Baada ya Uislamu wanaofuata kwa kujiona wakamilifu ni Wasabato

Wasabato ni waumini flani mambumbu sana.
Hata ukiwakuta college au makazini wana tabia ya kujitenga tenga wanajiona their superior.
 
Nchi gani zaidi ya Vatican iliyoweza kuendeshwa Kikatoliki???
 
Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume (Mathayo 16:16-17)
 
Kama vile unavyoamini uhuni wako ni sahihi kuliko imani za watu, Wewe mwenyewe kuishi kwa ujanjaujanja kunawasibu wengine ila wanakuvumilia tu kwakuwa umeamini uhuni wako ndio uhuru wa kweli.
Kufurahia maisha ni chaguo, wewe kama umechagua ulevi, unafiki, uzinzi na wizi na makelele yasiyokuwa na mpangilio na bar au kumbi za starehe ndio furaha wenzanko wamechagua ibada, mipaka ya kweli , utulivu na nyumba zao za kupata raha za milele ni makanisani na misikitini ndio furaha yenyewe. Hata imani ya kuamini wanawake wakivaa vimini ndio kupendeza na furaha na wanaume kuoana ni uhuru nazo ni imani hatari kwani zitakuja kuleta shida baadae kwa wengine.
 
Wasabato ni waislam ndan ya ukirsto.
 
 
Mambo ya imani yako ndani ya moyo na si nje,ukikwazwa na unayoyaona nje basi imani yako ni mfu.
 
Kuna tofauti kubwa Sana kati ya MUNGU na dini (madhehebu) na watu Wengi inawachanganya


Jichunguze NDANI Yako we ni muamini wa MUNGU au dini (madhehebu)



Yakobo 1.27


"Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa"



Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, πŸ‘‡



1/ Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao,



2/na kujilinda na dunia pasipo mawaa



Ndugu unawakumbuka yatima na wajane? , Unajilinda na dunia hi ?



dunia ni TAMAA na KIBURI πŸ‘‰ TAMAA ni kwa Macho na mwili



dini safi na ya kweli ni hiyo Apo acheni kupotoshana πŸ‘‰Hapo MUNGU ajasema sabato, katholiki, Lutheran, islamu, induism, walokole, anglikana na mengineyo mengi Ndio dini ya Kweli



Dini ya Kweli ni hali ya NDANI ya mtu (i.e Moyoni) na Sio nje Kama watu Wengi wanavyodhani
 
Mmeushambulia uislam weee sahivi mmeanza kushambuliana wenyewe kwa wenyewe
 
Wasabato mahubiri yao hayana mtizamo wa kumvuta mtu kwa mungu Bali kufundishana mbinu za kutukana na kukashifu makanisa mengine yasiyo ya kisabato huku wakijilinda na vifungu vichache vichache,jukumu la kwanza ukijiunga sabato ni kufundishwa namna ya kukashifu madhehebu mengine yasiyo ya kisabato hususani ukatoliki na papa,Tena papa kwa Imani ya kisabato ndiyo Raisi wa mashetani wote wa Dunia,wewe hata Kama ni muuaji Ila hauabudu kanisa katoliki,basi dhambi zako ni nyepeso kuliko asiye muuaji Ila anasali katoliki kwa kadri ya miiko na Imani ya kisabato
 
Yesu alisema,"Wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa ambalo hata milango ya kuzimu haitalifunga." Kwa hiyo Kanisa la kweli lipo lililoanzishwa na Yesu Kristo mwenyewe nafsi ya pili ya Mungu ambalo linaenzi mafundisho yake,"Enendeni duniani kote mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu.(Mark 16:16)
 
Ukiona kuna sheria kali kwenye dini basi ujue wewe si muumini wa hiyo dini, na kwenye dini hakuna kulazimishana na ujue kuwa uhuru wako unakoma pale wa mwenzako unapoanza. Jamii ya watu wenye utimamu wa akili huwa hawafuati matamanio ya nafsi zao bali huangalia athari ya jambo katika maslahi mapana ya jamii husika.
 
Wasabato wakiwakosoeni, mnasema wanawatukaneni.
Mungu hana nafsi mbili, Mungu Ana nafsi moja.
Anasema katika biblia:, KWA NAFSI YANGU(SIO NAFSI ZANGU) NINA APA.
 
Wasabato mbali na kwamba wanatumia biblia ile ile ya vitabu 66, wanaamini wako sahihi sana kuliko wengine tunakoelea idadi yao ikiwa kubwa wataanzisha vikundi vya kulazimisha watu wawe wasabato.
Huwa wanaungana na waislamu kwa mambo mawili
Kutokula kitoweo pendwa na kumchukia Papa
 
Haaahaa,
Yaan wasabato wanaabudu siku..na waislamu ukichinja mwenyewe wanasema kibuduu Hawa watu wanajionaga SANAAA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…