Baada ya ukweli kuhusu sakata la Bernard Morrison 'Kuvuja', huenda Yanga SC 'ikanyang'anywa' alama zake na viongozi wake kufungwa na kukamatwa

Pole sana
Ulichokitaka hakitokei πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

Kile Kilichotokea na Wewe unacho tofauti na nilichokisema Mimi nakuomba ukiweke au utuwekee hapa tafadhali. Na Wewe pia unaamini Uwongo?
 
Mwanaume kuwa mzushi ni aibu Sana. Najua bila uzushi huwezi kuishi mjini, tunga jingine ukapige hela za mpumbavu mvalishwa kanga
 
Mwanaume kuwa mzushi ni aibu Sana. Najua bila uzushi huwezi kuishi mjini, tunga jingine ukapige hela za mpumbavu mvalishwa kanga

Huu 'Uzushi' wangu wa Kutukuka ndiyo umemfanya aliyekuleta duniani anipende zaidi Mimi kuliko Yule aliyepandikiza Mbegu za uwepo wako hapa.
 
Hahahaa! Wapenda hela za wanaume wenzao wote hawana Malinda Tena wanatabia za kukimbilia kutukana Kama wanawake so sikushangai.
 
Kweli Yanga kiboko.., wanaweza kufungua dirisha la usajili na kuingiza mchezaji hata baada ya dirisha kufungwa!!!!!!
Akili hizi utazikuta kwa mambumbumbu fc tuu
 
Nani atam release?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…