Baada ya tukio la kuchoma gari ni muda wa kurudi tena katika chati ya injili

Baada ya tukio la kuchoma gari ni muda wa kurudi tena katika chati ya injili

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,379
Dunia ina mengi sana tunaposema kuna watu wamevaa vilemba vya utumishi wa Mungu, kumbe ni njia ya shetani kuchukua nyota za watu. na asingechoma moto na kutubu, basi tusingemsikia tena yule mwimbaji aliyekamata kila kona ya Tanzania kwa nyimbo za kumtukuza Mungu.

Bila shaka tutakusikia tena kwa ukubwa ule ule kabla huu mwaka haujaisha.

Hongera kwa kusikiliza ushauri wa watumishi wa kweli ya Mungu.
 
Dunia ina mengi sana tunaposema kuna watu wamevaa vilemba vya utumishi wa Mungu, kumbe ni njia ya shetani kuchukua nyota za watu. na asingechoma moto na kutubu, basi tusingemsikia tena yule mwimbaji aliyekamata kila kona ya Tanzania kwa nyimbo za kumtukuza Mungu.

Bila shaka tutakusikia tena kwa ukubwa ule ule kabla huu mwaka haujaisha.

Hongera kwa kusikiliza ushauri wa watumishi wa kweli ya Mungu.
Achana na hao wasanii.

Hiyo.mbinu wamepanga yeye na nabii wake wapate Airtime.
Do not waste your time on them
 
Kutokufanya wewe vizuri katika kazi yako isiwe kisingizio kwa wengine... Jamaa kama hayuko serious katika kazi yake asitegemee miujiza katika mziki wake.
kuna pande mbili duniani
ya Mungu na ya satani au shetani .
kila upande unataka kuharibu upande mwingine.
japokuwa aliyetutaka tuwe huru kuchagua upande ni Mungu.
 
Dunia ina mengi sana tunaposema kuna watu wamevaa vilemba vya utumishi wa Mungu, kumbe ni njia ya shetani kuchukua nyota za watu. na asingechoma moto na kutubu, basi tusingemsikia tena yule mwimbaji aliyekamata kila kona ya Tanzania kwa nyimbo za kumtukuza Mungu.

Bila shaka tutakusikia tena kwa ukubwa ule ule kabla huu mwaka haujaisha.

Hongera kwa kusikiliza ushauri wa watumishi wa kweli ya Mungu.
Anafungwa Huyo katenda jinai
 
Duh
Dunia ina mengi sana tunaposema kuna watu wamevaa vilemba vya utumishi wa Mungu, kumbe ni njia ya shetani kuchukua nyota za watu. na asingechoma moto na kutubu, basi tusingemsikia tena yule mwimbaji aliyekamata kila kona ya Tanzania kwa nyimbo za kumtukuza Mungu.

Bila shaka tutakusikia tena kwa ukubwa ule ule kabla huu mwaka haujaisha.

Hongera kwa kusikiliza ushauri wa watumishi wa kweli ya Mungu.
 
Ampe mtu kitu anachoamini ni cha kishetani?
Yaani ni sawa wewe umpatie yatima mkate wenye sumu ndani
hujaelewa, yaani kama gari halitaki ampe mtu kuliko kulichoma moto. Kulichoma moto ndio ushetani na ushirikina. Mbona mikweche ya smartphone watu hupeana ?
 
Back
Top Bottom