Kumbe mtulia alikuwa kambi lipumba!!!!!Hii ni taarifa niliyodokezwa na mdau mmoja ambaye ni mhusika kwenye 'kitengo cha manunuzi' CCM.
Lipumba na timu yake wamelazimishwa kuhakikisha wanahamia rasmi CCM kabla ya January.
Maulid Mtulia ametangulizwa makusudi ili kupima upepo, hasa baada ya ushahidi kuonyesha wazi kwamba wataangukia pua mahakamani, wameona ni heri lawama kuliko fedheha.
Tuendelee kusubiri, kila msaliti atajianika mwenyewe
Mungu hajawahi kumficha mnafiki .
Nape Moses NnauyeVerified account @Nnauye_Nape