Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Acha kuniita toto mkuu mimi ndio mwanae nimebadilika.Tuachane na habari ya mkeo, vipi lile toto lako ambalo halinaga adabu, siku hizi limepoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuniita toto mkuu mimi ndio mwanae nimebadilika.Tuachane na habari ya mkeo, vipi lile toto lako ambalo halinaga adabu, siku hizi limepoa?
Unajua huku hapakufaiNisute tu mwali, hapa ndio penyewe nitapata la kujifunza...🤣🤣
Umesema nikuseme hapa hapa okaya nilitaka nikuseme pembeni .Kwahiyo unashauri ni log off mazima....??🤪
Dahhhhh....Umesema nikuseme hapa hapa okaya nilitaka nikuseme pembeni .
Ile ishu iliniuma sana ulipompa yulee nikabaki home nikikuona natamani nikukate shingoo ulifanya kitu ambacho niliumia moyo kwani ilikuwa my dream kufanya kazi kwenyw sehemu kama ile
Wazee hatugombani bana...😂Laiti angejua hukohuko kilabuni ulipokuwepo baada ya kuwabwax , uliagiza huu msosi ukala na kufuta mdomo, na kurudi nyumbani usiku na kuleta valangati , kwanini hujawekewa msosi......
Angekubwaxi kinomanoma....
Wanatakiwa wajiongeze....🤣Halafu unaungana na Liverpool kusema vijana wasioe
Mungu anawaonaWanatakiwa wajiongeze....🤣
Maana yeye mwenyewe juzi kaongeza mke wa pili Liverpool VPN
Hadi utimize hadi yako ndio nikufikirieDahhhhh....
Unapaswa kushukuru, tuseme haukua wakati wako na ikimpendeza Mungu, ninaamini utapata njema zaidi na hakika utanipenda tena...😍
Hhahahah..Sisi tuliolazimisha ndoa ukinuna ndiyo kama unamfukuza nyumbani mwisho unajichekesha mwenyewe.