Baada ya ugomvi na wife, hiki ndicho nilicho kifanya ili mapenzi

Baada ya ugomvi na wife, hiki ndicho nilicho kifanya ili mapenzi

Laiti angejua hukohuko kilabuni ulipokuwepo baada ya kuwabwax , uliagiza huu msosi ukala na kufuta mdomo, na kurudi nyumbani usiku na kuleta valangati , kwanini hujawekewa msosi......
Angekubwaxi kinomanoma....
 
Kwahiyo unashauri ni log off mazima....??🤪
Umesema nikuseme hapa hapa okaya nilitaka nikuseme pembeni .
Ile ishu iliniuma sana ulipompa yulee nikabaki home nikikuona natamani nikukate shingoo ulifanya kitu ambacho niliumia moyo kwani ilikuwa my dream kufanya kazi kwenyw sehemu kama ile
 
Umesema nikuseme hapa hapa okaya nilitaka nikuseme pembeni .
Ile ishu iliniuma sana ulipompa yulee nikabaki home nikikuona natamani nikukate shingoo ulifanya kitu ambacho niliumia moyo kwani ilikuwa my dream kufanya kazi kwenyw sehemu kama ile
Dahhhhh....
Unapaswa kushukuru, tuseme haukua wakati wako na ikimpendeza Mungu, ninaamini utapata njema zaidi na hakika utanipenda tena...😍
 
Laiti angejua hukohuko kilabuni ulipokuwepo baada ya kuwabwax , uliagiza huu msosi ukala na kufuta mdomo, na kurudi nyumbani usiku na kuleta valangati , kwanini hujawekewa msosi......
Angekubwaxi kinomanoma....
Wazee hatugombani bana...😂
Wazee tunavumiliana...🤣
 
Una uhakika huyo uliyekula Ni mkeo kweli au girl friend?tuChip's gani huto?
 
Usiongee naye, usiku mwombe mzigo..kula vizurii kwa style yenu anayoipenda...mkishusha mabao ataanza kulia machozi ya kukusamehe.. mshike shike sehemu anayopenda ili anyamaze na alale.

Asubuhi ukiamuka utakuta supu tayari, sasa na wewe ukinywa supu mtoe out...kesi kwisha.
 
Back
Top Bottom