Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasabato ni waumini flani mambumbu sana.Kwenye Maisha ni hatari sana kuamini wewe tu ndio uko sahihi.
Kuna muda sheria kali za dini zinakosesha watu kufurahia na kuishi kwa amani .
Wasabato mbali na kwamba wanatumia biblia ile ile ya vitabu 66 , wanaamini wako sahihi sana kuliko wengine tunakoelea idadi yao ikiwa kubwa wataanzisha vikundi vya kulazimisha watu wawe wasabato .
Nchi gani zaidi ya Vatican iliyoweza kuendeshwa Kikatoliki???Hoja yako ni hafifu sana.
Nitajaribu kukujibu hapa hapa.
Kila imani ina amini ndio iko sahihi zaidi kuliko imani nyingine, tofauti na hivyo imani hiyo haina sababu ya kuanzishwa kwake, kuendelea kuwepo au kutofautiana na imani nyingine.
Kama wasabato wanaamini imani yao ni sahihi zaidi basi wako sahihi kabisa kufanya hivyo na ndivyo imani zote zinafanya hivyo. Ukienda kwenye Ukatoliki, Ulutheri, Upentekoste hata imani ya Kihindu hali ni hiyo hiyo.
Tukija kwenye kulazimisha uamini imani fulani, hilo jambo haliwezikani milele. Imani ni suala la moyoni, tena binafsi sana, hakuna namna linaweza kulazimishwa kukaa moyoni mwa mtu. Hata Uislamu hauwezi kulazimishwa kuaminiwa, kinachoweza kulazimishwa ni unafiki wa kufanya vitendo fulani vya kuonyesha wewe unaabudu imani fulani, na hilo huweza kufanywa na tawala zenye mlengo wa kujificha kupitia imani hizo. Katika historia, zipo tawala ziliwahi kujificha kwenye ukatoliki na zikaishia kuulazimisha ukatoliki kuwa imani ya watu wote katika tawala zao. Hivyo hilo suala sio la kiimani bali itikadi za tawala za kisiasa.
Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume (Mathayo 16:16-17)Mimi labda nichangie kidogo kuna dhehebu moja ndani ya ukristo hujihisi wao ndio bora kuliko madhehebu yote wao wapo karibu na Muumba hawakosei wao ndio pekee walio umbwa kwa mfano wa Mungu yaani biblia ililetwa pekee kwa ajili yao.
Yaani wao ndio yale makabila kumi na mbili wao ndio wale wanafunzi wa yesu nafikiri hao ni hatari kuliko wasabato na waislamu wana matendo machafu kinyume cha maandiko!
Maisha ya mfungo wa Ramadhani kule Zanzibar.Nitajie sheria moja katika uislamu inayokunyima raha ya maisha
Wasabato ni waislam ndan ya ukirsto.Kwenye Maisha ni hatari sana kuamini wewe tu ndio uko sahihi.
Kuna muda sheria kali za dini zinakosesha watu kufurahia na kuishi kwa amani.
Wasabato mbali na kwamba wanatumia biblia ile ile ya vitabu 66, wanaamini wako sahihi sana kuliko wengine tunakoelea idadi yao ikiwa kubwa wataanzisha vikundi vya kulazimisha watu wawe wasabato.
Maisha ya mfungo wa Ramadhani kule Zsheria hiyo imesema watu wa Zanzibar wote wafunge? Wewe majnun tofautisha sheria za watu na za dini, Zanzibar walikubaliana wenyewe kuwa ikifika mfungo watu wasile hadharani kwa kufanya dhihaka ili kuwaonyesha waliofunga, sasa wewe ukila ndani kwako tatizo liko wapi? Mbona mchana hufanyio mapenzi na mkeo hadharani wakati mapenzi ya mke na mume ni halali kabisa?
Yesu alisema,"Wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa ambalo hata milango ya kuzimu haitalifunga." Kwa hiyo Kanisa la kweli lipo lililoanzishwa na Yesu Kristo mwenyewe nafsi ya pili ya Mungu ambalo linaenzi mafundisho yake,"Enendeni duniani kote mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu.(Mark 16:16)Kuna tofauti kubwa Sana kati ya MUNGU na dini (madhehebu) na watu Wengi inawachanganya
Jichunguze NDANI Yako we ni muamini wa MUNGU au dini (madhehebu)
Yakobo 1.27
"Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa"
Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, 👇
1/ Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao,
2/na kujilinda na dunia pasipo mawaa
Ndugu unawakumbuka yatima na wajane? , Unajilinda na dunia hi ?
dunia ni TAMAA na KIBURI 👉 TAMAA ni kwa Macho na mwili
dini safi na ya kweli ni hiyo Apo acheni kupotoshana 👉Hapo MUNGU ajasema sabato, katholiki, Lutheran, islamu, induism, walokole, anglikana na mengineyo mengi Ndio dini ya Kweli
Dini ya Kweli ni hali ya NDANI ya mtu (i.e Moyoni) na Sio nje Kama watu Wengi wanavyodhani
kunywa bierre labda 😅😂😳Nitajie sheria moja katika uislamu inayokunyima raha ya maisha
Ukiona kuna sheria kali kwenye dini basi ujue wewe si muumini wa hiyo dini, na kwenye dini hakuna kulazimishana na ujue kuwa uhuru wako unakoma pale wa mwenzako unapoanza. Jamii ya watu wenye utimamu wa akili huwa hawafuati matamanio ya nafsi zao bali huangalia athari ya jambo katika maslahi mapana ya jamii husika.Kwenye Maisha ni hatari sana kuamini wewe tu ndio uko sahihi.
Kuna muda sheria kali za dini zinakosesha watu kufurahia na kuishi kwa amani.
Wasabato mbali na kwamba wanatumia biblia ile ile ya vitabu 66, wanaamini wako sahihi sana kuliko wengine tunakoelea idadi yao ikiwa kubwa wataanzisha vikundi vya kulazimisha watu wawe wasabato.
Wasabato wakiwakosoeni, mnasema wanawatukaneni.Yesu alisema,"Wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa ambalo hata milango ya kuzimu haitalifunga." Kwa hiyo Kanisa la kweli lipo lililoanzishwa na Yesu Kristo mwenyewe nafsi ya pili ya Mungu ambalo linaenzi mafundisho yake,"Enendeni duniani kote mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu.(Mark 16:16)
Huwa wanaungana na waislamu kwa mambo mawiliWasabato mbali na kwamba wanatumia biblia ile ile ya vitabu 66, wanaamini wako sahihi sana kuliko wengine tunakoelea idadi yao ikiwa kubwa wataanzisha vikundi vya kulazimisha watu wawe wasabato.
Haaahaa,Kwenye Maisha ni hatari sana kuamini wewe tu ndio uko sahihi.
Kuna muda sheria kali za dini zinakosesha watu kufurahia na kuishi kwa amani.
Wasabato mbali na kwamba wanatumia biblia ile ile ya vitabu 66, wanaamini wako sahihi sana kuliko wengine tunakoelea idadi yao ikiwa kubwa wataanzisha vikundi vya kulazimisha watu wawe wasabato.