Tetesi: Baada ya upepo wa Mahakama kuwakalia vibaya: Lipumba, Sakaya na Kambaya kuhamia CCM muda wowote

Tetesi: Baada ya upepo wa Mahakama kuwakalia vibaya: Lipumba, Sakaya na Kambaya kuhamia CCM muda wowote

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ni taarifa niliyodokezwa na mdau mmoja ambaye ni mhusika kwenye 'kitengo cha manunuzi' CCM.

Lipumba na timu yake wamelazimishwa kuhakikisha wanahamia rasmi CCM kabla ya January.

Maulid Mtulia ametangulizwa makusudi ili kupima upepo, hasa baada ya ushahidi kuonyesha wazi kwamba wataangukia pua mahakamani, wameona ni heri lawama kuliko fedheha.

Tuendelee kusubiri, kila msaliti atajianika mwenyewe

Mungu hajawahi kumficha mnafiki .
 
Lipumba hata hama mpaka karibu ya ya uchaguzi, maana karibu ya uchaguzi Kuna Kila dalili ya vyama vya siasa kuungana
 
Uza, nunua[emoji3] [emoji3] siasa za miaka hii ni mwendo wa kulipana tu. Watanzania hawana chao tena
 
Uamuzi Ukiwa tofauti ndo mnakumbuka Mahakama sin huru
 
Back
Top Bottom