SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Sep 11, 2023 #21 denooJ said: Umeuliza swali la kitoto sana. Click to expand... Hana akili
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Sep 11, 2023 #22 mwananyaso said: Swali la kijinga sana Click to expand... La kisengerema sana
Huihui2 JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 7,021 Reaction score 11,475 Sep 11, 2023 #23 Mdeke_Pileme said: Hoja zipi kijana.... Wakati ngorongoro hamtaki tuende... Polisi wanamaisha ya shida sana.. ... Lakini mmekaa kutetea wala rushwa kwa nguvu zenu zote. 🥴🥴 Click to expand... Mimi siyo kijana, ni mstaafu. Wewe unataka ukafanye nini Ngorongoro? Ukavute bangi na suruali iko chini ya matako?
Mdeke_Pileme said: Hoja zipi kijana.... Wakati ngorongoro hamtaki tuende... Polisi wanamaisha ya shida sana.. ... Lakini mmekaa kutetea wala rushwa kwa nguvu zenu zote. 🥴🥴 Click to expand... Mimi siyo kijana, ni mstaafu. Wewe unataka ukafanye nini Ngorongoro? Ukavute bangi na suruali iko chini ya matako?
Landrover 109 JF-Expert Member Joined Mar 22, 2019 Posts 384 Reaction score 597 Sep 11, 2023 #24 Mleta mada ni jinsia Gani?
B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Sep 11, 2023 #25 ChoiceVariable said: Atarejea kufanya Mkutano Wake Karatu au ndio katishika? Ikumbukwe kabla na hata baada ya kushambuliwa na risasi, Lissu hajawahi kamatwa na Polisi. Mara ya mwisho ni Ile aliyokimbilia ubalozini kukwepa Kukamatwa. Soma: Tundu Lissu na wenzake waachiwa kwa dhamana Click to expand... Ndani ya uzi wako umeambatanisha anachosema Lissu kinachofuata. Ameeleza yote yakiwamo ulichouliza ndugu.
ChoiceVariable said: Atarejea kufanya Mkutano Wake Karatu au ndio katishika? Ikumbukwe kabla na hata baada ya kushambuliwa na risasi, Lissu hajawahi kamatwa na Polisi. Mara ya mwisho ni Ile aliyokimbilia ubalozini kukwepa Kukamatwa. Soma: Tundu Lissu na wenzake waachiwa kwa dhamana Click to expand... Ndani ya uzi wako umeambatanisha anachosema Lissu kinachofuata. Ameeleza yote yakiwamo ulichouliza ndugu.
econonist JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 20,189 Reaction score 29,663 Sep 11, 2023 #26 Kafuatilie kwanza kwanini Kikwete hampendi Lissu.
M maramojatu JF-Expert Member Joined Mar 16, 2012 Posts 1,749 Reaction score 2,319 Sep 11, 2023 #27 ChoiceVariable said: Atarejea kufanya Mkutano Wake Karatu au ndio katishika? Ikumbukwe kabla na hata baada ya kushambuliwa na risasi, Lissu hajawahi kamatwa na Polisi. Mara ya mwisho ni Ile aliyokimbilia ubalozini kukwepa Kukamatwa. Soma: Tundu Lissu na wenzake waachiwa kwa dhamana Click to expand... Ndio
ChoiceVariable said: Atarejea kufanya Mkutano Wake Karatu au ndio katishika? Ikumbukwe kabla na hata baada ya kushambuliwa na risasi, Lissu hajawahi kamatwa na Polisi. Mara ya mwisho ni Ile aliyokimbilia ubalozini kukwepa Kukamatwa. Soma: Tundu Lissu na wenzake waachiwa kwa dhamana Click to expand... Ndio