Baada ya Tundu Lissu kuachiwa na Polisi; je, atarejea Karatu kuendelea na mkutano wake?

Hoja zipi kijana.... Wakati ngorongoro hamtaki tuende...

Polisi wanamaisha ya shida sana.. ... Lakini mmekaa kutetea wala rushwa kwa nguvu zenu zote. 🥴🥴
Mimi siyo kijana, ni mstaafu. Wewe unataka ukafanye nini Ngorongoro? Ukavute bangi na suruali iko chini ya matako?
 

Ndani ya uzi wako umeambatanisha anachosema Lissu kinachofuata. Ameeleza yote yakiwamo ulichouliza ndugu.
 
Kafuatilie kwanza kwanini Kikwete hampendi Lissu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…