Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je Lipumba ataondoa godoro lake la comfy buguruni ?Kisha watafatia Lowasa na Sumaye
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba wanaweza kuhamia hata kesho ili kuzima aibu ya nyufa UDSMWoote hao wana price tag.....mapandikizi hayo
.......in an alarming speed!!!The bullshit continues....
Kama ulivyo mwisho wa hostel za TBACuf na Chadema ndo mwisho wenu
Mtaalamu wa mitishamba Kambaya mtamuweka wapi ?Prof Lipumba mswahili sana atabakia kuwa mwanachama wa kawaida tu huku CCM, Dr Slaa ndio kichwa anafaa hata kuvaa viatu vya Kinana!
Hii biashara ya kununuliwa na CCM inaelekea inalipa sana??[emoji2] [emoji2]
Where are u, NNThe bullshit continues....
The bullshit continues....
Mku kweli kabisa watu wanashindwa kuelewa Itikadi zipo rohoni mwa wananchiChadema aliondoka zitto slaa arfi na naibu katibu mkuu zenji chama hakikufa sembuse hawa sisimizi???
Wacha waende btw tupo mamilioni tutajichaguwa wengine kuwa viongozi ila chadema haifi leo wala kesho maana mlishajaribu sana kuanzia udini mkaja ugaidi mkaja ukanda mkaja ukabila ila mmefeli mtaweza kwa cuf na nccr ila chadema hamtokaa muweze