Baada ya Tuzo ya Wachekeshaji. Serikali na wadau iandae Tuzo za waandaji bora wa Maudhui Mitandaoni.

Baada ya Tuzo ya Wachekeshaji. Serikali na wadau iandae Tuzo za waandaji bora wa Maudhui Mitandaoni.

Mkuu labda kwa makusudi hujui Tuzo ni nini kwenye hayo maisha ya vijana


Unafikiri waliobuni utoaji wa Tuzo ni wajinga?

Tuzo ni promotion,
Ukipewa Tuzo sasa hivi kama unaakili nzuri hiyo ni Fursa ya kiuchumi.

Kiuchumi Tuzo ni Moja ya vitu muhimu kwenye brand ya biashara na mtu mwenyewe.

Haya
Tuzo kwa vijana, je wajua kijana ni nani katika taifa? Ukijua hili utafuta ulichoandika.
Kwa uchache kijana ni nguvu ya taifa popote duniani.

Je tz tupo na vijana wangapi na wasomi wasiokua na ajira ,nakubali vipaji ni moja ya ajira je umewafikilia vijana wenzako na wasomi ambao wapo kuranda mtaani?

Na ni kwa vipi nchi imewawekea mazingira bora kama vijana ambao mpo industry ya Sanaa?

Je mwafikiri vijana katika industry ya sanaa na michezo mlitakiwa kuwa kama mlivyo?

Leo ukitoboa na jina lako Julikana ndo unapata mapokezi ya kinchi ila ulipokua unateseka kutafuta ndoto zako nchi ilikua kimia so tuzo ipo na maana gani bila kuwekeza kama sio uchawa
 
Tuzo kwa vijana, je wajua kijana ni nani katika taifa? Ukijua hili utafuta ulichoandika.
Kwa uchache kijana ni nguvu ya taifa popote duniani.

Mkuu, lazima ujue upo kwenye nchi ya aina gani.

Nchi yako bado ni Maskini. IPO chini Sana.

Je tz tupo na vijana wangapi na wasomi wasiokua na ajira ,nakubali vipaji ni moja ya ajira je umewafikilia vijana wenzako na wasomi ambao wapo kuranda mtaani?
Kutoa Tuzo ni sehemu ya kuleta hamasa kwa vijana wasio na Ajira Kutafuta kitu chakufanya kama wenzao waliojitafuta wakapata cha kufanya na sasa wamepewa Tuzo.

Coy Mzungu kahangaika kuisimamisha Standup Comedy, kupitia yeye vijana wengi wamejiingiza kwenye kujiajiri kupitia uchekeshaji wa jukwaani.



Na ni kwa vipi nchi imewawekea mazingira bora kama vijana ambao mpo industry ya Sanaa?
Mazingira bora ni pamoja na kuwatangaza vijana na vipaji vyao kupitia Tuzo.

Hivi unajua kijana akipewa Tuzo mbele ya Rais inamaana gani kwenye Tasnia au fani yake?

Mazingira wezeshi kwa Vijana ni Jambo Bora Sana. Hiyo ni hoja nyingine.
Na Tuzo ni sehemu ya motisha katika mazingira Bora na wezeshi kwa Vijana kujiajiri

Je mwafikiri vijana katika industry ya sanaa na michezo mlitakiwa kuwa kama mlivyo?

Walitakiwa waweje?
Nchi inapambana na mambo mengi. Kuyawezesha yote kwa pamoja ni Kazi hasa kwenye jamii ambayo watu wengi hawana Elimu.

Leo ukitoboa na jina lako Julikana ndo unapata mapokezi ya kinchi ila ulipokua unateseka kutafuta ndoto zako nchi ilikua kimia so tuzo ipo na maana gani bila kuwekeza kama sio uchawa

Kwa hiyo hoja yako ni vijana waliopambana wakafika hapo walipofika wasipewe Tuzo kwa Sababu ya serikali kutokuwekeza juu Yao?

Wewe unauhakika gani serikali haijachangia ukuaji wa vipaji wa hao vijana?
 
Mkuu, lazima ujue upo kwenye nchi ya aina gani.

Nchi yako bado ni Maskini. IPO chini Sana.


Kutoa Tuzo ni sehemu ya kuleta hamasa kwa vijana wasio na Ajira Kutafuta kitu chakufanya kama wenzao waliojitafuta wakapata cha kufanya na sasa wamepewa Tuzo.

Coy Mzungu kahangaika kuisimamisha Standup Comedy, kupitia yeye vijana wengi wamejiingiza kwenye kujiajiri kupitia uchekeshaji wa jukwaani.




Mazingira bora ni pamoja na kuwatangaza vijana na vipaji vyao kupitia Tuzo.

Hivi unajua kijana akipewa Tuzo mbele ya Rais inamaana gani kwenye Tasnia au fani yake?

Mazingira wezeshi kwa Vijana ni Jambo Bora Sana. Hiyo ni hoja nyingine.
Na Tuzo ni sehemu ya motisha katika mazingira Bora na wezeshi kwa Vijana kujiajiri



Walitakiwa waweje?
Nchi inapambana na mambo mengi. Kuyawezesha yote kwa pamoja ni Kazi hasa kwenye jamii ambayo watu wengi hawana Elimu.



Kwa hiyo hoja yako ni vijana waliopambana wakafika hapo walipofika wasipewe Tuzo kwa Sababu ya serikali kutokuwekeza juu Yao?

Wewe unauhakika gani serikali haijachangia ukuaji wa vipaji wa hao vijana?
Hujui dunia wewe tz ni maskini kwa jina tu , ila ni matajiri , angalia katika misafara ya viongozi wako alafu sema nchi hii ni maskini au la
 
Hujui dunia wewe tz ni maskini kwa jina tu , ila ni matajiri , angalia katika misafara ya viongozi wako alafu sema nchi hii ni maskini au la

Kama Tz ni tajiri mbona unasema vijana wawezeshwe?

Nchi yako ni Maskini na watu wake ni Maskini tena umaskini ule wenyewe.

Au wewe ni wale wasioangalia uhalisia wa mambo unasikiliza Maneno ya wanasiasa?
 
Mbatizaji naona unataka ubishi tuu.
Muulize Mzee Mgaya ulimwengu wa kwanza ni upi?
Kisha muulize kuna Tuzo huko?
Ulimwengu wa Kwanza ni huu Muisrael 1 anabadilishwa na Wapalestine 101 mbele ya Rais wa Dunia Trump na mwanae Elon Musk

Ulimwengu wa Kwanza ni huu Gaza yote imeteketezwa lakini Jeshi la Hamas liko vile vile na linaiamrisha taifa lililoitwa teule kwenye Ulimwengu wa Tuzo 😄

Nakutakia Dominica njema 🌹
 
Tuzo zina maana kubwa tatu

@ -Ukipata tuzo Kama alivyopata Leonard basi ataanza kutambulika na kupewa deals za kuwa balozi mbali -mbali .

@- Ukipata tuzo inakujenga kisaikolojia na kuongeza kujiamini kuwa you have something to offer.

@- tuzo ni Kama weak up call Kwa watu ambao mwanzo walikuwa hawajaamua kuweka masikio na macho kwako sasa wakijua umepata tuzo utaanza kuzingatiwa Sana.

Dunia inaelewa swala la Appreciation ndo maana kuna tuzo Kama Nobel hauwezi kufananaisha Mandela aliyepata tuzo ya Nobel na Mwl Nyerere kidunia Mandela Ana heshima kubwa Sana.
 
Back
Top Bottom