Baada ya Uislamu wanaofuata kwa kujiona wakamilifu ni Wasabato

Baada ya Uislamu wanaofuata kwa kujiona wakamilifu ni Wasabato

Kwenye Maisha ni hatari sana kuamini wewe tu ndio uko sahihi.

Kuna muda sheria kali za dini zinakosesha watu kufurahia na kuishi kwa amani.

Wasabato mbali na kwamba wanatumia biblia ile ile ya vitabu 66, wanaamini wako sahihi sana kuliko wengine tunakoelea idadi yao ikiwa kubwa wataanzisha vikundi vya kulazimisha watu wawe wasabato.
siyo tuu dini hata binadamu wa kawaida huwa anajisikia anakubalika sana mbele za Mungu kumbe mweupe tuu.Dini ya ukweli ni kumpenda Mungu na wanadamu wenzako.
 
Njoo uingie makanisani kwetu ndio utajua kama sisi ni watakatifu au ni vipi.

Hata hivyo, ninapofanyia ibada sijasikia lolote kuhusu kujisifu wala kujiinua kuwa wasabato ni dhehebu peculiar sana, we're sinners kama wengine na madhaifu ndani ya mfumo na kwa mtu mmoja ni mengi kama kwingine tu.

Hata hivyo, sikubaliani na jitihada za kujisafisha kwa kupondea wengine, kama ipo namna hiyo ni kosa.
 
Njoo uingie makanisani kwetu ndio utajua kama sisi ni watakatifu au ni vipi.

Hata hivyo, ninapofanyia ibada sijasikia lolote kuhusu kujisifu wala kujiinua kuwa wasabato ni dhehebu peculiar sana, we're sinners kama wengine na madhaifu ndani ya mfumo na kwa mtu mmoja ni mengi kama kwingine tu.

Hata hivyo, sikubaliani na jitihada za kujisafisha kwa kupondea wengine, kama ipo namna hiyo ni kosa.
Hongera
 
Kuna muda sheria kali za dini zinakosesha watu kufurahia na kuishi kwa amani .📌🔨
Kabisa kunakitu nilikuwa naongea na mtu namheshimu Tena namtegemea kwenye ushauri lkn point ya dini ilinifanya nimdharau sana alivotoa maneno makali aisee
 
Wasabato mahubiri yao hayana mtizamo wa kumvuta mtu kwa mungu Bali kufundishana mbinu za kutukana na kukashifu makanisa mengine yasiyo ya kisabato huku wakijilinda na vifungu vichache vichache,jukumu la kwanza ukijiunga sabato ni kufundishwa namna ya kukashifu madhehebu mengine yasiyo ya kisabato hususani ukatoliki na papa,Tena papa kwa Imani ya kisabato ndiyo Raisi wa mashetani wote wa Dunia,wewe hata Kama ni muuaji Ila hauabudu kanisa katoliki,basi dhambi zako ni nyepeso kuliko asiye muuaji Ila anasali katoliki kwa kadri ya miiko na Imani ya kisabato
Kule Usabatoni Papa ndio shetani mwenyewe
 
Yesu alisema,"Wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa ambalo hata milango ya kuzimu haitalifunga." Kwa hiyo Kanisa la kweli lipo lililoanzishwa na Yesu Kristo mwenyewe nafsi ya pili ya Mungu ambalo linaenzi mafundisho yake,"Enendeni duniani kote mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu.(Mark 16:16)


Kuna tofauti kati ya kanisa na dini MKUU



Ni kweli kanisa la KRISTO lipo na ni watu wanaomuabudu MUNGU katika roho na katika kweli hao Ndio kanisa/hekalu la MUNGU na Sio kanisa jengo Mkuu



MUNGU kupitia kwa mtumwa wake Paulo alisema haya maneno katika


1 wakolintho 6.19


"Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe"



mwili wenu hekalu la Roho Mtakatifu👉 Mimi na wewe na yeyote anaemuabudu MUNGU katika Roho na katika kweli ni mahali/nyumba/kanisa /hekalu la uwepo MUNGU i.e Roho mtakatifu
 
Back
Top Bottom