Mku ndo mrengo wake unajulikana kwani wanachama watabaki na Itikadi waliyoaminishwa kwa hiyo watabaki na Itikadi yao mioyoni mwaoKwa hiyo Lipumba akihamia CCM ndio ataenda kukifuta chama au?!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mku ndo mrengo wake unajulikana kwani wanachama watabaki na Itikadi waliyoaminishwa kwa hiyo watabaki na Itikadi yao mioyoni mwaoKwa hiyo Lipumba akihamia CCM ndio ataenda kukifuta chama au?!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tunarudi TANU au sio??Cuf na Chadema ndo mwisho wenu
Unawaza ujinga,hivi unaelewa kwa nini Lowassa na Sumaye siyo wana CCM siku hizi?Huu ni mwisho wa Lipumba , siyo sisi .
Hawawezi kwenda ccm kwasabb cuf ya lipumba ni portfolio ya ccm hairuhusiwi kuweka mayai yako yote kwenye kapu moja to mitigate risks!
Yaani mimi nikawe chini ya Polepole ? Dunia itatikisika !Erythrocyte,
Na wewe mkuu unahamia lini CCM nimesikia tetezi na wewe umewachoka wapinzani hawana sera za maana!! Ya kweli hayo mkuu??
Anaitwa Lubinga , anashauriana na RC mmoja kwa uangalizi wa PolepoleHivi afisa ugavi wa CCM ni nani?
Hahahahaha [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Taarifa zaidi zinadokeza kwamba wanaweza kuhamia hata kesho ili kuzima aibu ya nyufa UDSM
Na kuna uwezekano Degea atanunuliwa CCM ili akakinge mashambulizi ya WapinzaniHii biashara ya kununuliwa na CCM inaelekea inalipa sana??[emoji2] [emoji2]
Ccm mnafanya siasa za kipumbavu sana awamu hiiHizo mahakama mkishindwa kesi si mnasema ni za CCM?
Hakuna watu wapuuzi duniani kama chadema
Taarifa zinaonyesha kwamba kabla ya kufa na kuoza Chama cha KANU cha Kenya kilitumia kila hela ya Kenya kununua wapinzani .Ccm mnafanya siasa za kipumbavu sana awamu hii
Wazee wa kutengeneza matukio.....bendera fuata upepo wapo vijijini...Mijini wameamkaTaarifa zaidi zinadokeza kwamba wanaweza kuhamia hata kesho ili kuzima aibu ya nyufa UDSM