Baada ya ukweli kuhusu sakata la Bernard Morrison 'Kuvuja', huenda Yanga SC 'ikanyang'anywa' alama zake na viongozi wake kufungwa na kukamatwa

Baada ya ukweli kuhusu sakata la Bernard Morrison 'Kuvuja', huenda Yanga SC 'ikanyang'anywa' alama zake na viongozi wake kufungwa na kukamatwa

Taarifa nilizozipata kutoka katika Chanzo changu 'Nyeti' zinasema kwamba kilichogundulika juu ya Sakata zima la Mchezaji Bernard Morrison ni kwamba Klabu ya Yanga 'imedanganya' kuhusu 'Mkataba' wake na kwamba hata 'Sahihi' yake pia 'imefojiwa' kinyume na Sheria. Ukweli kamili wa hili upo njiani kutolewa kwa Watanzania ili 'Wahuni' na 'Matapeli' wa Soka la Tanzania wajulikane na waumbuke rasmi.

Chanzo changu hicho Kimeendelea kusema kwamba sehemu ambayo Yanga SC 'imejikoroga' ni katika Tarehe ya Mkataba wa Mchezaji Bernard Morrison ambapo Yanga SC 'wamedanganya' Umma kuwa 'alisajiliwa' tarehe 15 na Kuuwasilisha TFF wakati Mchezaji aliwasili nchini tarehe 17 na hata Mawasiliano yake ya Email yana Ukweli wote pamoja na Tiketi yake ya Ndege.

Hivyo basi 'Adhabu' ambayo huenda Yanga SC 'ikakumbana' nayo katika 'Hukumu' inayoenda 'Kutolewa' leo ni ama 'Kunyang'anywa' Alama ( Points ), Kupigwa Faini Kubwa, Kuzuiwa Kufanya Usajili, Kushushwa Daraja, Viongozi wake Kukamatwa, Kushtakiwa na Kufungiwa kabisa. Na kama TFF wakisema walipeleke hili 'Suala' huko FIFA kuna uwezekano Klabu ya Yanga 'ikafutwa' katika ramani.

Chanzo hicho kimemalizia kwa kunielezea kuwa kumbe baada ya Uongozi wa Yanga SC hasa kupitia 'Wadhamini' wao GSM kuona kwamba wanaenda 'Kuumbuka' walienda Kutoa 'Rushwa' ya Tsh Milioni 20 TFF ili hili 'Suala' lisiende mbali lakini Uongozi Imara na wenye 'Uweledi' wa TFF ukakataa huo 'Upuuzi' na kuwaambia Yanga SC hili 'Suala' lazima lifike mwisho ili liwe Fundisho nchini.

Baada ya Yanga SC na GSM kujua kuwa 'wameshalikoroga' na Mashabiki wao hawatawaelewa wameamua 'Kuwahadaa' kwa Kufanya 'Usajili' wa aliyekuwa CEO wa Simba SC Senzo Mbatha Mazingisa huku 'wakiwadanganya' kuwa 'wanamsajili' Mchezaji Clatous Chama na akina Deo Kanda. Hii yote Yanga SC wanafanya kama kutafuta 'Huruma' kwa Mashabiki na Wanachama Wao.

Namalizia kwa kusema 'sijakulazimisha' ukubaliane na nilichokiwasilisha hapa ila Yanga SC jana walifurahi lakini leo watalia sana na Moto utawaka.
Itunze hii potosho yako. Bado tunakamilisha ya muhimu
 
Unajua hata maana ya mkataba? Unajua hata kitendo cha kujiandaa kutoka ghana kinaweza kua ushahidi wa makubaliano, au wewe una deal tu na makaratasi...

Hapana Mimi huwa 'ninadili' tu na 'Upopoma' wako wa muda mrefu japo kwa sasa naanza Kuchoka hivyo nitakuacha uendelee nao hadi Kifo chako.
 
Ka Genta kameendelea kuwadanganya mbumbumbu, Mikia, Mnyero United!
IMG-20200810-WA0042.jpg
 
Angalia usije kukakataa na kukaona kazushi tu!

Kwani ikiwa ni 'Uzushi' Mimi katika Historia ya 'Wazushi' duniani nitakuwa Kinara? Sasa kama unajua ni 'Uzushi' kwanini bado tu Unauchangia Uzi?
 
Sherehe za kuwanyoa mikia, mtaomba poo safari hii. Njooni mtupe hela tuwaachie kimeo icho sio bure
 

Attachments

  • maneno_nyagaly_20200810_144935_0.mp4
    7.7 MB
Hata mm namshangaa maana anabishana na chizi

Na huu 'Uchizi' wangu 'nimeurithi' kwa aliyekubebea Mimba yako na Kukuzaa baada ya 'Kukuvumilia' tu kwa Miezi Kenda 'Tumboni' mwake Kijijini.
 
Kumekucha
Yanga
Lazima Asiye Na Mwana Aeleke Jiwe!!!
 
Nenda kwa mo mwambie akuongezee posho uzushe jingine hilo limekwisha

Limekwisha tunakuomba uiweke hapa tafadhali. Kama Waandishi wa Habari hawana Habari 'Mpumbavu Mwandamizi' Wewe ndiyo utakuwa nayo?
 
Back
Top Bottom