Baada ya tukio la kuchoma gari ni muda wa kurudi tena katika chati ya injili

Baada ya tukio la kuchoma gari ni muda wa kurudi tena katika chati ya injili

hujaelewa, yaani kama gari halitaki ampe mtu kuliko kulichoma moto. Kulichoma moto ndio ushetani na ushirikina. Mbona mikweche ya smartphone watu hupeana ?
Gari yeye anaamini Lina nguvu za Giza
Mtu Gani hapendi gari ndugu
Wewe ukipewa gari lenye ushetani, linaharibu nyota yako, familia utalikubali?
 
hujaelewa, yaani kama gari halitaki ampe mtu kuliko kulichoma moto. Kulichoma moto ndio ushetani na ushirikina. Mbona mikweche ya smartphone watu hupeana

hujaelewa, yaani kama gari halitaki ampe mtu kuliko kulichoma moto. Kulichoma moto ndio ushetani na ushirikina. Mbona mikweche ya smartphone watu hupeana ?
mambo ya kiroho ni magumu sana
 
Gari yeye anaamini Lina nguvu za Giza
Mtu Gani hapendi gari ndugu
Wewe ulipewa gari lenye ushetani, linaharibu nyota yako, familia utalikubali?
kumbe lina ushetani? Nilidhani ni zima halina shida. Hawa waimbaji wa injili wakati mwingine wawe waangalifu imani yao kwa Mungu isinajisiwe na wakora, unapewa gari kumbe unapewa mkosi na balaa
 
kumbe lina ushetani? Nilidhani ni zima halina shida. Hawa waimbaji wa injili wakati mwingine wawe waangalifu imani yao kwa Mungu isinajisiwe na wakora, unapewa gari kumbe unapewa mkosi na balaa
Hakika
Me nimemuelewa sana huyo msanii
Haya magari yanatafutwa na Mungu anakujalia unakuwa nalo
 
Hawa mastaa wa injili humuimba shetani **** ni muovu, wanajisahau sana shetani naye hulipiza kisasi kwa kuwapa vitu vizuri kumbe ndani yake ni mtego wa kuwamaliza. Kuna mmoja aliimba sana akajikuta anatunukiwa tuzo na shetani akapokea. Wasikilizaji wa nyimbo zake wakakwazika wakabondabonda kanda, cd za nyimbo zake na kuzitupa. Hakujali, akatoa albam nyingine ikavuma sana mpaka akajikuta anapata mkataba mnono kwa kampuni kubwa duniani ya muziki, akaanza kuwaambia wasimbane sana kwenye ibada ya kumuabudu Mungu. Haijulikani mkataba uliishaje tukaona amekuwa mwendawazimu na kuishia kuombewa hiyo hali imtoke. Alipona na akatoa albamu nyingine lakini haikupokelewa vema na mashabiki zake kama albam mbili za mwanzo. Amechuja hajui afanyaje ili atoe albam itakayovuma kama albam za mwanzo zilizompa umaarufu
 
Hawa mastaa wa injili humuimba shetani **** ni muovu, wanajisahau sana shetani naye hulipiza kisasi kwa kuwapa vitu vizuri kumbe ndani yake ni mtego wa kuwamaliza. Kuna mmoja aliimba sana akajikuta anatunukiwa tuzo na shetani akapokea. Wasikilizaji wa nyimbo zake wakakwazika wakabondabonda kanda, cd za nyimbo zake na kuzitupa. Hakujali, akatoa albam nyingine ikavuma sana mpaka akajikuta anapata mkataba mnono kwa kampuni kubwa duniani ya muziki, akaanza kuwaambia wasimbane sana kwenye ibada ya kumuabudu Mungu. Haijulikani mkataba uliishaje tukaona amekuwa mwendawazimu na kuishia kuombewa hiyo hali imtoke. Alipona na akatoa albamu nyingine lakini haikupokelewa vema na mashabiki zake kama albam mbili za mwanzo. Amechuja hajui afanyaje ili atoe albam itakayovuma kama albam za mwanzo zilizompa umaarufu
we kila siku unamsema shetani na vibaraka wake, halafu unaishi bila maombi ya nguvu. lazima akunyooshe.
 
tunaposema nyota, tunamaanisha atoae kibali ambaye ni Mungu
na shetani nae hana kibali cha kumpa mtu wake ila ananyonya vya watu wa Mungu, ambao wameacha maombi ambayo ni silaha kuu ya ushindi kwa wapakwa mafuta, iwe ni waimbaji au wahubiri ambao wanajiona wamefika na wanasahau maombi kila siku.
 
Back
Top Bottom