Acha upumbavu bwana! Kwani kuitwa kivutio ni tusi? Hujui hata hoja za mtu zaweza kuwa kivutio kwa watu? Jinsi anavyoshambulia jukwaa sio kivutio?Huo ni mkwara Mbuzi tu
Hujamtendea haki Tundu Lisu kwa kumuita Kivutio!
Wewe ndio mpumbavu wa huko migombaniAcha upumbavu bwana! Kwani kuitwa kivutio ni tusi? Hujui hata hoja za mtu zaweza kuwa kivutio kwa watu? Jinsi anavyoshambulia jukwaa sio kivutio?
Ujinga na upumbavu wekeni huko katika hoja zenu, hii ilikuwa maalum imeletwa tufahamu ratiba ya chama chetu pendwa ili tujipange.
Hoja zako nyingi pamoja na kujaa ujinga umewahi muona mleta hoja akizichafua?
Acha hizo!
Kwamba Mzee mgaya ni mlozi?Lissu ni kivutio cha hoja na Spana , hatukuwahi kusema ni kivutio kwa ulemavu wake uliosababishwa na Mauaji yaliyopangwa na Mwenyekiti wa ccm John Magufuli .
Msitake kuleta mashambulizi ya kijinga kwangu , hamtaweza , nafahamu kwamba wewe ni miongoni mwa wanaccm mliopewa kazi ya kuniloga , lakini kwa nguvu ya Mungu mkashindwa , nawafahamu kwa majina yenu yote ya ubatizo , mkishindwa hoja nyamazeni , huwezi kushindana na aliyenyakuwa tuzo hapa JF na ukategemea kushinda .
Natoa onyo la mwisho kwako na masikini wenzio mnaotaka kudivert hii mada , Wajinga wakubwa nyie !
Huko Sanya juu hata kufika sijafika. Lakini nikuambie toka nijiunge JF 2007 nimeona watu wengi wakiwa wamebobea kuandika kwa bidii upuuzi na kuharibu mijadala kama ufanyavyo lakini waliishia kupuuzwa na wakaacha. Hivyo nawe utaacha.Wewe ndio mpumbavu wa huko migombani
Tundu Lisu hawezi kuwa Kivutio, uhuni wako wa kibavicha baki nao huko kwenu Sanya Juu!
Narudia tena msimnyanyapae TAL, kama Kivutio chezesheni kengeza zenu Watu watajaa kushangilia Hizo " kumchuzi"Huko Sanya juu hata kufika sijafika. Lakini nikuambie toka nijiunge JF 2007 nimeona watu wengi wakiwa wamebobea kuandika kwa bidii upuuzi na kuharibu mijadala kama ufanyavyo lakini waliishia kupuuzwa na wakaacha. Hivyo nawe utaacha.
Pia tambua mie siwezi kuwa Bavicha ingawa nawaunga mkono maana ni vijana wapambanaji. Nitakuwaje huko wakati 1990-1992 ndio tumeshiriki haya mafanikio ya mageuzi ya sasa?
Piga hesabu ya umri hapo ndio utaelewa. Endelea kuandika vichekesho
analindwa na sheria za jf tu , kuna wakati tutawaanika tu kwa maslahi ya Taifa , kuna mtu alijiita "Mgambilwa ni mmntu" alipokuwa analeta ujinga akaanikwa na Jasusi fulani aliyekimbia nchi , japo jasusi alipata Ban lakini masilahi ya Taifa yalilindwaHuyu John analipwa shilingi ngapi huko ccm? Kutwa kucha yupo jf kupindisha ukweli? Ungemtaja ingesaidia
ogopa sana nguvu ya MunguKwamba Mzee mgaya ni mlozi?
Umejuaje ndugu ERYTHROCYTE?
Leo Lissu anavurumisha mkutano?ogopa sana nguvu ya Mungu
Badala ya kutuita wajinga, ingefaa zaidi kama utamwomba radhi tundu lisu.Endeleeni na Matusi yenu sisi hatuhangaiki na wajinga , tunasonga mbele