ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hawa huwa hawafutilii mambo, kwamba hata press ya jana hajafuatiliaUmeuliza swali la kitoto sana.
Swali la kijinga sanaAtarejea kufanya Mkutano Wake Karatu au ndio katishika? Ikumbukwe kabla na hata baada ya kushambuliwa na risasi, Lissu hajawahi kamatwa na Polisi.
Mara ya mwisho ni Ile aliyokimbilia ubalozini kukwepa Kukamatwa.
Soma=> Tundu Lissu na wenzake waachiwa kwa dhamana
Unaishi Tanzania ya wapi wewe?.Atarejea kufanya Mkutano Wake Karatu au ndio katishika? Ikumbukwe kabla na hata baada ya kushambuliwa na risasi, Lissu hajawahi kamatwa na Polisi.
Mara ya mwisho ni Ile aliyokimbilia ubalozini kukwepa Kukamatwa.
Soma: Tundu Lissu na wenzake waachiwa kwa dhamana
Hata akirudi atakuwa amejifunza motto ya POLISI Tanzania, "Utii Bila Shurti".
Huwezi kushindana na Polisi hata kama una haki namna gani. Tii kwanza unachoambiwa ndiyo uulize. Yeye anafunga barabara kama nani?
Amesema operation 255 katiba mpya na okoa bandari zetu itaendelea Kanda ya kaskazini. Na Karatu ipo Kanda hiyo hivyo watafika kukiwasha.Atarejea kufanya Mkutano Wake Karatu au ndio katishika? Ikumbukwe kabla na hata baada ya kushambuliwa na risasi, Lissu hajawahi kamatwa na Polisi.
Mara ya mwisho ni Ile aliyokimbilia ubalozini kukwepa Kukamatwa.
Soma: Tundu Lissu na wenzake waachiwa kwa dhamana
Kuwa TanPol ni laana.Hata akirudi atakuwa amejifunza motto ya POLISI Tanzania, "Utii Bila Shurti".
Huwezi kushindana na Polisi hata kama una haki namna gani. Tii kwanza unachoambiwa ndiyo uulize. Yeye anafunga barabara kama nani?
Akili za Darasa la tatu B hizi, 😡😡Hata akirudi atakuwa amejifunza motto ya POLISI Tanzania, "Utii Bila Shurti".
Huwezi kushindana na Polisi hata kama una haki namna gani. Tii kwanza unachoambiwa ndiyo uulize. Yeye anafunga barabara kama nani?
kwani karatu ni Afghanistan mkutano lazima ufanyikeAtarejea kufanya Mkutano Wake Karatu au ndio katishika? Ikumbukwe kabla na hata baada ya kushambuliwa na risasi, Lissu hajawahi kamatwa na Polisi.
Mara ya mwisho ni Ile aliyokimbilia ubalozini kukwepa Kukamatwa.
Soma: Tundu Lissu na wenzake waachiwa kwa dhamana
Wanatafuta umaarufu na pia kuwaonyesha wafadhili wao huko Ubelgiji ili wazidi kuwapa fedha zaidiKwa hiyo wanatumika nguvu bila kumtumia akiri?
Darasa la 3? Njoo na hoja tushindane siyo kejeli na matusi.Akili za Darasa la tatu B hizi, 😡😡
Hoja zipi kijana.... Wakati ngorongoro hamtaki tuende...Darasa la 3? Njoo na hoja tushindane siyo kejeli na matusi.
Kosa la Polisi halijibiwi kwa kufunga njia. Two wrongs do not make one right.