Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SafiUkomavu ndo huu sasa, maisha ya ndoa usipojifanya mjinga huyawezi, hata sisi huku Mara tushabadilika kitambo, tunalinda ndoa zetu kwa njia kama hizi za kidiplomasia.
Kajifunze kwa Elon Musk, Jeff Bezoz na Bill Gate kati ya wengi, kisha nenda kwa Adam mwanadamu wa kwanza na kisha kwa muumba mwenyezi Mungu. Kawapa kucha, kope nk lakini wanataka za ziada. Wao wenyewe hawaridhiki na modifikesheni au make up walizobuni wenyewe wiki moja tu wanatoa na kuweka kingine.Swala la kumridhisha Mtu mzima mwenye meno 32 kama wewe ni ndoto za bunuwasi, ebu jifunze kupotezea kisha uje unishukuru baadaye.
Ibholo gelo🤣😂😷🤓😎Kwahiyo mkuu, inamaana huku ibologelo hatuna vyombo vya kufanana kama daslam sindio...🤨
Umenikumbusha mlevi mmoja alirudi nyumbani saa 5 usiku mkewe akakataa kufungua mlango huku akisema kumwambia mumewe :Sisi tuliolazimisha ndoa ukinuna ndiyo kama unamfukuza nyumbani mwisho unajichekesha mwenyewe.
🤣🤣😂😃😄Umenikumbusha mlevi mmoja alirudi nyumbani saa 5 usiku mkewe akakataa kufungua mlango huku akisema kumwambia mumewe :
"Rudi ukalale huko huko kwenye ulevi wako" Yule mlevi akafurahi sana kupewa ruhusa ya kulala nje maanake hiyo saa 5 pia alikuwa anaona karudi mapema sanaaaa!!
Jamaa akarudi kupiga tungi hadi asubuhi.