The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Wiki chache zilizopita Nigeria ilikumbwa na maandamano ya kupinga ukatili wa jeshi la polisi maarufu kama #EndSARS ambapo Jeshi la Nigeria lilituhumiwa kuua watu.
Bunge la UK Liliazimia kuwawekea vikwazo maafisa kadhaa wa Nigeria, jeshi la polisi na jeshi la ulinzi kwa uvunjifu wa haki za binadamu. Uamuzi huo umeungwa mkono na vyama vya upinzani na mashirika ya kimataifa, UN na nchi nyingine zimeombwa kuingilia zaidi na kuweka vikwazo.
Serikali ya Nigeria imetuma wataalamu wa mahusiano kwenda Uingereza ili kulizungumzia hili na kuomba Uingereza isifikie huo uamuzi kwani serikali iko inafanya mabadiliko makubwa na kushughulikia malalamiko ya wananchi.
Bunge la UK Liliazimia kuwawekea vikwazo maafisa kadhaa wa Nigeria, jeshi la polisi na jeshi la ulinzi kwa uvunjifu wa haki za binadamu. Uamuzi huo umeungwa mkono na vyama vya upinzani na mashirika ya kimataifa, UN na nchi nyingine zimeombwa kuingilia zaidi na kuweka vikwazo.
Serikali ya Nigeria imetuma wataalamu wa mahusiano kwenda Uingereza ili kulizungumzia hili na kuomba Uingereza isifikie huo uamuzi kwani serikali iko inafanya mabadiliko makubwa na kushughulikia malalamiko ya wananchi.