzania wanaoishi nje kufanya uhalifu huo,huku wakiahidiwa kujipatia kipato kikubwa tu. Hii ilikuwa ni pamoja na kumiliki programu za komputa ili kufanikisha uhalifu wao.
Wamekiri makosa na kisha kulipa mil 17354535. Na hii inatupa ukweli kuwa sio kila anayeikosoa serikali anakosoa kwa nia njema. Na sio kila anayekosoa anabambikiwa kesi za uhujumu uchumi.
Kwa muktadha huu huenda hata genge la akina Eric na wenzake pia kuna mambo makubwa yaliyojificha nyuma ya pazia,lakini watu kwa kuangalia shilingi upande mmoja waliituhumu serikali kumbambikia kesi.
Maoni; Tujihadhali na wanasiasa kama Zitto ni watu wabaya sana ambao hutumia watu kwa manufaa yao kisiasa, huku wao wakila bata na kunufaika na kuwaacha vijana wenye tamaa wakitiwa nyavuni.
🤔🤔🤔🤔Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
Utafaidi matunda ya awamu hii ya mtu mzalendo, mpole na ni Rais mwenye huruma na Moyo wa upendo kwa RAIA wake
Lakini wahuni na wapiga dili lazima muumie maana mianya imeziba
Nakubaliana na wewe hapa. Kama mtu hujatenda kwa nini ukubali kununua uhuru wako kwa kukubali kosa ambalo hukulifanya. Mimi nina mashaka sana na hizi plea bargaining, kwa upande flani zinakuwa za kweli na sio kununua uhuru tu kama tunavyojaribu kuaminishwa. Mbona kina Mandela walovumilia tena enzi ambazo hata upashanaji wa taarifa ulikuwa hafifu. Tukiachana na hayo ya kuichafua serikali, mbona kina mzee Rugemalila hadi leo wamekomaa na naamini ipo siku watatoka tu. Mie toka Kabendera akubali makosa eti kwamba ananunua uhuru wake, nimekuwa na mashaka makubwa ya hawa wanaosema wamebambikiwa kesi. Akili za kuambiwa changanya na za kwako.Kabla ya kwenda moja kwa moja napenda kuweka wazi kuwa mimi ni mtu ambaye sipendi kuona watu wakionewa na hasa kunyimwa haki zao za msingi.
Kumekuwepo na dhana potofu hapa Tanzania kuwa kila mtu anayeikosoa Serikali ya sasa ya awamu ya tano lazima akutane na mkono wa chuma.Dhana ambayo imekuwa ikiwafanya watu wengi wadhanie kuwa kuna ubabe na uvunjifu wa haki za raia hapa BongoTz.
Na mbaya zaidi ni hii ya kuaminisha watu kuwa kila anayeikosoa serikali basi lazima abambikiwe kesi ya uhujumu uchumi ili baadae pesa zimtoke ili akomolewe.
Lakini hivi majuzi baada ya Tito Magoti na mwenzake kukiri kosa ukweli wa mambo umejulikana,na ni wazi kuwa sio wote wanabambikiwa kesi,maana hili la kubambikiana kesi nalo lina siri kubwa.
Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi,Tito Magoti na mwenzake waliunda genge la uhalifu ili waweze kueneza proganda za uongo kuwa serikali ya Tanzania inagandamiza haki za binadamu. Na wamekiri kuwa kulikuwa na mtandao unaojiita Tanzania on Twitter ambao ndio uliratibu kuundwa kwa hili genge. Ni genge ambalo linaonekana kujidhatiti ili kuchafua sifa ya nchi yetu.
Tito na mwenzake walipewa namba za simu zilizosajiliwa Holland na walishirikiana na watanzania wanaoishi nje kufanya uhalifu huo,huku wakiahidiwa kujipatia kipato kikubwa tu. Hii ilikuwa ni pamoja na kumiliki programu za komputa ili kufanikisha uhalifu wao.
Wamekiri makosa na kisha kulipa mil 17354535. Na hii inatupa ukweli kuwa sio kila anayeikosoa serikali anakosoa kwa nia njema. Na sio kila anayekosoa anabambikiwa kesi za uhujumu uchumi.
Kwa muktadha huu huenda hata genge la akina Eric na wenzake pia kuna mambo makubwa yaliyojificha nyuma ya pazia,lakini watu kwa kuangalia shilingi upande mmoja waliituhumu serikali kumbambikia kesi.
Maoni; Tujihadhali na wanasiasa kama Zitto ni watu wabaya sana ambao hutumia watu kwa manufaa yao kisiasa, huku wao wakila bata na kunufaika na kuwaacha vijana wenye tamaa wakitiwa nyavuni.
Hata Kama huna akili hata za kuokoteza,unashindwa kuelewa kuwa siku zote walizokaa Getezani upande wa mashitaka wameshindwa kukamilisha upelelezi.Acha upuuzi,wamekiri kosa na wamekiri kuunda hili genge na kumiliki namba za simu za nje. Kuna mtu aliwalazimisha kukiri?
Bado unarudia kuwa ni kosa la kubambikiwa?Tumia akili japo kidogo,unadhani kwao ipi ilikuwa chaguo sahihi
1) Kuozea gerezani Kama Masheikh wa uamsho bila upelelezi kukamilika au
2) Kukubali kosa la kubambikiwa kisha kulipa faini ya kujenga Daraja la Busisi na kutoka nje?
Tumia akili uliyo nayo iwe msaada kwa jamii au familia yako?Nakubaliana na wewe hapa. Kama mtu hujatenda kwa nini ukubali kununua uhuru wako kwa kukubali kosa ambalo hukulifanya. Mimi nina mashaka sana na hizi plea bargaining, kwa upande flani zinakuwa za kweli na sio kununua uhuru tu kama tunavyojaribu kuaminishwa. Mbona kina Mandela walovumilia tena enzi ambazo hata upashanaji wa taarifa ulikuwa hafifu. Tukiachana na hayo ya kuichafua serikali, mbona kina mzee Rugemalila hadi leo wamekomaa na naamini ipo siku watatoka tu. Mie toka Kabendera akubali makosa eti kwamba ananunua uhuru wake, nimekuwa na mashaka makubwa ya hawa wanaosema wamebambikiwa kesi. Akili za kuambiwa changanya na za kwako.
Kwa hiyo wewe unaamini inatumia akili kuliko wengine? Acha dharau, hatuwezi kuwaza sawasawa wakati wote, na usijione kuwa upo sahihi kwa unayoyasema. Hoja yangu hapa ni kwamba watu watakuwa wanafanya makosa kweli halafu wanajificha kwenye plea bargaining kwamba wamelazimika kununua uhuru wao. Hivi unajua uzito wa kukubali kosa la kuendesha genge la kihuni, na madhara ya kutiwa hatiani kwenye kesi ya jinai. Unaweza kudhani kuwa dunia inaamini kuwa unaonea, lakini hiyo inakwenda kwenye kumbukumbu zako kuwa uliwahi kutiwa hatiani bila kujali kama ulinunua uhuru wako au hapana. Innocence always gives courage, haijalishi unapitia katika madhila gani. Kabla hatupiga kelele kwamba flani kanunua uhuru wake, tuwe tunajiuliza mara mbili kwanza. Plea bargaining limekuwa chaka la pande zote mbili. Kuna wengine na wakosaji kabisa, lakini wanafurahi wakipewa kesi ya uhujumu uchumi kwa sababu wanajua watapitia hapo kuukwepa mkono wa sheria. Sio kila kosa la jinai mtu anaweza kuplea bargain. Ila likiwemo la kuplea bargain kuna watu wanatumia mwanya huo kujifanya wamenunua uhuru, tuwe makini.Tumia akili uliyo nayo iwe msaada kwa jamii au familia yako?
Kesi ya kina Rugemalila upelelezi umesha kamilika?
Je Kama mashitaka waliyonayo ni ya kweli,kitu gani kinafanya upande wa mashitaka ushindwe kukamilisha upelelezi kwa miaka yote?
Je huoni Kama wangekuwa namekiri makosa yao,pesaa zao zingekuwa zimepolwa kupitia DPP? na wangekuwa wameachiwa kutoka Jera?
Upelelezi wa hizo kesi sio sifa kuchukua muda mrefu mpaka ukamilike, hilo linasababishwa na uzembe wa waendesha mashtaka wa serikali, una mdororo mkubwa wa akili.Kwani ulikuwa umekamilika? Hujui kuwa ni Murder case na uhujumi uchumi ndio hujuchukia muda mrefu?
Upelelezi wa hizo kesi sio sifa kuchukua muda mrefu mpaka ukamilike, hilo linasababishwa na uzembe wa waendesha mashtaka wa serikali, una mdororo mkubwa wa akili.
tindo hii ishu imekufanya uwe baridiKabla ya kwenda moja kwa moja napenda kuweka wazi kuwa mimi ni mtu ambaye sipendi kuona watu wakionewa na hasa kunyimwa haki zao za msingi.
Kumekuwepo na dhana potofu hapa Tanzania kuwa kila mtu anayeikosoa Serikali ya sasa ya awamu ya tano lazima akutane na mkono wa chuma.Dhana ambayo imekuwa ikiwafanya watu wengi wadhanie kuwa kuna ubabe na uvunjifu wa haki za raia hapa BongoTz.
Na mbaya zaidi ni hii ya kuaminisha watu kuwa kila anayeikosoa serikali basi lazima abambikiwe kesi ya uhujumu uchumi ili baadae pesa zimtoke ili akomolewe.
Lakini hivi majuzi baada ya Tito Magoti na mwenzake kukiri kosa ukweli wa mambo umejulikana,na ni wazi kuwa sio wote wanabambikiwa kesi,maana hili la kubambikiana kesi nalo lina siri kubwa.
Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi,Tito Magoti na mwenzake waliunda genge la uhalifu ili waweze kueneza proganda za uongo kuwa serikali ya Tanzania inagandamiza haki za binadamu. Na wamekiri kuwa kulikuwa na mtandao unaojiita Tanzania on Twitter ambao ndio uliratibu kuundwa kwa hili genge. Ni genge ambalo linaonekana kujidhatiti ili kuchafua sifa ya nchi yetu.
Tito na mwenzake walipewa namba za simu zilizosajiliwa Holland na walishirikiana na watanzania wanaoishi nje kufanya uhalifu huo,huku wakiahidiwa kujipatia kipato kikubwa tu. Hii ilikuwa ni pamoja na kumiliki programu za komputa ili kufanikisha uhalifu wao.
Wamekiri makosa na kisha kulipa mil 17354535. Na hii inatupa ukweli kuwa sio kila anayeikosoa serikali anakosoa kwa nia njema. Na sio kila anayekosoa anabambikiwa kesi za uhujumu uchumi.
Kwa muktadha huu huenda hata genge la akina Eric na wenzake pia kuna mambo makubwa yaliyojificha nyuma ya pazia,lakini watu kwa kuangalia shilingi upande mmoja waliituhumu serikali kumbambikia kesi.
Maoni; Tujihadhali na wanasiasa kama Zitto ni watu wabaya sana ambao hutumia watu kwa manufaa yao kisiasa, huku wao wakila bata na kunufaika na kuwaacha vijana wenye tamaa wakitiwa nyavuni.
Ukweli mchungu🤔🤔🤔🤔
Kaka sijui Dada endelea tu kuandika unacho jisikia hapa, siku ukipata bahati ya kufahamu nini kinaendelea kule gerezani na pale ofisi ya DPP ndiyo utakuja kujua kwa nini upelelezi huwa haufiki mwisho na watu huamua kukubali yaishe ili kununua uhuru wao.Acha upuuzi,wamekiri kosa na wamekiri kuunda hili genge na kumiliki namba za simu za nje. Kuna mtu aliwalazimisha kukiri?
Nimecheka mbavu sina,naenda kulala.Nimeipuuza mada yako, naona unanilazimisha kunilisha ujinga. Niko above hiki unachokiamiani na kukitetea.
We kweli ni mjinga wa mwisho. Unaandika kama mtanzania unayeishi nchi za Scandinavia, kumbe upo hapa hapa nchini. Shikirisha akili zako bhanaKabla ya kwenda moja kwa moja napenda kuweka wazi kuwa mimi ni mtu ambaye sipendi kuona watu wakionewa na hasa kunyimwa haki zao za msingi.
Kumekuwepo na dhana potofu hapa Tanzania kuwa kila mtu anayeikosoa Serikali ya sasa ya awamu ya tano lazima akutane na mkono wa chuma.Dhana ambayo imekuwa ikiwafanya watu wengi wadhanie kuwa kuna ubabe na uvunjifu wa haki za raia hapa BongoTz.
Na mbaya zaidi ni hii ya kuaminisha watu kuwa kila anayeikosoa serikali basi lazima abambikiwe kesi ya uhujumu uchumi ili baadae pesa zimtoke ili akomolewe.
Lakini hivi majuzi baada ya Tito Magoti na mwenzake kukiri kosa ukweli wa mambo umejulikana,na ni wazi kuwa sio wote wanabambikiwa kesi,maana hili la kubambikiana kesi nalo lina siri kubwa.
Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi,Tito Magoti na mwenzake waliunda genge la uhalifu ili waweze kueneza proganda za uongo kuwa serikali ya Tanzania inagandamiza haki za binadamu. Na wamekiri kuwa kulikuwa na mtandao unaojiita Tanzania on Twitter ambao ndio uliratibu kuundwa kwa hili genge. Ni genge ambalo linaonekana kujidhatiti ili kuchafua sifa ya nchi yetu.
Tito na mwenzake walipewa namba za simu zilizosajiliwa Holland na walishirikiana na watanzania wanaoishi nje kufanya uhalifu huo,huku wakiahidiwa kujipatia kipato kikubwa tu. Hii ilikuwa ni pamoja na kumiliki programu za komputa ili kufanikisha uhalifu wao.
Wamekiri makosa na kisha kulipa mil 17354535. Na hii inatupa ukweli kuwa sio kila anayeikosoa serikali anakosoa kwa nia njema. Na sio kila anayekosoa anabambikiwa kesi za uhujumu uchumi.
Kwa muktadha huu huenda hata genge la akina Eric na wenzake pia kuna mambo makubwa yaliyojificha nyuma ya pazia,lakini watu kwa kuangalia shilingi upande mmoja waliituhumu serikali kumbambikia kesi.
Maoni; Tujihadhali na wanasiasa kama Zitto ni watu wabaya sana ambao hutumia watu kwa manufaa yao kisiasa, huku wao wakila bata na kunufaika na kuwaacha vijana wenye tamaa wakitiwa nyavuni.
Hata siku moja ukweli na uongo haukai pamoja. Hii kesi jinsi ilivyowekwa hadharani ni wazi kuwa huwa mnaongea uongo wa kukaririshwa tu.Nimeipuuza mada yako, naona unanilazimisha kunilisha ujinga. Niko above hiki unachokiamiani na kukitetea.
Umesahau kuandik namba ya simuKabla ya kwenda moja kwa moja napenda kuweka wazi kuwa mimi ni mtu ambaye sipendi kuona watu wakionewa na hasa kunyimwa haki zao za msingi.
Kumekuwepo na dhana potofu hapa Tanzania kuwa kila mtu anayeikosoa Serikali ya sasa ya awamu ya tano lazima akutane na mkono wa chuma.Dhana ambayo imekuwa ikiwafanya watu wengi wadhanie kuwa kuna ubabe na uvunjifu wa haki za raia hapa BongoTz.
Na mbaya zaidi ni hii ya kuaminisha watu kuwa kila anayeikosoa serikali basi lazima abambikiwe kesi ya uhujumu uchumi ili baadae pesa zimtoke ili akomolewe.
Lakini hivi majuzi baada ya Tito Magoti na mwenzake kukiri kosa ukweli wa mambo umejulikana,na ni wazi kuwa sio wote wanabambikiwa kesi,maana hili la kubambikiana kesi nalo lina siri kubwa.
Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi,Tito Magoti na mwenzake waliunda genge la uhalifu ili waweze kueneza proganda za uongo kuwa serikali ya Tanzania inagandamiza haki za binadamu. Na wamekiri kuwa kulikuwa na mtandao unaojiita Tanzania on Twitter ambao ndio uliratibu kuundwa kwa hili genge. Ni genge ambalo linaonekana kujidhatiti ili kuchafua sifa ya nchi yetu.
Tito na mwenzake walipewa namba za simu zilizosajiliwa Holland na walishirikiana na watanzania wanaoishi nje kufanya uhalifu huo,huku wakiahidiwa kujipatia kipato kikubwa tu. Hii ilikuwa ni pamoja na kumiliki programu za komputa ili kufanikisha uhalifu wao.
Wamekiri makosa na kisha kulipa mil 17354535. Na hii inatupa ukweli kuwa sio kila anayeikosoa serikali anakosoa kwa nia njema. Na sio kila anayekosoa anabambikiwa kesi za uhujumu uchumi.
Kwa muktadha huu huenda hata genge la akina Eric na wenzake pia kuna mambo makubwa yaliyojificha nyuma ya pazia,lakini watu kwa kuangalia shilingi upande mmoja waliituhumu serikali kumbambikia kesi.
Maoni; Tujihadhali na wanasiasa kama Zitto ni watu wabaya sana ambao hutumia watu kwa manufaa yao kisiasa, huku wao wakila bata na kunufaika na kuwaacha vijana wenye tamaa wakitiwa nyavuni.