Gari yeye anaamini Lina nguvu za Gizahujaelewa, yaani kama gari halitaki ampe mtu kuliko kulichoma moto. Kulichoma moto ndio ushetani na ushirikina. Mbona mikweche ya smartphone watu hupeana ?
hujaelewa, yaani kama gari halitaki ampe mtu kuliko kulichoma moto. Kulichoma moto ndio ushetani na ushirikina. Mbona mikweche ya smartphone watu hupeana
mambo ya kiroho ni magumu sanahujaelewa, yaani kama gari halitaki ampe mtu kuliko kulichoma moto. Kulichoma moto ndio ushetani na ushirikina. Mbona mikweche ya smartphone watu hupeana ?
kumbe lina ushetani? Nilidhani ni zima halina shida. Hawa waimbaji wa injili wakati mwingine wawe waangalifu imani yao kwa Mungu isinajisiwe na wakora, unapewa gari kumbe unapewa mkosi na balaaGari yeye anaamini Lina nguvu za Giza
Mtu Gani hapendi gari ndugu
Wewe ulipewa gari lenye ushetani, linaharibu nyota yako, familia utalikubali?
Hakikakumbe lina ushetani? Nilidhani ni zima halina shida. Hawa waimbaji wa injili wakati mwingine wawe waangalifu imani yao kwa Mungu isinajisiwe na wakora, unapewa gari kumbe unapewa mkosi na balaa
we kila siku unamsema shetani na vibaraka wake, halafu unaishi bila maombi ya nguvu. lazima akunyooshe.Hawa mastaa wa injili humuimba shetani **** ni muovu, wanajisahau sana shetani naye hulipiza kisasi kwa kuwapa vitu vizuri kumbe ndani yake ni mtego wa kuwamaliza. Kuna mmoja aliimba sana akajikuta anatunukiwa tuzo na shetani akapokea. Wasikilizaji wa nyimbo zake wakakwazika wakabondabonda kanda, cd za nyimbo zake na kuzitupa. Hakujali, akatoa albam nyingine ikavuma sana mpaka akajikuta anapata mkataba mnono kwa kampuni kubwa duniani ya muziki, akaanza kuwaambia wasimbane sana kwenye ibada ya kumuabudu Mungu. Haijulikani mkataba uliishaje tukaona amekuwa mwendawazimu na kuishia kuombewa hiyo hali imtoke. Alipona na akatoa albamu nyingine lakini haikupokelewa vema na mashabiki zake kama albam mbili za mwanzo. Amechuja hajui afanyaje ili atoe albam itakayovuma kama albam za mwanzo zilizompa umaarufu
Asiposhtakiwa nitadharau mamlaka z nchi hiikilichomfanya achome ni mambo ya kiroho na kile ambacho kingekuja kumpata baadae
hizi sheria za nchi watajua wenyewe