Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Bora wahame!
Tena wakiondoka mapema hivi , itakuwa jambo jema sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora wahame!
Huu ni mwisho wa Lipumba , siyo sisi .Cuf na Chadema ndo mwisho wenu
Kulikuwa na mkakati uliopangwa kishamba wa kudanganya watanzania kwamba Magufuli anakubalika , sasa ilipangwa kabla ya january kila aliyelipwa awe ametangaza kuhamia ccmKwa hiyo makusanyo ya kodi ndo yanapelekwa huko? nchi hii haitaendelea nikiwa hai
OOH MY GOSH, OUR MONEYKulikuwa na mkakati uliopangwa kishamba wa kudanganya watanzania kwamba Magufuli anakubalika , sasa ilipangwa kabla ya january kila aliyelipwa awe ametangaza kuhamia ccm
Hii biashara ya kununuliwa na CCM inaelekea inalipa sana??[emoji2] [emoji2]
Ukishakula hela ya watu lazima ufuate makubaliano , kila anachofanya lipumba anaelekezwa na ccm , sasa hao ndio wamemlazimisha baada ya Mahakama kuweka msimamo , si yote tunaweza kuyaandika hapa mkuu .Lipumba kuhama ni ngumu,anatakiwa aendelee kuleta mgogoro ndani ya cuf.kwa hiyo kuhama sithani kma ni rahisi.
Chadema aliondoka zitto slaa arfi na naibu katibu mkuu zenji chama hakikufa sembuse hawa sisimizi???Cuf na Chadema ndo mwisho wenu
Ni kweli, sasa wanatoa stakabadhi.Mbona hao walinunuliwa siku nyingi Sema wanasubiri maelekezo na amri ya kutangaza rasmi
Ukishakula hela ya watu lazima ufuate makubaliano , kila anachofanya lipumba anaelekezwa na ccm , sasa hao ndio wamemlazimisha baada ya Mahakama kuweka msimamo , si yote tunaweza kuyaandika hapa mkuu .
Ni aibu sana !Ni kweli, sasa wanatoa stakabadhi.
Uzuri ni kwamba ccm ikimtumia mtu ni lazima mwisho wake imdhalilishe .alright..ngoja tusubiri episodes.
...and the human-manure writes "The bullshit continues..."The bullshit continues....
Lengo la Lipumba ni kuwalia hela yao ccm tu , anajua kabisa cuf haiwezi .Kwa hiyo Lipumba akihamia CCM ndio ataenda kukifuta chama au?!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]