Petro mtu huwezi kukiri makosa usiyoyafanya alafu ukubali kulipa mamilioni ya pesa acheni kudanganya umma. Kama kweli kaonewa basi wakili wake ni mzigo. Nikujulishe mimi nimesoma agreement yake. Mtani ukiisoma hasa page ya pili utabadilisha mawazo.
Nilikua namuonea huruma lakini sasa nikisikia karudishwa jela nitafurahi sana. Jamaa ni mav* kabisa. Subirini mtaona mengi huyoo kakubali kuwa snitch. Sababu hii doc ni nyeti ningeianika hadharani kusingetokea yeyote ws kumuonea huruma. Wote mnajiita rafiki zake subirini tu kugongewa hodi na mapolisi kama mlishirikiana naye katika maongezi yeyote
NAWAOMBEENI PITIENI KESI YA KUBAMBIKWA YA ISAACK WRIGHT JR aliyepewa hukumu ya kwenda jela maisha kwakesi ya kubambikiwa na serikali na kukaa jela miaka 7. Akiwa jela akasomea sheria na kujiwakilisha mwenyewe. Katika rufaa serikali ilikubali atoke baada ya hiyo miaka na yeye afute kesi. Jamaa alikataa na kusema bora afie jela kuliko kukubali makosa ambayo hakuyatenda. Mwishoni akashinda kesi na kufutiwa criminal record.
Petro wewe mwsnasheria tatizo lenu mnafanya biashara zaidi ya kusaidia watu baadhi yenu
[/URL]