Kwahiyo wakiitwa watu wenye akili nawe utatoka mbele wakati ulichoandika kinaonesha wazi jinsi gani ulivyo juha!! Pamoja na kujichekesha chekesha kwako bado unaonekana stupid tu kwa sababu Diamond hana wajibu wa ku-post ngoma za watu kama unavyolia lia hapa!!Sio thinking error? ππ sema kanywe maji mkuu upoze kichwa, hii mijadala sio ya kutilia akili nyingi sana kama kutatua equations, just relax ,
Acha unafiki wako wa kujifanya eti angekaa kimya kwa sababu ungeona huo umuhimu na wewe usingetuletea ujinga wako hapa jamvini!!!heri P-funk angekaa kiya tu, watu naona wamekomaa eti imepostiwa wasafi π π ni kama vile mtu hajaja msibani yeye katuma mwakilishi.
Angalia ulivyo stupid! Kumbe hiyo nongwa kwa sababu jamaa ana followers wengi?! Jinga kweli we jamaa!!View attachment 1815677
View attachment 1815680
Ila bado una point mkuu, angewacheki na wasanii wengine.
Sasa mkuu kuna kumuomba na kumtaka mtu... hiyo post ya pfunk wanamtaka Diamond atoe support kwa Rapchamkuu sio ujinga ndio game inavyokwenda , mtu anatoa nyimbo alafu anaenda kuomba kupiga picha na drake na anamwomba drake aipost ili algorithm za nyimbo alotoa zipile-up...
Sasa mkuu kuna kumuomba na kumtaka mtu... hiyo post ya pfunk wanamtaka Diamond atoe support kwa Rapcha
Maslahi Ni muhimu kwenye professionalismDomo ni bingwa wa kulialia uzalendo, tushirikiane ila ni gwiji moja la MNAFIKI.
Hafanyi kitu bila MASLAHI.
Waliofanya naye kazi wanamjua VIZURI.
Why wanamuomba Diamond platinumz kama Ni mbad[emoji23][emoji23][emoji23]Rapcha on trending
Kawashusha waimba taarabu na takataka nyenzie
Nakubaliana na wewe.Maslahi Ni muhimu kwenye professionalism
ngoma ambayo ipo trending ni ya nani??Why wanamuomba Diamond platinumz kama Ni mbad[emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu hivi kwani Diamond ndio yeye pekee tu?
Mbona Ally Kiba hawamsumbui
Wanachosha sanaAlafu hivi kwani Diamond ndio yeye pekee tu?
Mbona Ally Kiba hawamsumbui