Swala la kumridhisha Mtu mzima mwenye meno 32 kama wewe ni ndoto za bunuwasi, ebu jifunze kupotezea kisha uje unishukuru baadaye.Sababu kubwa ya ugomvi ni baada ya kutoka shambani, nikapitiliza kilabuni.
Nimerudi nipo bwax nikakuta amenuna.
View attachment 2228544
View attachment 2228548
Kwakua alikua hajakula niliamua nimuandalie roast samaki, chips, kachumbari ili ashushie na juice ya matunda mchanganyiko.
View attachment 2228553View attachment 2228557
Hapa kaisha maliza kula wakuu, ngoja nitoe vyombo nikaoshe alafu nije room nimnawishe alafu nifute meza.
Oooh am craving for the fishπ€€π€€π€€Sababu kubwa ya ugomvi ni baada ya kutoka shambani, nikapitiliza kilabuni.
Nimerudi nipo bwax nikakuta amenuna.
View attachment 2228544
View attachment 2228548
Kwakua alikua hajakula niliamua nimuandalie roast samaki, chips, kachumbari ili ashushie na juice ya matunda mchanganyiko.
View attachment 2228553View attachment 2228557
Hapa kaisha maliza kula wakuu, ngoja nitoe vyombo nikaoshe alafu nije room nimnawishe alafu nifute meza.
Hapo lazma arudishe moyo ndani.Sababu kubwa ya ugomvi ni baada ya kutoka shambani, nikapitiliza kilabuni.
Nimerudi nipo bwax nikakuta amenuna.
View attachment 2228544
View attachment 2228548
Kwakua alikua hajakula niliamua nimuandalie roast samaki, chips, kachumbari ili ashushie na juice ya matunda mchanganyiko.
View attachment 2228553View attachment 2228557
Hapa kaisha maliza kula wakuu, ngoja nitoe vyombo nikaoshe alafu nije room nimnawishe alafu nifute meza.
Hongera sana mkuu!Dogo kamrudia Mungu, na amechaguliwa NIT kwa Diploma ya Aircraft Maintenance Engineering
Natamani nikusute ila saivi nameza mate nitakusuta tu walahiHuku ni mahaba ndindindi...π